Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #161
Acha ubazazi wewe! Unajua dini kuliko wasaudia wewe?jaribu kuwa na elimu angalau kidogo sio umepata zero form four unakuja kupiga kelele.
Hamna ujualo pambana wa udumavu huko kwenu
Wewe ni muislamu kuliko Wasaudia?Kaka usidhihaki imani ya mtu,
tutajiweka level moja nao! WOTE wanaokashifu dini ya kiislamu your time is coming! Bloodclot keyboard warriors, hasidi hawezagi kuficha husda yake milele itamponyoka tu na hapa tunayajua manguruwee yote.
zero brain 😂😂😂 nilijua kwamba mpumbavu!Acha ubazazi wewe! Unajua dini kuliko wasaudia wewe?
Endelea kujichekesha tu! Hujui dini kuliko Wasaudia hivyo acha kuendekeza tabia za hovyozero brain 😂😂😂 nilijua kwamba mpumbavu!
papa kasema ndoa za jinsia moja zibarikiwe je wewe na baba ako mtakubali kuolewa?Endelea kujichekesha tu! Hujui dini kuliko Wasaudia hivyo acha kuendekeza tabia za hovyo
NakaziaWaislam Watanzania Wana uchu na uchi wa tuschana tudogo.
Ni wajinga sana, wana maujinga mengi mno.
Kasema lini na wapi? Alafu mimi baba yangu ni muislamupapa kasema ndoa za jinsia moja zibarikiwe je wewe na baba ako mtakubali kuolewa?
Hujui kitu ndoa za jinsia moja zinaanza kubarikiwa kanisani ,uliza wenzio hata humu uzi upo.Kasema lini na wapi? Alafu mimi baba yangu ni muislamu
Acha uwongo jinga wewe.Mleta uzi huu umekurupuka sema hapa utaelewana. kwa kuwa wewe ufuate alichokiamurisha Mwenyezi Mungu unaona makosa ila shekhe ponda yuko sahihi.
Saudia Arabia ni nchi ya kiarabu ila haitumii sheria za dini ya kiislamu . Na waarabu sio wote waislamu KITOVU cha dini ya uislam sio sahihi kusema saudia Arabia
Kasema lini na wapi? Alafu mimi baba yangu ni muislamu
Kasema lini na wapi? Alafu mimi baba yangu ni muislamu
Hivi unajiona ulivyo mjinga??Hujui kitu ndoa za jinsia moja zinaanza kubarikiwa kanisani ,uliza wenzio hata humu uzi upo.
shekhe ponda kasema kweny Qur an na pia hizo ndoa kwa waislamu ni chache sana kwa zama hizi ila kuna hekima kubwa na faida kwani kunatokea emergency ...Kama unataka faida zipo kwa mwanaume Mfano watoto wa shule za msingi wanapigwa mimba na mume kufungwa kwa vile kazaa na mtoto ..Je kili kichanga kinazaliwa wakati babaake yupo jela je familia inaendaje baba yupo jela ? Na vip kuhusu haki ya malezi ya kichaga kwa babaake ?
Huoni kwamba baada ya beleghe lolote laweza kutokea ni kwamba jamii zetu nyingi hata kama sio za kiislamu mtoto akishapewa mimba wanakimbilia kumuozesha maana tayar kashapata mtoto ili mtoto alelewe na wazazi pia kutoa aibu.
ushawahi kuzunguka kuangalia hata takwimu za watoto wa kike chini ya miaka 14 wanavyopigwa mimba?
Unawezaje kutenganisha Saudi Arabia na uislamu wewe? Hivi unaijua hata Saudia wewe?Kweli ujinga hukuingia kwa namna nyingi.
Sasa waislamu waufuate uislam wao au usaudi arabia?
Saudi Arabia ni nchi tu ambayo viongozi wake wanaweza kupindisha mambo kwa maslahi binafsi katika sheria zao.
Kiufupi hakuna faida itakuja baada ya huu mzozo, kwann usibaki na chuki yako moyoni? Ni kama mashoga tu kutaman kila mtu awe shoga! Kwahiyo babaako hana akili kua muislam? Chuki haijawahi jificha.Wewe ni muislamu kuliko Wasaudia?
Kwenye uislam hakuna taratibu zote zinazotuhusu night club,Acha ufala! Unajua hata hizo night clubs zimewekewa taratibu gani huko Saudi Arabia?
Mbona unajificha kweny kanisa katoliki ?Chanzo chako cha uhakika hicho? Hakuna kanisa katoliki linalobariki ndoa za mashoga mpuuzi wewe