Nimempiga mtoto wa mdogo wangu, ndugu wananilaumu lakini Mama ananiunga mkono

Nimempiga mtoto wa mdogo wangu, ndugu wananilaumu lakini Mama ananiunga mkono

Amemlea vibaya sana. Na ndio vitoto vinakujaga kuwa vishoga tangu mapema hivyo. Huyo hata hivyo ulimvumilia sana. Mimi sipendi kabisa watoto wa hivyo
 
Nililetewa mtoto wa sista nikae nae ameenda kozi ,kalikua kakojozi kameacha,kalikua hakajui hata kula kanalishwa mwenye kanakula sasa hivi tena anakula mpk wanamshangaaa,anacheza vzr na ananenepa.Mama ake haamini mtoto wa miaka 6 hajui chochote!

Kuna wazazi wanalea watoto kama hakuna kesho!!Mimi binafsi malezi ya kudekezq kizembe sinaga ,kuna Siku tumeenda kwenye sherehe kuna mtoto akawa analilia nyama jikoni wakawa wanamchekeq na wakampa..nilikaa kimya lakini nkasema moyoni angekua wangu angeimba aleluya!!!
Hii ya kulilia nyama ni tabia za kishenzi. Mimi kuna jirani yangu, wanae wawili huwa hawali pasipo nyama. Mtoto akikuta mboga nyingine anamwambia kabisa mama yake yeye hali anahitaji nyama. Mtoto ana miaka 8, anayemfuatia 5.

Watoto wakisema hivi wanaenda kununuliwa kuku au samaki. Nikajaribu kutafakar haya mazingira nikashindwa kuyaelewa kabisa.
 
Huyu mdogo wangu wa kike wa mwisho ana kitoto chake kina miaka 6. Weekend hii alikileta kije msalimia uncle. Mi sikuona shida kabisa. Wazo lilikuwa jema.

Shida ikawa kwenye utekelezaji. Kile ki uncle kina kera balaa... Kinakera mpaka mwisho. Kimefika home ndani ya muda mfupi kimeshaingia vyumba vyote, kimechafua kwenye friji na kimeshavunja jug la juice.

Mi niliweka pause tu kwanza kuvumilia nikiomba Mungu asaidie wageni waondoke haraka. Kikaanza kulilia remote kiangalie tamthiliya za A**m. Mimi nilishapiga marufuku pale home. Nikakikatalia ...kikaanza kulia. Mama yake anakimbembeleza....

Hakitaki kikamrushia remote usoni. Hapo nilitaka kunyanyuka....malaika akanizuia. Mama yake akawa tu anasema "Jamaani... Amran na hasira kama baba yake....yaani huyu mtoto" huku anajichekesha akifikicha fikicha jicho.

Nikainuka nikaichukua remote nikaijaribu nikaona inafanya kazi. Nikashusha pumzi kumshukuru Mungu maana nilijua pale hali ya hewa ingechafuka.

Kakawa kana mghasi sana mwanangu....uzalendo ulinishinda kalipomwambia "mshenzi weeee" hapo nilijikuta nimeamka nikakamata na kukapeleka uani. Nikavunja ua langu zuri maskini nipate fimbo. Nilikatandika sana... Heeehhh .... Si kanalia kananambia ... "Toka hapa...." Nikaona haka kametumwa kunitafutia kesi na Serikali au ustawi wa jamii....

Nikakacharaza viboko miguuni, mamaa yake akaja ...na kudai inatosha nitamuumiza mwanaye si vizuri kumchapa mtoto, inatakiwa kukaa naye kuongea naye.

Nilimwambia hilo la kukaa naye kuongea naye akafanyie huko kwao. Hapa kwa uncle katulie hasa. Mama yake ali mind. Eti....mtoto anapaswa apewe muda wa kucheza atakavyo. Nilimwambia akacheze huko ila asichezee vitu vyangu na sitaki kabisa uharibifu.

