πππππππππ tatizo wengine wachoyo. Bora wapigwe tu maana hamna namna ingineNi poa tu mi naona,,Kwanza umempiga pafupi hakikisha unaimaliza yote,, ila na nyie hamuaminiki mnahonga Sana ndo maana tunaamuaga kuwa katili tu
Listern Extrovert, Let's be honest- Mwanamke ndo kanunua hichi kiwanja ingawa source ya Hela ndo hatujui exactly ingawa inaweza kuwa ni Hela ya kwako Extrovert uliyomwonga kama mchepuko wako or not na jamaa yuko very happy with that regardless what.Hahahahah mke ambaye anaficha hela yake na kujidai mchungu sana hio ndio dawa yake. Ila kama mke ni generous sio mchoyo ukihitaji support yake huyo kumuibia ni dhambi hata Mungu hafurahii.
Zile anazoiba kwenye budget ya mwezi huwa unazifikiria au sababu mwanamke ni dhaifu yeye hana baya?πSawa umesikika lakini kwanini uibe? Mke ni mtu muhimu katika familia akipoteza uaminifu wake utakua umepoteza dira
Kama mume ni mtu wa "SELELA" mke huenda anamListern Extrovert, Let's be honest- Mwanamke ndo kanunua hichi kiwanja ingawa source ya Hela ndo hatujui exactly ingawa inaweza kuwa ni Hela ya kwako Extrovert uliyomwonga kama mchepuko wako or not na jamaa yuko very happy with that regardless what.
Mwanaume kaleta issue ambayo ni very beneficial kwa familia na akawa very supportive ingawa mwanaume hakuwa honest anyway, akampa pesa iliyohotajika jambo ambalo ni jema, ingawa mwanaume baada ya kupewa ka-conclude kwamba mkewe ni fala licha ya jambo kuwa ni kwa benefit ya familia - Hapa ndo unaweza kuelewa mwanaume ni mtu wa aina Gani hata recognition hana wala respect. Maswali ya msingi, kwnn hapa kapewa na kwengine kanyimwa? What if mwanaume ni dishonest na anapenda kuletewa na lengo la Mwanamke ni kumtoa kwenye hiyo comfort zone awe responsible man?
Sure.Kama mume ni mtu wa "SELELA" mke huenda anam
shape awe vizuri. Ila kama ni mtafutaji mzuri huenda nae aliamua tu kumwajibisha mke.
Women are selfish creatures.
Hao ni wale ambao wamepewa limbwata haoni wala hasikii hawamjui vizuri mwanamke.Kwani ukimuibia mke wako selfish kama huyo umeambiwa haisimami au unaota mbususu.
Kuna dada mmoja ndoa yake imevunjika mwaka jana, alidanganywa na dada yake wakachukua mkopo kwa kutumia hati ya nyumba yao. Mume anakuja kusikia nyumba inauzwa na benki. Bahati nzuri mume alikuwa na wakili wakaenda bank ikaonekana kulikuwa na makosa kwenye huo mkopo. Nyumba ikarudi ila huyo mwanamke akaambiwa alipe mkopo .UPENDO ndio nguzo muhimu katika ndoa.... upendo unajumuisha mambo ya msingi na ya kujenga taasisi ya ndoa....... Upendo unaokuza na kujenga ndoa unajumuisha juhudi za pande zote mbili na kila mmoja akijitoa kwa ajili ya huo Muunganiko.......
Unapotoweka upendo ndio huzaliwa ubinafsi......kwa kuwa upendo unajumuisha huruma, kujali, kuthamiana na kuthaminiana.........ubinafsi unazaa utengano wa nafsi na mwili na matokeo huzaa chuki..........
Eti mkeo anakukopesha hela, yani mwanamke aliyesimama mbele akatoa kiapo kuwa sisi ni mwili mmoja leo hii ananikopesha hela kama NMB na kunidai na riba πππ???Wewe ni mimi haswaaaa siwezi kuwa na kopeshwa na mke wangu ina kua haina maana ya mke na mume sasa
Kaka,Kuna dada mmoja ndoa yake imevunjika mwaka jana, alidanganywa na dada yake wakachukua mkopo kwa kutumia hati ya nyumba yao. Mume anakuja kusikia nyumba inauzwa na benki. Bahati nzuri mume alikuwa na wakili wakaenda bank ikaonekana kulikuwa na makosa kwenye huo mkopo. Nyumba ikarudi ila huyo mwanamke akaambiwa alipe mkopo .
