Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Bro, wanawake wana siri nyingi na nzito.
Najua hutakaa bila kuoa but unaweza kumwacha huyu ukakutana na chui.

Chukua mkeo, ukimsamehe atakupenda na kukuheshimu sana.
Pili wanao usiwaandalie mazingira ya kuharibika.
Watoto kukaa kwa bibi ni sawa na kuwatoa sadaka kwa SHETANI
Hilo neno kwa herufi kubwa ulitafakari usiku huu
ni kweli asilimia kubwa ya mabibi huaribu watoto LAKINI SIO wote
 
Habari,

Kwa masikitiko makubwa baada ya kugundua mke Wangu anamahusiano mengine na kuamua kuondoka baada ya ugomvi mkubwa.

Sasa tukiwa naprocess kumpa talaka na mimi nikiwa nimebaki na watoto (under 7years). Naanza ku experience mateso makubwa kwakuogopa kukaa Karibia na wanangu kwakuulizwa mama Yuko wapi na kwanini hakai nyumban.... Aisey asikwambie mtu nnawakat mgumu mnoo ukizingatia hatujazoea kudanganya watoto.

Nikiingia chumbani ndo kabisaa upweke ninaopata hadi nakonda na hamu ya kula inaisha. Kila nikifikiria kuanzisha mahusiano mapya sioni na Wala sielewi kama ntapata mwanamke niliyemzoea Kama mke Wang.... Si Kama mzuri kuliko wengne ila nifundi kweli kweli[emoji180]. Nahisi. Imekua ngumu kwasababu mimi sio wa michepuko ndio maana nateseka.

Nafiria kuhama nyumbani kwangu, watoto nipeleke kwa bibi yao mi nitafute chumba niishi kama bachelor Mana sitokua mazingira ya nyumban kwangu nilipozoea kua na mke wangu na watoto labda itanisaidia. Kwakweli sikutegemea ndoa inawezakuvunjika kirahisi hivi maana nilidhani Nina ndoa very strong (tulidhani tumewezakuchukuliana vyakutosha)

Separation sijambo rahisi wazee kama unadhani unaweza kuokoa ndoa yako anyhow jitahidi uokoe before too late. I missed her but Moyo wangu hauna Imani nae Tena nahisi nnahisi nnaweza fungwa kwa ajili yake.

Usiombe

"Sasa hivi jamaa anakatikiwa viuno uzazi huko"
-Isaack newton-
 
Pole mkuu!

Umejaribu njia zote za kurudiana ikashindikana? Maana hakuna mkamilifu hasa kwenye sex, binafsi labda nikudake unanifanyia shiriki but nikikufuma bed ntakusamehe najua nyege zako tu zimekutuma maana hazina adabuu.....

Msamehe mkuu mlee watoto, divorce anaiweza mwanamke nyie wanaume huwa mnakufa

Mrudie!
Dah binafsi sijauelewa huu ushauri wako kwa jamaa huyu.

Yani mke agongwe afu nijue,nimfukuze ,kisha nikamuombe turudiane kweli Mimi mtoto Wa mama marwa siwezi,,watoto wataenda boarding kwa kweli.

Ila ushirikina pia upo na unafanya kazi.
 
Hapana

Kati ya vitu mwanamke yuko makini ni kuzaa watoto nje labda uwe huna mbegu mume[emoji848]
Hapo ndipo tunaposhindwa kuelewana... wewe unazungumzia mwanamke na mimi nazungumzia "mwanamke mzinzi"
 
Habari,

Kwa masikitiko makubwa baada ya kugundua mke Wangu anamahusiano mengine na kuamua kuondoka baada ya ugomvi mkubwa.

Sasa tukiwa naprocess kumpa talaka na mimi nikiwa nimebaki na watoto (under 7years). Naanza ku experience mateso makubwa kwakuogopa kukaa Karibia na wanangu kwakuulizwa mama Yuko wapi na kwanini hakai nyumban.... Aisey asikwambie mtu nnawakat mgumu mnoo ukizingatia hatujazoea kudanganya watoto.