Akasema: "Kaka ndo maana wengi hatupendi kuja kwako ...mkoloni sana na hupendi watoto" alinikwaza....yaani yeye kukilea kitoto chake vile kama kimbwa koko anaona ndo mapenzi. Kitoto kina sugu, vidonda na kimekuwa cheusi, kimekauka kama kinakula cement eti ndo anakipenda nikasema wacha iwe hivyo.

Kimekaa kaa kidogo kwa utulivu kikajisahau tena ...kikajikojolea.... Mtoto wa miaka 6 anajikojoleaje? Mimi wangu ameanza kukojoa mwenyewe akiwa na miaka 2 huyu sita anakojolea carpet?

Mama yake anasema ndo alivyo yaani ...ukichelewa tu kumvua nguo anajikojolea hapendi kukaa na mkojo. NIlimwita mtoto wangu nikamwambia niitie dada. Dada alipokuja nikamwambia kanichumie fimbo.

Sister akaamua akachukue katoto kake akakapeleka kwenye gari kukaepusha na dhahama. Wakaamua kuondoka. Nikasema na iwe hivyo...alaaaah yaani kafanye ujinga nikaogope sababu ya mama yake.....sister kawaambia wadogo zangu wengine kuwa nime mnyanyasa mtoto wake. Ndugu wananisema....mama akapata taarifa.

Akanipigia simu kuwa nimefanya swadakta kile kitoto kinalelewa hovyo. Mama yake anakikiss mpaka ulimi.....anasema ndo mapenzi kwa mtoto. Mama anasema hataki hata kikamtembelee kilimtia hasara nyingi ikiwepo kudumbukiza simu yake majini.

Nimejisemea tu wacha na iwe. Asiyefunzwa na mamaye sisi tutamfunza tu ...
Nimecheka sana yaan umenikumbusha niliwahi kualikwa sikukuu kwenye familia flani hivi ya kishua yaani kuna kitoto cha miaka mitatu pale kinasumbua balaa halafu wenyewe wanakilea kama yai[emoji1787]
Yaani wageni wote tuliokaa kwenye sofa bale sebureni tulipakazwa michuzi katoto hakatulii mara kanakufuata kanalazimisha katoe simu yako mfukoni mpaka kanalia kwa sauti ukikapa simu kanaitupa chini kanakupanda kwenye miguu kanaanza kuvuta tai yako shingoni kakitoka hapo kanaenda jikoni kanarudi kameshika nyama kanakuja kanakushika na ile michuzi yaani sebure nzima ilikuwa ni kero yule mtoto mpaka alipokuja kusinzia jioni ya saa kumi na moja ndo tukapumua ila tulikuwa hoi mie sikuenjoy kabisa niliaga mapema nikasepa kabla hakajaamka
 
Ahahahahahahaha..Et anamilik K mbili..mkuu acha kuwa tweza wanawaken[emoji23][emoji23][emoji23] ..umewa degrade mpaka mwisho yani..Yan mwanamke kwako ni K tu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
No no plz.
Halikuwa lengo langu kuwatweza hawa mama na dada zetu. Nimeongea kama vile tuko masela peke yetu.
Hawa viumbe mimi ni miongoni mwa wanaume mwenye heshima kwao.
Hapa nimeteleza tu mkuu
 
Kumbe kukaa na akina uncle ni mtihani sana niliwahi kukaa na mtoto wa dada yangu alifeli form four huko kijijini nikamwambia aje mjini aludie shule baada kufika mtoto hana nidhamu kumbe kule kijijni yeye ndoo alikuwa mtawala sister aongei kitu tukaanza vita urusi na ukrain nilianza kumbutua mpaka akili ilikaa sawa .nikamwambia kama nakuonea nenda kwenu kaishi kwa amani ila alishika adabu mpaka. Sasa yupo chuo kwa nguvu zangu.kwa hiyo malezi dada yetu ni hovyo sana kwa watoto wao japo nae shemeji hakuwa na sauti kwa mtoto
 