Hahahahahah jitu mkewe anaamka asubuhi na yeye wakienda wote vibaruani ila ikitokea dharura ikiwa jamaa amesafiri eti mke anatwanga simu. Baba fulani tuma hela kuna hili limetokea.Mke nadhani ndiye msaidizi namba moja wa mume wake,suala la eti una mke,umezidiwa majukumu,unamuomba msaada anakukatalia,kisa pesa ni ya kwake,huyo ni wanini sasa ndani kwangu?
Yaani niende nikadharaulike huko mtaani,nayeye anao uwezo wa kunisaidia halafu anakataa,hapana kwakweli,tena hawa wanawake ambao wakimpenda bodaboda au dereva bajaji,safari ya buku 8,dereva anapewa elfu 20?Hapana kwakweli,ndiyomaana hata wadada ambao ni waajiriwa,mi huwa naona wanaowashobokea kuwaoa,eti wanaweza kusaidiana kwenye majukumu,huwa nawashangaa,ni bora uoe mama wa nyumbani tu,alee watoto ipasavyo,na ujue mimi ndiyo kila kitu.
Na sisi wanawake ni rahisi kudanyanywa na dada ,sijui mama kuharibu ndoa yako. Siku ukiachika hawana msaada na wewe.Kaka,
Hizi case za matrimonial home Huwa nazifuatilia sana mahakamani, majority ya wahanga ni kina mama. Na majority ya rulling kwenye hizi case mahakama imekuwa iki-side na bank licha ya mikataba kuwa na mapungufu makubwa sana ya kisheria.Inaumiza sana
Byuti byuti mkuu,Hahahahahah jitu mkewe anaamka asubuhi na yeye wakienda wote vibaruani ila ikitokea dharura ikiwa jamaa amesafiri eti mke anatwanga simu. Baba fulani tuma hela kuna hili limetokea.
Aisee tujitahidi kuoa wanawake wanaotuelewa na kutupenda kwa dhati ya moyo. Mke hana hata chembe ya kujistukia eti yeye sindo mwanaume afanye yeye. Mtoto anatakiwa elf 5O ya school bus mzee hayuko au hitaji lolote la shule mama mtu anapiga simu kwa mzee akiwa kikaoni Arusha. ππππ yet unasema una mke hapo.
Eti hela ya mke ni yake haitakiwi kuguswa, endeleeni kuwajaza ujinga. Kwangu mie mke ni asset lazma iwe na manufaa ya kijamii na hata kiuchumi. Sio kwa kumlazimisha au kumuibia ila ntahakikisha nae anachangia maendeleo yetu.
Hahahaha jamaa ni mtambo kweli.πππ Kwahio anayeficha hela wakati wa matatizo ndio anahisi ana akili sana? Bwege kabisa huyoSasa huyu anaeiba hela ndani ya familia na anayeficha hela ndani ya familia yupi bora
Mtaishi nayo tu haina namnaπππHaya ndio mafurushi yaliobakia, tutafanyaje sasa!!
Hapo mbwa kala mbwa πππHapo wote wanayo makosa,hakuna ambaye ni bora.
πππππ anajiimarisha kiuchumi mkuu ili siku mukizinguana awe na mtaji na kiburi cha kukuachaImekukuta kama mimi, mimi namba ya siri ya mke wangu ya benki na SIM card zak zote nazijua vizuri tu, yeye hajui yangu ya benki ila za SIM zote anazo na wakati fulani huwa namtuma kutoa hela au kulipia vitu nikiwa busy.
Hahahah hili linaweza kuwa na ukweli kwa asilimia nyingi mno.Ukiona mwanamke wako ni mgumu kukusaidia kifedha ujue hakupendi.
Hahahah ndio hao uko mahututi ila bill za maji na umeme unaletewa hospitali πππHuyo
Utakuja kuumwa atakuomba hela
Ya matumiz achana nae mm binafsi sitaweza kuoa mwanamke mbinafsi
Hahaha huyu hajitambui kabisaHahahaha jamaa ni mtambo kweli.πππ Kwahio anayeficha hela wakati wa matatizo ndio anahisi ana akili sana? Bwege kabisa huyo