Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo mkuu sio wote wamejenga kila mkoa. Mfano pale Dodoma wengi wanapanga baadae hujenga nyumba. Area D imepangisha sana watu wa aina hiyo. Kumbuka issue ya Mwenyekiti wa CDM kuvamiwa kwenye apartment wanayoishi pamoja na Mh Kitwanga. Wapo viongozi wengi wa taasisi za serikali wanapohamishiwa kikazi kwenye eneo fulani huwa hawana nyumba na hawajengi hata kama watakaa miaka mitatu.Punguza chai mkuu. Hakuna mke wa mtu mwenye wadhifa mkubwa serikalini anaishi nyumba ya kupanga.
Huo wadhifa labda sio mkubwa.
Kuna watu wakisikia tu mtu anafanya kazi serikalini hata akiwa afisa mifugo wao ni salute tuPunguza chai mkuu. Hakuna mke wa mtu mwenye wadhifa mkubwa serikalini anaishi nyumba ya kupanga.
Huo wadhifa labda sio mkubwa.
Kwani afisa mifugo wewe unamchukuliaje mkuu?Kuna watu wakisikia tu mtu anafanya kazi serikalini hata akiwa afisa mifugo wao ni salute tu
Wachaaaaaaa weeeeeMwambie unataka kuona zawadi zako zilivyompendeza.
Kwani nawe unatakaa?Wachaaaaaaa weeeee
Nilizonazooo zinanitoshaaaaa😅😅😅Kwani nawe unatakaa?
Mwambie unataka kuona zawadi zako zilivyompendeza.
Kula mzigo period.Juzi kati nilikua nasafiri kwenda upcountry huko, kuna mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini, nilivyomuaga akaniambia nimletee zawadi, basi me nikajua ni utani tu, nikaenda safari nikarudi bila zawadi akanilaumu kwa nini sijamletea zawadi aliyoniagiza.
So baada ya kuona kero zimekua nyingi nikamuuliza unataka zawadi gani, akaniambia yoyote tu, mimi nikasema ngoja ninunue dozen ya chupi za kike nimpe, ebana nilivyomkabidhi manzi kapenda mno zawadi zangu akaniambia she appreciate sana zawadi zangu za chupi nilizompa.
Nimebaki dilemma kwamba kwani huyu hajawahi kupewa zawdi ya chupi hadi anisifie namna hiyo jamani?
Kwani afisa mifugo ni yule anayeswaga Ng'ombe kula majani?Kuna watu wakisikia tu mtu anafanya kazi serikalini hata akiwa afisa mifugo wao ni salute tu
Hicho kitoto bado kinanyonya hakijui hata afisa mifugo ni mtu mwenye thamani gani katika jamii.Kwani afisa mifugo ni yule anayeswaga Ng'ombe kula majani?