Ila Hawa watoto malezi yetu yanawaharibu Mie kuna sehemu nilienda mtoto miaka 4-5 yule acha anitemee mate daaah nilikafinya kakapiga yowe sema kalikuwa na mwenzie mamake alipo uliza yule mtoto akajibu amemtemea mate mgeni

Ila nilitamani nikae nako masaa 2 ma 3 nakafinya maana dharau za kutemewa mate sio powa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Miaka 10 iliopita nimekuja dar kuanza chuo nikafikia kwa aunt yangu anawatto wawil miaka 3 na 7 aseeh walikuwa vipegesi balaaa nilipewa chumba cha uani wao wanakaa nyumba kubwa

Mwanzon nilichukulia hali ya kawaida ila kadri siku zinavyo enda nikaona wanazidi kunipanda kichwan baba yao hashind nyumban anarudi usiku saa 5 huko kila siku mama yao hivyo hivyo isipokuwa jpili anashinda home tena anajifungia chumban huko

Watto muda mwing wanashinda na dada wa kaz wanamsumbua na kumpelekesha hatari akiwapiga mama akiambiwa anakuwa mkali balaa kuna siku nipo zangu chumban nasikia yule mtto mkubwa anamuambia dada TOKA HAPA KWETU MASKINI WEWE natoka namuona anachukua viatu anamrushia nilichukua mkanda wa suruali nilimshika nilimchapa sana akatishia kusema kwa mama yake uzur mama yake anajua mm nilivyo kwel mama yake karudi ule usiku akanisemea nikatoka taratibu kuchukua mkanda nikamshika mbele ya aunt nikatandika tena nilijitahid ile semister ya kwanza wale watto wakanyooka nilibatizwa jina na kuitwa kaka mikanda mpaka sasa wanajielewa wamekuwa watu wakubwa sasa wananipenda sana na mm nawapenda pia
 
Miaka 10 iliopita nimekuja dar kuanza chuo nikafikia kwa aunt yangu anawatto wawil miaka 3 na 7 aseeh walikuwa vipegesi balaaa nilipewa chumba cha uani wao wanakaa nyumba kubwa

Mwanzon nilichukulia hali ya kawaida ila kadri siku zinavyo enda nikaona wanazidi kunipanda kichwan baba yao hashind nyumban anarudi usiku saa 5 huko kila siku mama yao hivyo hivyo isipokuwa jpili anashinda home tena anajifungia chumban huko

Watto muda mwing wanashinda na dada wa kaz wanamsumbua na kumpelekesha hatari akiwapiga mama akiambiwa anakuwa mkali balaa kuna siku nipo zangu chumban nasikia yule mtto mkubwa anamuambia dada TOKA HAPA KWETU MASKINI WEWE natoka namuona anachukua viatu anamrushia nilichukua mkanda wa suruali nilimshika nilimchapa sana akatishia kusema kwa mama yake uzur mama yake anajua mm nilivyo kwel mama yake karudi ule usiku akanisemea nikatoka taratibu kuchukua mkanda nikamshika mbele ya aunt nikatandika tena nilijitahid ile semister ya kwanza wale watto wakanyooka nilibatizwa jina na kuitwa kaka mikanda mpaka sasa wanajielewa wamekuwa watu wakubwa sasa wananipenda sana na mm nawapenda pia
Nikuwanyosha tu hamna namna
 
Amemlea vibaya sana. Na ndio vitoto vinakujaga kuwa vishoga tangu mapema hivyo. Huyo hata hivyo ulimvumilia sana. Mimi sipendi kabisa watoto wa hivyo

Usimnenee mtoto wa mtu hivyo.
 
Tatizo ni hilo la wadada wasomi kuzaa ndo haya kutuletea kina junior
Sasa mtoto anaitwa imran kweli?
 
