Nimempa mke wa mtu zawadi ya chupi ameonesha kuikubali na kuifurahia sana

Punguza chai mkuu. Hakuna mke wa mtu mwenye wadhifa mkubwa serikalini anaishi nyumba ya kupanga.

Huo wadhifa labda sio mkubwa.
Wapo mkuu sio wote wamejenga kila mkoa. Mfano pale Dodoma wengi wanapanga baadae hujenga nyumba. Area D imepangisha sana watu wa aina hiyo. Kumbuka issue ya Mwenyekiti wa CDM kuvamiwa kwenye apartment wanayoishi pamoja na Mh Kitwanga. Wapo viongozi wengi wa taasisi za serikali wanapohamishiwa kikazi kwenye eneo fulani huwa hawana nyumba na hawajengi hata kama watakaa miaka mitatu.


Mfikirie manager wa TRA ambaye kila baada ya kipindi fulani anahamishwa, atakuwa na nyumba kila mkoa?
 
Na wewe siku mme wa huyo dada akikupa zawadi ya kitenge cha waksi uonyeshe kukikubali na kukifurahia sana na wala usirushe ngumi
 
Umeshawahi kumiliki demu au umeshawahi kuoa??? Endelea ujue uchungu wa kupigiwa .....shauri yako!
 
Kula mzigo period.

Wengine hizo ni fantasy zao. Yaan kuna mamanzi wanaenjoy kununuliwa au kuchaguliwa nguo za ndani na wanaume, usikute mtoto wa watu kaenda room kalowa tepetepe hapo, siku nyingine kula mzigo.
 
Na mumewe siku atakapokuzawadia, uje utupe mrejesho😹😹😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…