Nimemtetea Prophet Lovi mtandaoni kwamba Tatoo alizichora kabla hajaokoka then nimekuwa rewarded

Nimemtetea Prophet Lovi mtandaoni kwamba Tatoo alizichora kabla hajaokoka then nimekuwa rewarded

Sijawahi kusema wewe ni Kiranga na kamwe sitasema. Wapo wanaosema ninyi ni kikundi cha watu, na sishurutuki kuwaamini.

Ninachosoma pasipokuathiri mapokeo, ninaamini akaunti iliyotuma ndiyo hiyo hiyo imekuwa kinara katika kutaka uthibitisho.
Hujathibitisha aliyeandika ni mtu.

Inawezekana ni Artificial Intelligence.

Unabishana na bit la Artificial Intelligence sasa.

Thibitisha aliyeandika ni mtu.
 
Hujathibitisha aliyeandika ni mtu.

Inawezekana ni Artificial Intelligence.

Unabishana na bit la Artificial Intelligence sasa.

Thibitisha aliyeandika ni mtu.
Kuna mahali nimesema aliyeandika ni mtu? Usinilishe maneno.

Nimetanabaisha wazi, "ninaamini akaunti iliyotuma ndiyo hiyo hiyo imekuwa kinara katika kutaka uthibitisho"

Hivyo, iwe roboti ama AI au iwe mtu, lakini akaunti iliyotumika na inayotumika hata sasa ni ya KIRANGA.
 
Kuna mahali nimesema aliyeandika ni mtu? Usinilishe maneno.

Nimetanabaisha wazi, "ninaamini akaunti iliyotuma ndiyo hiyo hiyo imekuwa kinara katika kutaka uthibitisho"

Hivyo, iwe roboti ama AI au iwe mtu, lakini akaunti iliyotumika na inayotumika hata sasa ni ya KIRANGA.
Thibitisha akaunti iliyotumika ndiyo imekuwa kinara katika kutaka uthibitisho.

Akaunti inawezaje kutaka uthibitisho?
 
Moderator ninawaomba msiunganishe uzi huu na Uzi mwingine please.


Haya back to the point.

1. KWANINI MTUMISHI WA MUNGU ANAKUWA NA TATOO NYINGI HIVYO?

Majibu yangu: Mtumishi wa Mungu alijichora hizo tatoo katika kipindi ambacho bado hajaokoka.


2. KWANINI MTUMISHI WA MUNGU ANAKUWA NA RASTA KAMA BOB MARLEY?


Majibu yangu : Mtumishi wa Mungu kuwa na Rasta sio dhambi wala sio makosa kwa sababu hata Samsoni alikuwa Rasta. Na Samsoni alikuwa mnaziri wa Mungu tangu akiwa tumboni kwa mama ake.


3. VIPI KUHUSU KIPINI? NA KIPINI JE? INAKUWAJE MTUMISHI WA MUNGU ANAKUWA NA KIPINI PUANI?


Majibu yangu: Katika mila za baadhi ya makabila ya kiafrika wakiwemo washona na wandebele wa Zimbabwe ambako Mtumishi wa Mungu anatoka, ni alama ya heshima kwa mwanaume au mwanaume aliefikisha umri wa kuanzia miaka.18 na kuendelea kutoga pua zake na kuvaa kipini PUANI. So kwa kuvaa kwake kipini, Mtumishi wa Mungu alikuwa ana dumisha mila na desturi za kwao.


NA MPIRA UMEKWISHAAAA
Huo ni mkakati kwenye ushindani na mwamposa.


Wacha cheche ziwake na bila shaka ataenda pale ziwa Victoria au Tanganyika ili apate mbili tatu.
 
Thibitisha akaunti iliyotumika ndiyo imekuwa kinara katika kutaka uthibitisho.

Akaunti inawezaje kutaka uthibitisho?
Akaunti nyuma ya pazia inatumika. Na mtumiaji anaweza kuwa mtu halisia ama roboti au AI.

Thibitisha kama wewe si mmoja kati ya hao.

Akaunti ni kiunganishi tu.
 
Moderator ninawaomba msiunganishe uzi huu na Uzi mwingine please.


Haya back to the point.

1. KWANINI MTUMISHI WA MUNGU ANAKUWA NA TATOO NYINGI HIVYO?

Majibu yangu: Mtumishi wa Mungu alijichora hizo tatoo katika kipindi ambacho bado hajaokoka.