Nikiingia chumbani ndo kabisaa upweke ninaopata hadi nakonda na hamu ya kula inaisha. Kila nikifikiria kuanzisha mahusiano mapya sioni na Wala sielewi kama ntapata mwanamke niliyemzoea Kama mke Wang.... Si Kama mzuri kuliko wengne ila nifundi kweli kweli💘. Nahisi. Imekua ngumu kwasababu mimi sio wa michepuko ndio maana nateseka.

Nafiria kuhama nyumbani kwangu, watoto nipeleke kwa bibi yao mi nitafute chumba niishi kama bachelor Mana sitokua mazingira ya nyumban kwangu nilipozoea kua na mke wangu na watoto labda itanisaidia. Kwakweli sikutegemea ndoa inawezakuvunjika kirahisi hivi maana nilidhani Nina ndoa very strong (tulidhani tumewezakuchukuliana vyakutosha)

Separation sijambo rahisi wazee kama unadhani unaweza kuokoa ndoa yako anyhow jitahidi uokoe before too late. I missed her but Moyo wangu hauna Imani nae Tena nahisi nnahisi nnaweza fungwa kwa ajili yake.

Usiombe

Pole sana kaka.
Mimi ninaeielekea I am so positive about it. Kwanini? Sababu kuna makosa hata tukiwasamehe watu,they will keep on doing it over and over again.
Stay focused,inaumiza sana hata mimi napitia maswali magumu sana kwa situation yangu but uzima na amani ya moyo ni muhimu kuliko muonekano wa nje huku ndani ni shida.
" Linda sana moyo wako maana ndimo zitokazo chemchem ya uzima"
 
Kwa taarifa yako huyu mleta mada alikuwa na michepuko ya kutosha tu mbona mke kalipiza na yeye analia lia hapa

Sio kweli Mkuu. Kama ni Mimi sioni tabu, tunaachana tu sina cha kupoteza kama ninaweza ku breath in n out.
 
Pole sana kaka.
Mimi ninaeielekea I am so positive about it. Kwanini? Sababu kuna makosa hata tukiwasamehe watu,they will keep on doing it over and over again.
Stay focused,inaumiza sana hata mimi napitia maswali magumu sana kwa situation yangu but uzima na amani ya moyo ni muhimu kuliko muonekano wa nje huku ndani ni shida.
" Linda sana moyo wako maana ndimo zitokazo chemchem ya uzima"
Napigania Hilo Sasa. Ahsante kwa ushauri
 
Haina maana yoyote kuchukua uamuzi ambao unaendelea kujutia,naona usijipe magonjwa ya moyo kisa papuchi na inawezekana wewe ndo chanzo cha yeye kuchepuka,emu mpe nafasi nyingine ,emu chukua mda tafakari mazuri yake na nyakati nzuri za furaha mlizokuwa pamoja then fanya maamuzi ambayo hayatakuumiza
Muhimu,mpe nafasi tu
 
Haina maana yoyote kuchukua uamuzi ambao unaendelea kujutia,naona usijipe magonjwa ya moyo kisa papuchi na inawezekana wewe ndo chanzo cha yeye kuchepuka,emu mpe nafasi nyingine ,emu chukua mda tafakari mazuri yake na nyakati nzuri za furaha mlizokuwa pamoja then fanya maamuzi ambayo hayatakuumiza
Muhimu,mpe nafasi tu
Sio kama haya ni maumivu ya Musa tuu ntakaa sawa
 
Nakuelewa sister.... Ila wakati Mimi ilitokea tulikua na tofauti na distance ya miezi karibu miwili. Kwa mapenz alinibana akaniuliza hivi kipindi chote sija sex tuu mi nikafunguka na kusay sorry kwa magoti... But ilipofika kwake badala aombe msamaha ananiforce nimesamehe kwakua na mimi nilichepuka mbaya Zaid na nyumban akaondoka.... Nadhani ameona alipokimbilia sio ndio Mana anataka tusiachane japo naona hayupo serious .
Ila na we ni boya unakubalije et ulichepuka na wakati ushahidi hakuna,yaani et mtu anakubana tu unakubali,hilo ni kosa kubwa ulifanya na usije ukarudia maisha yako yote,yaani angalau akufume laivu na hapo unasema hazikuwa ni akili zako na hujui kama ni wewe,watu wanakana hadi video wewe unakubali kwa maneno tuu
 
Back
Top Bottom