mademu wa siku hizi ndio walivyo, atakukamua mpaka ukimkimbie. Kama umempenda na hutaki atoke kwenye himaya yako mpe tu. Ila next time ataomba lakiWakuu
Labda mnisaidie mawazo ili nijue nakimbia au naweka kambi.
Huyu binti ni single maza tumekutana juzi kwenye usafiri wa umma nikamtongoza akakubali.
Leo asubuhi naamka nakutana na message ya kuombwa 50k.
Ikumbukwe hapa bado sijamtia wala sijamgusishia lolote kuhusu kutiana ila kaanza kuomba pesa.
Wakuu nipeni mawazo yenu kwenye hili jambo.
Muulize anajiuza kama anajiuza frsh mwanangu mi nachangia 25000 nawe 25000 halafu tunampiga mtungo utaanza ww kumla mi nafuataWakuu
Labda mnisaidie mawazo ili nijue nakimbia au naweka kambi.
Huyu binti ni single maza tumekutana juzi kwenye usafiri wa umma nikamtongoza akakubali.
Leo asubuhi naamka nakutana na message ya kuombwa 50k.
Ikumbukwe hapa bado sijamtia wala sijamgusishia lolote kuhusu kutiana ila kaanza kuomba pesa.
Wakuu nipeni mawazo yenu kwenye hili jambo.
Hizi kauli huwa nazipenda sanaPiga chini
Vipi, umechoka kupata utelezi mwepesi mkuu unataka uupate kwa tabu sana.Usimpe...kwanza huyo ninmwanamke useless tayari single maza achana nae. 2025 onwards we dnt date broke gals
Kwasasa hiyo hawaiiti mtungo,wameimodifai inaitwa three some ambayo ni MMF.Kweli hakuna jipya chini ya jua.Muulize anajiuza kama anajiuza frsh mwanangu mi nachangia 25000 nawe 25000 halafu tunampiga mtungo utaanza ww kumla mi nafuata
Nakuunga mkono kwa ulichomwambia,ila kwanini hukupokea simu zake sasa hapo ndio umeonyesha udhaifuMiaka kadhaa nyuma katika pita pita za social media nilikutana na binti mmoja ambae nilisoma nae Primary, takriban miaka 25 iliyopita.
Nikawasiliana nae na kama ilivyo ada tukabadilishana namba (hata hakuwa ananikumbuka zaidi ya kuamini maneno yangu tu baada ya kumtajia shule na darasa).
Katika maongezi kabla hata ya kukutana, ghafla akapatwa na 'shida', 'mzigo' wake ulikwama bandarini na kuwa alihitaji Mil. 1 ya haraka.
Kwanza nilimwambia subiri nitakucheki, ila ikawa kama deni. Nikaona kwanini najitesa kwa mtu ambae hata hanijui. Nilimchana live tu kuwa sio kwamba sina hiyo pesa lakini siwezi kukupa sababu kwanza ulikuwa hata hunijui hata baada ya kukumbusha, kama isingekuwa unawasiliana na mimi ungeomba kwa nani hiyo pesa, sio kila anaekuomba namba ana nia ya kukutongoza kimapenzi na mwisho kabisa sio kila mwanaume utakaempata ni ukombozi wa ufukara wako.
Japo ilikuwa ni kwenye simu, lakini sauti yake ilisikika kabisa kuwa alifedheheka. Na baada ya hapo sikupokea tena simu zake japo alijaribu sana kunipigia.
Kuna wakati ni bora kuwachana ukweli tu hawa viumbe.
Na Bado unaomba ushaur???Wakuu
Labda mnisaidie mawazo ili nijue nakimbia au naweka kambi.
Huyu binti ni single maza tumekutana juzi kwenye usafiri wa umma nikamtongoza akakubali.
Leo asubuhi naamka nakutana na message ya kuombwa 50k.
Ikumbukwe hapa bado sijamtia wala sijamgusishia lolote kuhusu kutiana ila kaanza kuomba pesa.
Wakuu nipeni mawazo yenu kwenye hili jambo.
π π π hyo nzuriKwasasa hiyo hawaiiti mtungo,wameimodifai inaitwa three some ambayo ni MMF.Kweli hakuna jipya chini ya jua.
Kua mkweli mkuu... hukutaka kuichakata kwelii? [emoji23]Miaka kadhaa nyuma katika pita pita za social media nilikutana na binti mmoja ambae nilisoma nae Primary, takriban miaka 25 iliyopita.
Nikawasiliana nae na kama ilivyo ada tukabadilishana namba (hata hakuwa ananikumbuka zaidi ya kuamini maneno yangu tu baada ya kumtajia shule na darasa).
Katika maongezi kabla hata ya kukutana, ghafla akapatwa na 'shida', 'mzigo' wake ulikwama bandarini na kuwa alihitaji Mil. 1 ya haraka.
Kwanza nilimwambia subiri nitakucheki, ila ikawa kama deni. Nikaona kwanini najitesa kwa mtu ambae hata hanijui. Nilimchana live tu kuwa sio kwamba sina hiyo pesa lakini siwezi kukupa sababu kwanza ulikuwa hata hunijui hata baada ya kukumbusha, kama isingekuwa unawasiliana na mimi ungeomba kwa nani hiyo pesa, sio kila anaekuomba namba ana nia ya kukutongoza kimapenzi na mwisho kabisa sio kila mwanaume utakaempata ni ukombozi wa ufukara wako.
Japo ilikuwa ni kwenye simu, lakini sauti yake ilisikika kabisa kuwa alifedheheka. Na baada ya hapo sikupokea tena simu zake japo alijaribu sana kunipigia.
Kuna wakati ni bora kuwachana ukweli tu hawa viumbe.
Sasa kwani huwa tunataka nini mkuu? Ni ngono, hayo mengine huwa yanakuja baadae. Kama kuna jambo rasmi lisilohusiana na ngono huwa linazungumzwa kwanza ndo namba zinafataPiga chini.
Mindset ya wanawake wasasa ni kwamba ukichukua no yake unamtaka kingono tu.
Anazunguka mbuyu ila lengo ni uchakataji.Kua mkweli mkuu... hukutaka kuichakata kwelii? [emoji23]
Sasa mengine si maneno ya kishujaa tuπππ, niombe namba yake tuongee nini sasa? Dhamira ilikuwa ni kuchunguliamo kama yaliyomo yamo. Ila dhiki zake zilibatilisha mawazo yote.Kua mkweli mkuu... hukutaka kuichakata kwelii? [emoji23]
Niliacha kupokea simu zake baada ya kumwambia ukweli, hivyo alijua kuwa kayaboronga. Kwa muelewa alipata funzo la kutorudia kwa mwingine, mimi nilijitumia kama darasa tu la kumfunza.Nakuunga mkono kwa ulichomwambia,ila kwanini hukupokea simu zake sasa hapo ndio umeonyesha udhaifu