Nimempigia kura Yeriko Nyerere kuwa mwandishi bora wa vitabu Afrika; wewe unasubiri nini?

Hakika
 
Ungeweka link basi
 
Hongera sana Yeriko Nyerere, tulianza kwa kuomba kura tumepata na sasa ni muda wa kusherekea mafanikio ya uungwaji mkono
 
Yaani hadi leo,hakuna aliyeleta utaratibu namna ya kumpigia,wengi tulikua tuna nia ya dhati ya kumpigia kura,ila access Sasa.... duuuh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…