Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

We surely gonna be dead!
 
Ishu ni fedha tuu
 
U nailed it... Mwanaume unakaa unalia lia kwa ajili ya mtu uliyekutana nae tu ukubwani tena mwanamke??? Stupid kabisa tena mbaya zaidi umepigiwa
 
Watu hujifunza kutokana na makosa, mrudishe mkeo, watakaoteseka hapo ni watoto
 
Usiwahi muamini mwanamke, msikilize lakini uwe na second thought.. Mara nyingi wanaongea kufurahisha baraza ila ukweli wa mambo ni tofauti kabisa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] huwa nawafananisha na sisi wanaume tunapokuwa tunamtaka mwanamke huwa tunampa sifa hata asizostahili ili kumpata, halafu wao wanafurahi balaa wakati anajua kbs sifa nyingine anazopewa hanazo
 
Mi simuelewi maana kwakua jamaa aliyejichanganya nae naskia ni tapeli tapeli Sasa anataka tusiachane maana Hana uhakika na alipo angukia
Nilidhani hata kuwa yupo kwa wazazi wake,kumbe kuna muhuni anaishi naye..hapana aisee,huyu si wa kumrudisha nyumbani.
 
Asa huyu fala kweli kamwambiaje demu kuwa aligonga nje? Sindio maan mwanamke nae kamlipizia
 
Tangu lini tukapangiana cha kukomenti humu??

Wewe toa ushauri wako lala mbele...kila mmoja anavyochukulia hili suala ebooh!

Hiyo thamani, sijui mwanamke Malaya, ni kama nguo fyokofyoko, nyokonyoko is up to you!

Wewe bila mwanamke ungekuwa hapa unajijambia?...lione mfyuuu[emoji57][emoji57]
 
[emoji1751][emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…