Miaka 10 iliopita nimekuja dar kuanza chuo nikafikia kwa aunt yangu anawatto wawil miaka 3 na 7 aseeh walikuwa vipegesi balaaa nilipewa chumba cha uani wao wanakaa nyumba kubwa

Mwanzon nilichukulia hali ya kawaida ila kadri siku zinavyo enda nikaona wanazidi kunipanda kichwan baba yao hashind nyumban anarudi usiku saa 5 huko kila siku mama yao hivyo hivyo isipokuwa jpili anashinda home tena anajifungia chumban huko

Watto muda mwing wanashinda na dada wa kaz wanamsumbua na kumpelekesha hatari akiwapiga mama akiambiwa anakuwa mkali balaa kuna siku nipo zangu chumban nasikia yule mtto mkubwa anamuambia dada TOKA HAPA KWETU MASKINI WEWE natoka namuona anachukua viatu anamrushia nilichukua mkanda wa suruali nilimshika nilimchapa sana akatishia kusema kwa mama yake uzur mama yake anajua mm nilivyo kwel mama yake karudi ule usiku akanisemea nikatoka taratibu kuchukua mkanda nikamshika mbele ya aunt nikatandika tena nilijitahid ile semister ya kwanza wale watto wakanyooka nilibatizwa jina na kuitwa kaka mikanda mpaka sasa wanajielewa wamekuwa watu wakubwa sasa wananipenda sana na mm nawapenda pia
Safi Sana kama unao watoto watakuwa wamenyooka Sana.
 
Huyu mdogo wangu wa kike wa mwisho ana kitoto chake kina miaka 6. Weekend hii alikileta kije msalimia uncle. Mi sikuona shida kabisa. Wazo lilikuwa jema.

Shida ikawa kwenye utekelezaji. Kile ki uncle kina kera balaa... Kinakera mpaka mwisho. Kimefika home ndani ya muda mfupi kimeshaingia vyumba vyote, kimechafua kwenye friji na kimeshavunja jug la juice.

Mi niliweka pause tu kwanza kuvumilia nikiomba Mungu asaidie wageni waondoke haraka. Kikaanza kulilia remote kiangalie tamthiliya za A**m. Mimi nilishapiga marufuku pale home. Nikakikatalia ...kikaanza kulia. Mama yake anakimbembeleza....

Hakitaki kikamrushia remote usoni. Hapo nilitaka kunyanyuka....malaika akanizuia. Mama yake akawa tu anasema "Jamaani... Amran na hasira kama baba yake....yaani huyu mtoto" huku anajichekesha akifikicha fikicha jicho.

Nikainuka nikaichukua remote nikaijaribu nikaona inafanya kazi. Nikashusha pumzi kumshukuru Mungu maana nilijua pale hali ya hewa ingechafuka.

Kakawa kana mghasi sana mwanangu....uzalendo ulinishinda kalipomwambia "mshenzi weeee" hapo nilijikuta nimeamka nikakamata na kukapeleka uani. Nikavunja ua langu zuri maskini nipate fimbo. Nilikatandika sana... Heeehhh .... Si kanalia kananambia ... "Toka hapa...." Nikaona haka kametumwa kunitafutia kesi na Serikali au ustawi wa jamii....

Nikakacharaza viboko miguuni, mamaa yake akaja ...na kudai inatosha nitamuumiza mwanaye si vizuri kumchapa mtoto, inatakiwa kukaa naye kuongea naye.

Nilimwambia hilo la kukaa naye kuongea naye akafanyie huko kwao. Hapa kwa uncle katulie hasa. Mama yake ali mind. Eti....mtoto anapaswa apewe muda wa kucheza atakavyo. Nilimwambia akacheze huko ila asichezee vitu vyangu na sitaki kabisa uharibifu.

