Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli asilimia kubwa ya mabibi huaribu watoto LAKINI SIO woteBro, wanawake wana siri nyingi na nzito.
Najua hutakaa bila kuoa but unaweza kumwacha huyu ukakutana na chui.
Chukua mkeo, ukimsamehe atakupenda na kukuheshimu sana.
Pili wanao usiwaandalie mazingira ya kuharibika.
Watoto kukaa kwa bibi ni sawa na kuwatoa sadaka kwa SHETANI
Hilo neno kwa herufi kubwa ulitafakari usiku huu
Sawa MkuuHawezi heshimika tena. Inauma sana ukivuta picha ile raha anakupa afu amepewa mwingine. Wahuni wakimpata mke wa mtu kazi yao si yakitoto. Dah pole yake mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
"Sasa hivi jamaa anakatikiwa viuno uzazi huko"Habari,
Kwa masikitiko makubwa baada ya kugundua mke Wangu anamahusiano mengine na kuamua kuondoka baada ya ugomvi mkubwa.
Sasa tukiwa naprocess kumpa talaka na mimi nikiwa nimebaki na watoto (under 7years). Naanza ku experience mateso makubwa kwakuogopa kukaa Karibia na wanangu kwakuulizwa mama Yuko wapi na kwanini hakai nyumban.... Aisey asikwambie mtu nnawakat mgumu mnoo ukizingatia hatujazoea kudanganya watoto.
Nikiingia chumbani ndo kabisaa upweke ninaopata hadi nakonda na hamu ya kula inaisha. Kila nikifikiria kuanzisha mahusiano mapya sioni na Wala sielewi kama ntapata mwanamke niliyemzoea Kama mke Wang.... Si Kama mzuri kuliko wengne ila nifundi kweli kweli[emoji180]. Nahisi. Imekua ngumu kwasababu mimi sio wa michepuko ndio maana nateseka.
Nafiria kuhama nyumbani kwangu, watoto nipeleke kwa bibi yao mi nitafute chumba niishi kama bachelor Mana sitokua mazingira ya nyumban kwangu nilipozoea kua na mke wangu na watoto labda itanisaidia. Kwakweli sikutegemea ndoa inawezakuvunjika kirahisi hivi maana nilidhani Nina ndoa very strong (tulidhani tumewezakuchukuliana vyakutosha)
Separation sijambo rahisi wazee kama unadhani unaweza kuokoa ndoa yako anyhow jitahidi uokoe before too late. I missed her but Moyo wangu hauna Imani nae Tena nahisi nnahisi nnaweza fungwa kwa ajili yake.
Usiombe
ila wao kusaliti hawaumii?Pole ndugu yangu ndio ukubwa..ila mwanaume inauma ukisalitiwa askwambie mtu.
Dah binafsi sijauelewa huu ushauri wako kwa jamaa huyu.Pole mkuu!
Umejaribu njia zote za kurudiana ikashindikana? Maana hakuna mkamilifu hasa kwenye sex, binafsi labda nikudake unanifanyia shiriki but nikikufuma bed ntakusamehe najua nyege zako tu zimekutuma maana hazina adabuu.....
Msamehe mkuu mlee watoto, divorce anaiweza mwanamke nyie wanaume huwa mnakufa
Mrudie!
Hapo ndipo tunaposhindwa kuelewana... wewe unazungumzia mwanamke na mimi nazungumzia "mwanamke mzinzi"Hapana
Kati ya vitu mwanamke yuko makini ni kuzaa watoto nje labda uwe huna mbegu mume[emoji848]
Pole sana kaka.Habari,
Kwa masikitiko makubwa baada ya kugundua mke Wangu anamahusiano mengine na kuamua kuondoka baada ya ugomvi mkubwa.
Sasa tukiwa naprocess kumpa talaka na mimi nikiwa nimebaki na watoto (under 7years). Naanza ku experience mateso makubwa kwakuogopa kukaa Karibia na wanangu kwakuulizwa mama Yuko wapi na kwanini hakai nyumban.... Aisey asikwambie mtu nnawakat mgumu mnoo ukizingatia hatujazoea kudanganya watoto.
Nikiingia chumbani ndo kabisaa upweke ninaopata hadi nakonda na hamu ya kula inaisha. Kila nikifikiria kuanzisha mahusiano mapya sioni na Wala sielewi kama ntapata mwanamke niliyemzoea Kama mke Wang.... Si Kama mzuri kuliko wengne ila nifundi kweli kweli💘. Nahisi. Imekua ngumu kwasababu mimi sio wa michepuko ndio maana nateseka.
