DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Lenaš®Wakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lenaš®Wakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471
Hapa ndiyo umemtongoza, umemtaka au umemchana au ?Wakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471
Asubuhi kanipigia simu nimeongea nae vzr tu na nimemuomba Leo tuonane kakubali vizuri tu [emoji39][emoji39][emoji39] kanielewa sana japo ni Demu ninaeshimiana nae sana ndio maana nilimtumia SMS ya maelekezo mengi nashukuru amenielewa ila wadau penzi jipya nn cha kuzingatia wakuu lisivunjike haraka?Ombi gani akati umetoa taarifa ,vijana hapo tu umetumia sms hamuonanani umetetemeka hivyo je uso kwa uso siitakubidi ule ugoro
š Ngoja kaka zako waje wakufundishe namna ya kutongoza.
#MREJESHO#**************************
Asubuhi kanipigia simu nimeongea nae vzr tu na nimemuomba Leo tuonane kakubali vizuri tu [emoji39][emoji39][emoji39] kanielewa sana japo ni Demu ninaeshimiana nae sana ndio maana nilimtumia SMS ya maelekezo mengi nashukuru amenielewa ila wadau penzi jipya nn cha kuzingatia wakuu lisivunjike haraka?
Wanaume kusaidiana, fanya hivi, Jitoe ufahamu, fanya kama kasema "Amelowa"! Mbwa hafi maji akiona ufuko Mjomba! Kaza butiWakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471
WajibuToa pesa sana
Nifundishe we[emoji3][emoji3][emoji23] Ngoja kaka zako waje wakufundishe namna ya kutongoza.
Wee subiri watakujaNifundishe we[emoji3][emoji3]
Mpime damu kubwa ,kwakipindi Cha miezi 9(kila baada ya miezi 3) Mambo mengine ndipo yasongeAsubuhi kanipigia simu nimeongea nae vzr tu na nimemuomba Leo tuonane kakubali vizuri tu [emoji39][emoji39][emoji39] kanielewa sana japo ni Demu ninaeshimiana nae sana ndio maana nilimtumia SMS ya maelekezo mengi nashukuru amenielewa ila wadau penzi jipya nn cha kuzingatia wakuu lisivunjike haraka?
Sawa VP mtazamo wako?Wee subiri watakuja
Kwa jinsi ulivyomtongoza isije ikawa kwenye maongezi yenu umemuelewa vibaya kiasi cha kudhani ni penzi jipya kumbe sivyo..#MREJESHO#**************************
Asubuhi kanipigia simu nimeongea nae vzr tu na nimemuomba Leo tuonane kakubali vizuri tu [emoji39][emoji39][emoji39] kanielewa sana japo ni Demu ninaeshimiana nae sana ndio maana nilimtumia SMS ya maelekezo mengi nashukuru amenielewa ila wadau penzi jipya nn cha kuzingatia wakuu lisivunjike haraka?
Wajibu
Amekubali kuja ghettoKwa jinsi ulivyomtongoza isije ikawa kwenye maongezi yenu umemuelewa vibaya kiasi cha kudhani ni penzi jipya kumbe sivyo..
Yeaah hiyo muhimu nimepanga nimtoe out jpli keshoNa hakikisha out zinakuwa nying mpeleke sehemu ambazo hajawai fika na hakutegemea kufika night but
Yeaah hiyo muhimu nimepanga nimtoe out jpli kesho
Sasa unatuHUliza sisi tutakupa ushaHUrii gani mkuHU wewe mwenyewe unaHONa meseji ya HUyo binti Hilivyo mimi ninaHOna umuHOe sasa.Wakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471
Sawa mkuuSasa unatuHUliza sisi tutakupa ushaHUrii gani mkuHU wewe mwenyewe unaHONa meseji ya HUyo binti Hilivyo mimi ninaHOna umuHOe sasa.