Akasema: "Kaka ndo maana wengi hatupendi kuja kwako ...mkoloni sana na hupendi watoto" alinikwaza....yaani yeye kukilea kitoto chake vile kama kimbwa koko anaona ndo mapenzi. Kitoto kina sugu, vidonda na kimekuwa cheusi, kimekauka kama kinakula cement eti ndo anakipenda nikasema wacha iwe hivyo.

Kimekaa kaa kidogo kwa utulivu kikajisahau tena ...kikajikojolea.... Mtoto wa miaka 6 anajikojoleaje? Mimi wangu ameanza kukojoa mwenyewe akiwa na miaka 2 huyu sita anakojolea carpet?

Mama yake anasema ndo alivyo yaani ...ukichelewa tu kumvua nguo anajikojolea hapendi kukaa na mkojo. NIlimwita mtoto wangu nikamwambia niitie dada. Dada alipokuja nikamwambia kanichumie fimbo.

Sister akaamua akachukue katoto kake akakapeleka kwenye gari kukaepusha na dhahama. Wakaamua kuondoka. Nikasema na iwe hivyo...alaaaah yaani kafanye ujinga nikaogope sababu ya mama yake.....sister kawaambia wadogo zangu wengine kuwa nime mnyanyasa mtoto wake. Ndugu wananisema....mama akapata taarifa.

Akanipigia simu kuwa nimefanya swadakta kile kitoto kinalelewa hovyo. Mama yake anakikiss mpaka ulimi.....anasema ndo mapenzi kwa mtoto. Mama anasema hataki hata kikamtembelee kilimtia hasara nyingi ikiwepo kudumbukiza simu yake majini.

Nimejisemea tu wacha na iwe. Asiyefunzwa na mamaye sisi tutamfunza tu ...

Kwa akili yako na umri wako Mama yako ndo mtu wa kumsikikiza kwa kiwango hiki? Na Mama anashanibikia Mwanamke kupigwa?
 
Huyu mdogo wangu wa kike wa mwisho ana kitoto chake kina miaka 6. Weekend hii alikileta kije msalimia uncle. Mi sikuona shida kabisa. Wazo lilikuwa jema.

Shida ikawa kwenye utekelezaji. Kile ki uncle kina kera balaa... Kinakera mpaka mwisho. Kimefika home ndani ya muda mfupi kimeshaingia vyumba vyote, kimechafua kwenye friji na kimeshavunja jug la juice.

Mi niliweka pause tu kwanza kuvumilia nikiomba Mungu asaidie wageni waondoke haraka. Kikaanza kulilia remote kiangalie tamthiliya za A**m. Mimi nilishapiga marufuku pale home. Nikakikatalia ...kikaanza kulia. Mama yake anakimbembeleza....

Hakitaki kikamrushia remote usoni. Hapo nilitaka kunyanyuka....malaika akanizuia. Mama yake akawa tu anasema "Jamaani... Amran na hasira kama baba yake....yaani huyu mtoto" huku anajichekesha akifikicha fikicha jicho.

Nikainuka nikaichukua remote nikaijaribu nikaona inafanya kazi. Nikashusha pumzi kumshukuru Mungu maana nilijua pale hali ya hewa ingechafuka.

Kakawa kana mghasi sana mwanangu....uzalendo ulinishinda kalipomwambia "mshenzi weeee" hapo nilijikuta nimeamka nikakamata na kukapeleka uani. Nikavunja ua langu zuri maskini nipate fimbo. Nilikatandika sana... Heeehhh .... Si kanalia kananambia ... "Toka hapa...." Nikaona haka kametumwa kunitafutia kesi na Serikali au ustawi wa jamii....

Nikakacharaza viboko miguuni, mamaa yake akaja ...na kudai inatosha nitamuumiza mwanaye si vizuri kumchapa mtoto, inatakiwa kukaa naye kuongea naye.