Nafiria kuhama nyumbani kwangu, watoto nipeleke kwa bibi yao mi nitafute chumba niishi kama bachelor Mana sitokua mazingira ya nyumban kwangu nilipozoea kua na mke wangu na watoto labda itanisaidia. Kwakweli sikutegemea ndoa inawezakuvunjika kirahisi hivi maana nilidhani Nina ndoa very strong (tulidhani tumewezakuchukuliana vyakutosha)
Separation sijambo rahisi wazee kama unadhani unaweza kuokoa ndoa yako anyhow jitahidi uokoe before too late. I missed her but Moyo wangu hauna Imani nae Tena nahisi nnahisi nnaweza fungwa kwa ajili yake.
Usiombe
Kwa taarifa yako huyu mleta mada alikuwa na michepuko ya kutosha tu mbona mke kalipiza na yeye analia lia hapa
Napigania Hilo Sasa. Ahsante kwa ushauriPole sana kaka.
Mimi ninaeielekea I am so positive about it. Kwanini? Sababu kuna makosa hata tukiwasamehe watu,they will keep on doing it over and over again.
Stay focused,inaumiza sana hata mimi napitia maswali magumu sana kwa situation yangu but uzima na amani ya moyo ni muhimu kuliko muonekano wa nje huku ndani ni shida.
" Linda sana moyo wako maana ndimo zitokazo chemchem ya uzima"
Huyo jamaa anajifanya ananijua saana kuliko mi mwenyewe au ana tabia ya u.m.a.ly na yeyeSio kweli Mkuu. Kama ni Mimi sioni tabu, tunaachana tu sina cha kupoteza kama ninaweza ku breath in n out.
If ur cheating na umekuta partner anafanya mnasameheana ujue cheating huambukiza na why uishi na mtu kakutoka moyoni huna furaha huo si unafiki kabisaSio kweli Mkuu. Kama ni Mimi sioni tabu, tunaachana tu sina cha kupoteza kama ninaweza ku breath in n out.
Kawaida kwani nilimkuta bikra??"Sasa hivi jamaa anakatikiwa viuno uzazi huko"
-Isaack newton-
Your rightIf ur cheating na umekuta partner anafanya mnasameheana ujue cheating huambukiza na why uishi na mtu kakutoka moyoni huna furaha huo si unafiki kabisa
Sio kama haya ni maumivu ya Musa tuu ntakaa sawaHaina maana yoyote kuchukua uamuzi ambao unaendelea kujutia,naona usijipe magonjwa ya moyo kisa papuchi na inawezekana wewe ndo chanzo cha yeye kuchepuka,emu mpe nafasi nyingine ,emu chukua mda tafakari mazuri yake na nyakati nzuri za furaha mlizokuwa pamoja then fanya maamuzi ambayo hayatakuumiza
Muhimu,mpe nafasi tu
Ila na we ni boya unakubalije et ulichepuka na wakati ushahidi hakuna,yaani et mtu anakubana tu unakubali,hilo ni kosa kubwa ulifanya na usije ukarudia maisha yako yote,yaani angalau akufume laivu na hapo unasema hazikuwa ni akili zako na hujui kama ni wewe,watu wanakana hadi video wewe unakubali kwa maneno tuuNakuelewa sister.... Ila wakati Mimi ilitokea tulikua na tofauti na distance ya miezi karibu miwili. Kwa mapenz alinibana akaniuliza hivi kipindi chote sija sex tuu mi nikafunguka na kusay sorry kwa magoti... But ilipofika kwake badala aombe msamaha ananiforce nimesamehe kwakua na mimi nilichepuka mbaya Zaid na nyumban akaondoka.... Nadhani ameona alipokimbilia sio ndio Mana anataka tusiachane japo naona hayupo serious .
Kila mtu akae mwenyewe hata miezi 6 then ikipita utatathmini mwenyewe!
Acha kukomplicate maisha wewe ndo maana mnakufa mapemaSio Kama haya ni maumivu ya Musa tuu ntakaa sawa
Wala si uongo ila yataisha tuu maana nshaanza kufuatiliwa na mabinti wanaotaka ndoakuna mdau kakushauri hapo juu mkuu kamuombe msamaha kwa kumkosea yaishe manake inaonekana maji yamezidi unga tayari...