Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Kweli kabisa Mkuu,jamaa anaongea hoja nzito,ndio mana watu wanakuja kumuattack personallyLema anaongea mambo mazito sana ambayo hayawezi kuhimilika kwa watu mediocres
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa Mkuu,jamaa anaongea hoja nzito,ndio mana watu wanakuja kumuattack personallyLema anaongea mambo mazito sana ambayo hayawezi kuhimilika kwa watu mediocres
Inawezekana ila ningetamani sana tubadilishe hata lugha ili tuelewane vizuri kwa maana naona kiswahili kinakushindaJamaa inaonekanaina ana uwezo mdogo sana wa kuchambua mambo kwa mapana
Huyo anawakilisha uhalisia wa akili za hao "maafisa usafirishaji" waliosemwa na bwana mdogo Lema.
Wanafikiria uchaguzi tu ili wapate kujaziwa mafuta pikipiki zao na kupewa elfu kumi kumi tu.
Huyu jamaa ndiyo mojawapo ya wale ambao ndugu Lema amewaongelea.
Sasa mtu Kama wewe si ni mshamba kweli !? Kutokutembea kunawafnya vijana wa kitanzania kuwa domant mno!!! Hivi una hata passport kweli wewe kwa akili hii!?Magufuli tulimuelewa saaana ndio maana aliwashughulikia wajinga kama huyu kilaza anaetukana watanzania kuwa wanafanya kazi za laana ,ni washamba na ni maskini.
Tuletee cv ya Lema hapa then we will be in a position to know who is really a mediocre
Hatutaki tena kukaa kwenye chumba cha misukule tulichowekwa na viongozi waovu sasa ni saa ya ukombozi,,,misukule itarejeshewa nafsi zake na mlioifuga mtataabika Sana!! 2025 nilisajili Arusha nimchague LemaLema wakwanza hoja kama hizo au nyie ni wa 2002 itakuwa
Wapi amelaumu?Yeye kama Lema aliweza fanya nini kwa kufikiri na kuweza kujikwamua kimaisha kama ambavyo kuna wafanya biashara ambao wanatoa wasifu wao njia walizopitia hadi kutoboa .Huyu mwamba feki yeye analaumu kwa kwenda mbele.Brother mawzo mmbadal sio kulaumu bali ninkutoa mbinu za nini kifanyike.
Huyo anawakilisha uhalisia wa akili za hao "maafisa usafirishaji" waliosemwa na bwana mdogo Lema.
Wanafikiria uchaguzi tu ili wapate kujaziwa mafuta pikipiki zao na kupewa elfu kumi kumi tu.
Huyu jamaa ndiyo mojawapo ya wale ambao ndugu Lema amewaongelea.
Washamba mnaosemwa na Lema .Je kenya na uganda ni matajiri?
Kweli aisee.Tati
Tatizo watu wanapeleka chuki zao binafsi kwa Lema wanaacha kuona ukweli wa hoja za mujarabu kabisaaa na kazileta wakati muhafaka ila walafi hawataki watu wafunguke akili
Asante Mkuu,huyu ndugu najaribu kumueleza vitu vidogo tu aache mkumbo kubisha vitu vya maana haitusaidii,lazima tuukubali ukweli...tatizo tunalopata ni kwamba watanzania wengi bado hatupendi kuujua ukweli mchungu.Jamaa utakuwa mwl maana unajua kuelimisha!! Hakika huwezi ku transform uchumi wa nchi ushindane duniani kwa kuwadump vijana katika ubodaboda na vikoba kumfanyia kazi muhindi
Nimeuuliza kuhusu Tanzania, nadhani ungejibu kwanza swali langu,Je Tanzania ni nchi masikini au tajiri?Je kenya na uganda ni matajiri?
Unasubiri Nani akuanzishie hicho chama!! HiI ndo dizaini yetu wtz tukishakukula maugali basi tunaona hakuna Kama sisi duniani hivi tumerogwa au!! Eti unakuta mtu anashangilia nimeajiriwa mshahara 400,000Inawezekana ila sasa chama mbadala hakuna
Kazi ya mbunge ni nini?hoja sio tatizo utekelezaji upo...? Kwani lema si alikuwa Mbunge au ? Amefanya kipi?
Jamaa wana akili ndogo sana, inasikitisha na kutia hasira piaHuyo anawakilisha uhalisia wa akili za hao "maafisa usafirishaji" waliosemwa na bwana mdogo Lema.
Wanafikiria uchaguzi tu ili wapate kujaziwa mafuta pikipiki zao na kupewa elfu kumi kumi tu.
Huyu jamaa ndiyo mojawapo ya wale ambao ndugu Lema amewaongelea.
Usichoke pengine na huko ulaya wajinga Kama Hawa walikuwepo walibadilika taratibuuAsante Mkuu,huyu ndugu najaribu kumueleza vitu vidogo tu aache mkumbo kubisha vitu vya maana haitusaidii,lazima tuukubali ukweli...tatizo tunalopata ni kwamba watanzania wengi bado hatupendi kuujua ukweli mchungu.
Tatizo liko hapo, propaganda hizi zinaharibu kila kituTati
Tatizo watu wanapeleka chuki zao binafsi kwa Lema wanaacha kuona ukweli wa hoja za mujarabu kabisaaa na kazileta wakati muhafaka ila walafi hawataki watu wafunguke akili
Hao ni walafi wa ccm hawataki watu waujue ukweliJamaa wana akili ndogo sana, inasikitisha na kutia hasira pia
Nikuulize weweKazi ya mbunge ni nini?
Jikite kwenye hoja zake,yeye kutoka au kutokutoka haibadilishi ukweli aliousemaYeye ameshaweza kupambana na kutoka kimaisha?