Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Uzi ufungwe
 
mashetani ya ticktock hayawezi kukuelewa mkuu
 
kwani mkeo ni ndugu na mdogo wako?,
 
umeoa?
 
Hakuna cha nyama wala nini,huu ni ugomvi unaohusu Maandazi na shati jipya,au hujasoma mada?
 
Hii iko sawa tu mbona, nina imani kinapikwa cha pamoja na kuwekwa mezani.
 
Aah bro...si utafanya hata mkeo akose viheshima fulani maana ufanyacho wewe hata wengine wataiga na kufanya ndio utaratibu.
 
Wanawake wanahitaji akili kuishi nao.
 
Inabidi Hawa dada zetu wakiolewa waache nongwa..... Ndo maana Mimi sipendi kwenda kwa ndugu kama hivi mtu anakuchekea kifala tuu kumbe hamna kitu

Afu Mimi nikienda sehemu ama kwa mtu Kuna Hali Niki sense tuu najua hapa hamna sipo najikataa mapema mno 😂
Wawezakuta hizo rangi alikuwa hajawahi ziona kabla dogo hajaanza kuishi pale.
Sasa mabadiliko ya ghafla ndiyo yanamshamgaza!

Inaonekana kama hajui cha kufanya baada ya dalili za uvunjifu wa maadili kuoneshwa dhahiri hapo nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…