Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa ikikukaa kichwani ni hatari sana... Hawa ccm na chadema ni kitu kimoja na sie wajinga ndio mtaji wao. Familia zao zinaishi maisha mazuri. Sisi wajinga tunarumbana kijiweni wao wapo pamoja hotel za kifahari.Mimi sio mwanasiasa mangi kwa hiyo wewe endelea kupiga mayowe na wajinga kama lema ambae bila siasa hawezi maisha mengine
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamaa nadhani hata Dar hajafikaHiI
Sasa mtu Kama wewe si ni mshamba kweli !? Kutokutembea kunawafnya vijana wa kitanzania kuwa domant mno!!! Hivi una hata passport kweli wewe kwa akili hii!?
AsanteHoja moja,Lema anajaribu kutuonyesha sisi ni masikini wa kipato, kufikiri,anatuamsha tuamke tutoke nje ya box tuwaze, anajaribu kuonyesha bodaboda sio kazi ya katika nchi zilizoendelea na zinazotaka kuendelea,lazima kama nchi tutafute ufumbuzi wa kudumu wa tatizo la ajira.
Kweli kabisaUsichoke pengine na huko ulaya wajinga Kama Hawa walikuwepo walibadilika taratibuu
AiseeNikuulize wewe
Tatizo ni letu kwa sababu tumeacha wajibu wetu Kama wananchi kuwakaba Koo wanasiasa wetu kutimiza au kutanya tunayotaka tumekalia umbea tuuuSiasa ikikukaa kichwani ni hatari sana... Hawa ccm na chadema ni kitu kimoja na sie wajinga ndio mtaji wao. Familia zao zinaishi maisha mazuri. Sisi wajinga tunarumbana kijiweni wao wapo pamoja hotel za kifahari.
Wakiongea jukwaani sura zao zimenawili sisi za kwetu zimejaa makunyanzi na makovu ya jua...
Afrika tunahitaji mfumo mpya wa kisiasa mbali na hii demokrasia.. Miaka zaidi ya sitini mfumo wa kidemokrasia umeshindwa kuendana na nature ya jamii za kiafrika
huna akili.Lema baada ya kukataliwa humu kwa uropokaji wake ameamua kila baada ya nusu saa kuleta uzi mpya .Haisaidii chochote ulisharopoka na umeonekana mtu wa ovyo kupita maelezo aisee. Hata hivyo sio vibaya tukajikumbusha yafuatayo toka kwa Lema:
View attachment 2556959
Kweli kabisa... Bob Marley alipata kunena" Serikari Haina makosa, makosa wanayo wanachi kwani wao ndio waliyoichagua hiyo serikari"Tatizo ni letu kwa sababu tumeacha wajibu wetu Kama wananchi kuwakaba Koo wanasiasa wetu kutimiza au kutanya tunayotaka tumekalia umbea tuuu
Uchawa umeharibu fikra za wengiTatizo ni letu kwa sababu tumeacha wajibu wetu Kama wananchi kuwakaba Koo wanasiasa wetu kutimiza au kutanya tunayotaka tumekalia umbea tuuu
Ni kweli kabisa,tatizo la mwafrika lipo kwenye fikra,hilo halina ubishiNina uhakika atakama wapinzani wakachukua Dola mambo yatukua hayahaya, Case study, Zambia na Malawi... Chama Cha siasa kikienda kuanguka kinamtindo wakujibadiri rangi
Kweli kabisaWtz tuungane na watu wanaotuonesha njia na kuusema ukweli haya mahafidhina yasiyokubali kwamba hatukutakiwa kuwa hivi tuyapuuze mungu atashughulika nayo
Demokrasia na umasikini ni mbingu na ardhiNi kweli kabisa,tatizo la mwafrika lipo kwenye fikra,hilo halina ubishi
Tatizo siyo vyama bali uwezo wa wananchi kufikiri,,,unaweza kudhani mwafrika si kiumbe kamili sababu tupo tupo tuNi kweli kabisa,tatizo la mwafrika lipo kwenye fikra,hilo halina ubishi
Inafikirisha sana mkuu, Angalia Nigeria mambo yanayoendelea,unajikuta tu unashangaa, waafrika sisi ipo shida kubwa sana.T
Tatizo siyo vyama bali uwezo wa wananchi kufikiri,,,unaweza kudhani mwafrika si kiumbe kamili sababu tupo tupo tu