Nimemlipia mchepuko Kodi ya nyumba Mil 4.8 kwa mwaka, Mapenzi yameongezeka Mara mbili

Vizuri gharama na vizuri vinaliwa na wengi, kama swala ni pesa imeisha hiyo akipewa pesa anakusahau wewe pia vile vile, bado wale wajuba ambao hawana pesa na demu wako kaanguka huko sasa wale wanapiga show sio chini ya kiwango,
 
Mbinu za kivita hizi
 
Haahaaa nimeona picha za mzee wangu Mrema yupo tayari kwa ndoa nimesikitika Sana juu yake....kaamua kujiongeza maradhi?

Haahaaa nimeona picha za mzee wangu Mrema yupo tayari kwa ndoa nimesikitika Sana juu yake....kaamua kujiongeza maradhi?
Hahah!ameona vijana tunafaidi sanaa....ila namtatea mzee wetu...muda mwngi hakula ujana..alikuwa mkereketwa wa siasa na kuvuka stage ya kwenda kidimbwi ma samak samaki...muache amalizie stg yake ili aweze pumzika kwa amani
 
nahofia asije kuua mtu bure akapata kesi
 
Hahah!ameona vijana tunafaidi sanaa....ila namtatea mzee wetu...muda mwngi hakula ujana..alikuwa mkereketwa wa siasa na kuvuka stage ya kwenda kidimbwi ma samak samaki...muache amalizie stg yake ili aweze pumzika kwa amani
Yaani mzee Kazingua,ana binti yake yupo pale airport Ni mshkaji wangu nashindwa hata kumpa salamu za pongezi kwa kupata mama wali ye sawa kiumri....kweli ni Vyema kuzingatia stage,nakuunga mkono aliruka stage
 
Daaahhhh akili za wanawake banaaa.
Sasa hapo mganga anamkunyisha mteja wake kwenye chungu, halafu akimaliza kukunya mganga ndio mwenye jukumu la kumtawaza huyo mdada kisha anauingizia dawa kwenye hicho kikunyio chake.
Sipati picha harufu iliyotawala kwenye hicho chumba cha kaka mganga.
 
Yaani mzee Kazingua,ana binti yake yupo pale airport Ni mshkaji wangu nashindwa hata kumpa salamu za pongezi kwa kupata mama wali ye sawa kiumri....kweli ni Vyema kuzingatia stage,nakuunga mkono aliruka stage
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Noma sana mshikaji wangu
 
Hiyo pupu inakaushwa inasagwa na mizizi,ukipikiwa kitu inawekwa ule mpenzi😄...kwa Nini usihonge nyumba sasa
 
Hiyo pupu inakaushwa inasagwa na mizizi,ukipikiwa kitu inawekwa ule mpenzi[emoji1]...kwa Nini usihonge nyumba sasa
Mi nimewaza tu huyo kaka mganga atakua na matumizi gani na hio round about ya dada mteja, maana sio kwa kulishikilia uno hilo lililovishwa shanga.
Mi niko mbali huku lakini baada kuona tu hio style alieyokaa dada mteja wakati anaangusha yai mimi huku mbooooooooo imesimama.
Waganga wanafaidi sana jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…