2. KWANINI MTUMISHI WA MUNGU ANAKUWA NA RASTA KAMA BOB MARLEY?


Majibu yangu : Mtumishi wa Mungu kuwa na Rasta sio dhambi wala sio makosa kwa sababu hata Samsoni alikuwa Rasta. Na Samsoni alikuwa mnaziri wa Mungu tangu akiwa tumboni kwa mama ake.


3. VIPI KUHUSU KIPINI? NA KIPINI JE? INAKUWAJE MTUMISHI WA MUNGU ANAKUWA NA KIPINI PUANI?


Majibu yangu: Katika mila za baadhi ya makabila ya kiafrika wakiwemo washona na wandebele wa Zimbabwe ambako Mtumishi wa Mungu anatoka, ni alama ya heshima kwa mwanaume au mwanaume aliefikisha umri wa kuanzia miaka.18 na kuendelea kutoga pua zake na kuvaa kipini PUANI. So kwa kuvaa kwake kipini, Mtumishi wa Mungu alikuwa ana dumisha mila na desturi za kwao.


NA MPIRA UMEKWISHAAAA
Hehehehe
Hahahaha

Mkuu mbona unaweka mpira kwapani mapema hivyo
 
☆☆☆ ᴡᴀᴋᴀᴛɪ ᴍᴡɪɴɢɪɴᴇ ᴍᴜᴏɴᴇᴋᴀɴᴏ ᴡᴀ ɴᴊᴇ ʜᴜsᴀᴅɪғᴜ ʏᴀʟɪʏᴏᴍᴏ ɴᴅᴀɴɪ ᴊᴀᴘᴏ ʜᴀᴛᴜᴘᴀsᴡɪ ᴛᴍᴋᴜɪᴘᴀ ᴢᴏᴛᴇ % ᴋᴡᴀ ʜɪɪ ᴍᴀɴᴛɪᴋɪ
 
Aelezwe ukweli kuwa Rasta na tattoo hazitakiwi Huku hvyo vipini na matatoo aviondoee Mara Moja na kesho tutavamia mkutano wake na kuweka mabango
 
Dunia ya sasa habari bila picha video clip sw n takataka TU.
 
Kwenye Biblia imeandikwa kwamba Yesu alipo fikisha umri wa siku nane alitahiriwa kama ilivyo kuwa mila na desturi za kiyahudi
ukiokoka tabia zote za kale unaachana nazo. Remmy ongala alipookoka ilibidi anyoe rasta zake, akina chidumule walipookoka waliachana na mitindo ya dunia why huyu anafuatisha dunia?
 
Kwanini mtumishi wa mungu anakula malaya

Majibu: kwasababu mtumishi wa Mungu ana nyege.
 
Haya back to the point.

1. KWANINI MTUMISHI WA MUNGU ANAKUWA NA TATOO NYINGI HIVYO?

Majibu yangu: Mtumishi wa Mungu alijichora hizo tatoo katika kipindi ambacho bado hajaokoka.

2. KWANINI MTUMISHI WA MUNGU ANAKUWA NA RASTA KAMA BOB MARLEY?

Majibu yangu : Mtumishi wa Mungu kuwa na Rasta sio dhambi wala sio makosa kwa sababu hata Samsoni alikuwa Rasta. Na Samsoni alikuwa mnaziri wa Mungu tangu akiwa tumboni kwa mama ake.

3. VIPI KUHUSU KIPINI? NA KIPINI JE? INAKUWAJE MTUMISHI WA MUNGU ANAKUWA NA KIPINI PUANI?

Majibu yangu: Katika mila za baadhi ya makabila ya Kiafrika wakiwemo washona na wandebele wa Zimbabwe ambako Mtumishi wa Mungu anatoka, ni alama ya heshima kwa mwanaume au mwanaume aliefikisha umri wa kuanzia miaka.18 na kuendelea kutoga pua zake na kuvaa kipini PUANI. So kwa kuvaa kwake kipini, Mtumishi wa Mungu alikuwa ana dumisha mila na desturi za kwao.


NA MPIRA UMEKWISHAAAA
South Africa,wanaume wanatoboa siko Moja la kulia, ni Mila zao!
 
Back
Top Bottom