Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Wanawake wa kiafrika weng wao hawajui nini maana ya raslimali watu
 
Mtusamehe bure Jamani 😅
Kuna vitu vingine si vya kuwalaumu wanawake, utaamuruje mkeo awe anamwandalia chai mtoto wa dada yako?
Mke siyo house girl kumpa màjukumu bila kutumia busara.
Huyu dogo hajajua mke ni nini.
 
nimegundua maadili yana difa from one area to another
Kijana usi jitie kukariri eti maadili, zingatia na uwe na maono ya kila uamuzi unao chukua.

Mjomba wangu ali nichukua nyumbani nikiwa na miaka 18, ili nika jifunze kazi na biashara kwa ujumla.

Nili kaa nyumba kubwa (kwake) miezi 1, Baada ya hapo nili hamia nyumba ya nje.
Hii ili saidia kunipa uhuru binafsi, na hata kuheshimu wanao nizunguka.

Kula nili kula na vijana wake,(Kama familia) na si kutengewa na mkewe.
Chakula kina andaliwa ana itwa fulani kwenda kubeba.

Narudia uta gongewa na si mayai
 
Kuna vitu vingine si vya kuwalaumu wanawake, utaamuruje mkeo awe anamwandalia chai mtoto wa dada yako?
Mke siyo house girl kumpa màjukumu bila kutumia busara.
Huyu dogo hajajua mke ni nini.
Yuko sawa. Chai inaandaliwa mezani watu wote wana kunywa pale na sio kama anavyosema.
 
Kuna vitu vingine si vya kuwalaumu wanawake, utaamuruje mkeo awe anamwandalia chai mtoto wa dada yako?
Mke siyo house girl kumpa màjukumu bila kutumia busara.
Huyu dogo hajajua mke ni nini.
Chai yenyewe katika kuipambania yeye dogo kibaruani shida iko wap akiandaliwa?
 
Kijana usi jitie kukariri eti maadili, zingatia na uwe na maono ya kila uamuzi unao chukua.

Mjomba wangu ali nichukua nyumbani nikiwa na miaka 18, ili nika jifunze kazi na biashara kwa ujumla.

Nili kaa nyumba kubwa (kwake) miezi 1, Baada ya hapo nili hamia nyumba ya nje.
Hii ili saidia kunipa uhuru binafsi, na hata kuheshimu wanao nizunguka.

Kula nili kula na vijana wake,(Kama familia) na si kutengewa na mkewe.
Chakula kina andaliwa ana itwa fulani kwenda kubeba.

Narudia uta gongewa na si mayai
rudia comment yangu nimemaliza
 
Kumbe amuandalie nani kama sio yeye, acheni kuwaogopa wakezenu
Yaani umwambie mkeo amuandalie mtu chakula na isijirudie tena? Siwezi mwambia hata mtoto hiyo kauli. But tunatofautiana upo sawa kwa upande wako
 
Yaani umwambie mkeo amuandalie mtu chakula na isijirudie tena? Siwezi mwambia hata mtoto hiyo kauli. But tunatofautiana upo sawa kwa upande wako
Mimi kitu nisichopenda sitaki kijirudie nikitoa maelekezo wakati ujao. yani nipo straight.
 
Back
Top Bottom