Nilimwambia hilo la kukaa naye kuongea naye akafanyie huko kwao. Hapa kwa uncle katulie hasa. Mama yake ali mind. Eti....mtoto anapaswa apewe muda wa kucheza atakavyo. Nilimwambia akacheze huko ila asichezee vitu vyangu na sitaki kabisa uharibifu.

Akasema: "Kaka ndo maana wengi hatupendi kuja kwako ...mkoloni sana na hupendi watoto" alinikwaza....yaani yeye kukilea kitoto chake vile kama kimbwa koko anaona ndo mapenzi. Kitoto kina sugu, vidonda na kimekuwa cheusi, kimekauka kama kinakula cement eti ndo anakipenda nikasema wacha iwe hivyo.

Kimekaa kaa kidogo kwa utulivu kikajisahau tena ...kikajikojolea.... Mtoto wa miaka 6 anajikojoleaje? Mimi wangu ameanza kukojoa mwenyewe akiwa na miaka 2 huyu sita anakojolea carpet?

Mama yake anasema ndo alivyo yaani ...ukichelewa tu kumvua nguo anajikojolea hapendi kukaa na mkojo. NIlimwita mtoto wangu nikamwambia niitie dada. Dada alipokuja nikamwambia kanichumie fimbo.

Sister akaamua akachukue katoto kake akakapeleka kwenye gari kukaepusha na dhahama. Wakaamua kuondoka. Nikasema na iwe hivyo...alaaaah yaani kafanye ujinga nikaogope sababu ya mama yake.....sister kawaambia wadogo zangu wengine kuwa nime mnyanyasa mtoto wake. Ndugu wananisema....mama akapata taarifa.

Akanipigia simu kuwa nimefanya swadakta kile kitoto kinalelewa hovyo. Mama yake anakikiss mpaka ulimi.....anasema ndo mapenzi kwa mtoto. Mama anasema hataki hata kikamtembelee kilimtia hasara nyingi ikiwepo kudumbukiza simu yake majini.

Nimejisemea tu wacha na iwe. Asiyefunzwa na mamaye sisi tutamfunza tu ...
Ulikosea sana ilitakiwa Dada yako naye ale fimbo
 
Mtoto alipinda aisee. Siku moja huwezi kuamini washkaji wamekuja kunitembelea, ile tumekaa tunapiga stori eti dogo kaanza kuwatoa kwenye kochi ili acheze.

Nilivyojaribu kumzuia nyumba ikalipuka kwa fujo za dogo. Kwa kweli huyu mwanangu wa kufikia aliharibikiwa.

Mama alimuogopa mtoto, asingeweza kwenda naye popote kwa kuogoga aibu mbele za watu. Nilichokifanya ni kujiwekea mpango kazi hatua kwa hatua, nikampa mama maelekezo. Nilivyomaliza kuweka nidhamu, nikaanza sasa kumpa mama silaha.

Yaani dogo asinisikilize tu ila mama yake pia, napo nikafanikiwa maana niliona kuna uwezekano dogo akaniheshimu ila akampuuzia mama yake na watu wengine.

Hapa nilimpa mama masharti magumu, hata nisipokuwepo dogo akileta fyongo lazima nifahamishwe, na ikiwezekana napigiwa simu dogo akisikia. Alivyoona amebanwa kila kona, alisalimu amri.

Sasa hivi nataka sasa kuingia hatua ya kujenga mahusiano ya kirafiki jambo ambalo sikutaka kufanya mwanzoni baada ya kugundua alichukulia kama mimi ni rika yake vile so ilibidi niwe mgumu, mipaka ilibidi iwepo ili kusimika nidhamu.

Nakuhakikishia, siyo kazi rahisi aisee, imenichukua karibia miaka miwili kumnyoosha dogo.

Sasa hivi mama yake anafurahi na ananitunuku vizuri hasa.
Hakika wewe ni baba wa kambo bora

Angekuwa mwingine angemswaga

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom