OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #181
Naona wanaume wenzangu mmeingia kwenye uzi. Safi sanaKuna binamu yangu mkewe sijui pesa zake anapeleka wapi, imagine mtoto anataka hadi kurudishwa shule mume mambo yamekaa vibaya. Yeye katulia tu na hela zake. Siku moja mume kamtolea uvivu ndio akatoa hiyo hela ya ada. Yaani utadhani mtoto si wa kwake loh
Hamna siku ntakuja kutamani pesa ya mke wangu, mimi ni mwanaume sitakuja kutumia utapeli na wizi kuumiza mke wangu eti nionekane mimi nina akili, maisha ya wizi wizi na kutoaminiana siapendi bora nikae kama nilivo kuliko kuiba kwa ujanjajanja......."good relation in marriage is every thing en is beyond money"
Kwani ipo?kila mtu atakufa na kuzikwa kivyakeIle kauli ya Sasa Ni mwili mmoja ifutwe tu.
Maisha ya Bongo bwana. Ni maisha ya kitapeli tapeli na kuomba omba tu. Hakuna kitu ambacho sipendi kama huu mtindo wa kuomba simu ya mtu. Hata mke wangu sioni ni haki kuomba omba simu bila mpangilio. Haya yote huletwa na watu wanaoishi bila mpangilio wa matumizi.Haaa haaa umenikumbusha jamaa yangu aliachana na mchepuko kijinga sana. Ameutumia nauli, akaulisha bata la kufa mtu na shoping. Asubuhi yake jamaa anahitaji internet akaomba hotspot ukajikausha, akaomba tena ukachomoa bando halitoshi. Kuna kuvizia simu akakuta kuna zaidi ya GB. Akautimua
Ndio mbinu yao ya kutongoza mademu humu wanajifanya gentlemenKuna reply za wanaume wenzangu wanajiona ma gentlemen sana kwa kumtetea huyo mwanamke na kumtukana mwanaume mwenzetu..
Hivi Jambazi kama huyo unamuachaje salama?
nikuuguze wee mpaka kukopa Juu yangu kumbe una hela umetulia nazo tu? non sense
mzee malizia na hizo 2m ili atafute nyingine anavyojua
Wewe umeona mwanaume kupoteza uaminifu kwa mke wake tu ila uaminifu wa mke alioupoteza kwa mmewe ujaona. Hivi unajua mwanaume kama huyo katumia njia ya utulivu sana bila kujibizana, mwingine angeweza hata kuvunja ndoa kwakufikiri anamsaliti. Hujakutana na watu wanao overthink ndugu[emoji23][emoji23][emoji23]. Wewe mlee mwanamke kama mtoto halafu uone kitakacho kupata, ndoa ni kuheshimiana na kusaidiana sio ubinafsi sababu we ni jinsia fulani. Hujajua kwanini wanaume hupata sana magonjwa ya moyo na kisukari boss! Usitake kujua.Sawa umesikika lakini kwanini uibe? Mke ni mtu muhimu katika familia akipoteza uaminifu wake utakua umepoteza dira
Kwanini ufiche? Je hiyo sio familia yako au kuficha ndio loop hole ya kumwiibia mwenza wako?Mwizi ni hatari sanaa, kawaida mtu kuficha hela yake sio kosa
You do know human beings are superior to angels. Acha kauli za victimization, use common sense.Who so will ever touch a woman or abuse a woman no matter what is a beast and not human, forget whether some behave unholy,but the truth is that women are angels
Kwaujumla kiwanja sio cha familia bali ni cha mwanamke. Anawekeza assets zake. Unawekeza kwaajili ya maendeleo huku afya yako mkononi, hiyo siyo akili. Tujifunze logicNa bahati njema mke ameitunza kwaajili ya maendeleo.
Ndio maana amekubali kutoa kununua kiwanja.
Stupid of the man akadhani ameficha kwa ubinafsi.
dah, jmn hawa wanaopata hizi connection wanafanyaje?Utetezi wa kijinga kabisa, kuna mwana namjua ana mke na watoto mkoa. Ila yuko bongo anagonga jimama flani ndio linamuweka mjini kistaa kabisa hizi 2-3M hazimpi shida kabisa.
Sio kwamba ni Marioo, jamaa ni lecturer chuo flani ila kama mnavyojua mshahara wa Lecturer hauwezi endesha maisha ya dar na mke mkoani.
Mke mkoa amenunuliwa Raum, jamaa ana premio mayai ila hela nyingi inatoka kwa jimama. Linalipa na kodi maeneo flani katikati ya mji kabisa limemuwekea na Harrier tako la nyani uwani.
Sasa kwa scenario hii utasema justification ya kuwa eti hujui hela ya mke imetoka wapi ina maana hela ya mwanaume kama huyu nae mke asiitumie sababu hajui imetokea wapi?
yani kuna vijitu vingine sijui vinajionaje yani.Sure.
Binafsi nikijengewa nyumba ya kuishi na Hela ya Mwanamke nahisi mizimu ya Babu zangu kama inaweza kuamka kwa hasira mkuu
Mambo mengine huwa mnayafanya yawe magumu tu...mtu anataka elfu tano yake wewe unamnunulia zawadi ya elfu kumi ilo iweje...kwani hiyo hela badala ya kununua zawadi ukimpa kama yeye anavyotaka utapungukiwa nini?Ni ujinga serious,, kuna shetani mmoja na yeye tuligombana kisa kaki tu...nimetumia pesa nyingi sana kwake siku ana elf tano niliichukua nikamwambia nampa ila nikawa akinikumbusha namwambia nitampa at the same time narudi na kitu as gift yake tu cha zaidi ya hio hela .. vocha yake ni mm naweka bado anathubutu nipa kauli za ajabu kisa elf tano niliitupilia mbali
πππππππ mkongo unamsaidia maana jamaa mtu wa gambe sanadah, jmn hawa wanaopata hizi connection wanafanyaje?
huyo jamaa atakuwa anakata kiuno kwelkweli
Jamaa anahisi tuko zama za mawe bado, sikuhizi mke anatakiwa nae awe ana contribute kwenye mahusiano na maendeleo yetu kwa ujumla.Wewe umeona mwanaume kupoteza uaminifu kwa mke wake tu ila uaminifu wa mke alioupoteza kwa mmewe ujaona. Hivi unajua mwanaume kama huyo katumia njia ya utulivu sana bila kujibizana, mwingine angeweza hata kuvunja ndoa kwakufikiri anamsaliti. Hujakutana na watu wanao overthink ndugu[emoji23][emoji23][emoji23]. Wewe mlee mwanamke kama mtoto halafu uone kitakacho kupata, ndoa ni kuheshimiana na kusaidiana sio ubinafsi sababu we ni jinsia fulani. Hujajua kwanini wanaume hupata sana magonjwa ya moyo na kisukari boss! Usitake kujua.
Hahahaha hio ndio inatakiwa aisee it makes no sense mtoto wa kwetu ila unajifanya uhusiki ni ujinga na uzwazwaKuna binamu yangu mkewe sijui pesa zake anapeleka wapi, imagine mtoto anataka hadi kurudishwa shule mume mambo yamekaa vibaya. Yeye katulia tu na hela zake. Siku moja mume kamtolea uvivu ndio akatoa hiyo hela ya ada. Yaani utadhani mtoto si wa kwake loh
Majentomen uchwara πππ ujitutumue mwisho ufe na mke ana millions kafichaNdio mbinu yao ya kutongoza mademu humu wanajifanya gentlemen
Mgeni huyu jamaa, siku atapokuta ana shida zimemkaba na mke anamuhonga boda boda wake laki 3 wakati huo huo atajua hajuiNdoa yako Haina mda, he he he! Hujui wanawake wewe!