and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Wenye pesa wanakunywa beer gani?Sijawahi kuona mtu mwenye hela anakunywa safari.
Ndio ushamba wenyewe huoSijawahi kuona mtu mwenye hela anakunywa safari.
Nko na walimu wenzio hapa guba kawe wanakunywa libeneke mixer gongo huku wakirarua makwasukwasu ya nyama.kweli walimu mna njaa hadi semina zenu hampewi hata chai mnaishia kunywa maji ya bomba.walimu mna njaa bora hata walinzi hupata hata vitenda vya kuosha magari na kufanya usafi wanapata japo hela ya chai na nauri.nyinyi walimu mnateseka na mabasikeli ya phonex na helo kwenda jpbNikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.
Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
we huoni hiyo shape haina ushirikianoKumbe alikuwaga safi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aiseé milioni tatu ndio mshahara wa mwalimu mwaka mzimaa na hamsemiii[emoji848][emoji848][emoji848]
Na Bado Kwenye mikutano ya Wana CCM wanakaa mstari wa mbelee Kwa nyimbo na mapambioo[emoji1][emoji1][emoji1]
Nchi ngumu sana hii
Oohh kumbe shida ni kuwa tu celebrity, bila kujali mambo ya aibu unayoyafanya, au ndio mambo ya "there is no such thing as bad publicity"Uoni kawa celebrity
madanga yafike bei 😂 hakuna cha maana sana ni kutafuta shortcut ya maisha, hujawahi kusikia kwamba mwanamke akikosa akili basi sehemu zake za siri ndo zinapata shida.Oohh kumbe shida ni kuwa tu celebrity, bila kujali mambo ya aibu unayoyafanya, au ndio mambo ya "there is no such thing as bad publicity"
Unamsingizia.
View attachment 3222793
Posh tangu zamani anapendaga ngumu, sio kwamba kafulia,Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.
Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
unaichukulia poa sana safari lager weweNikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.
Posh pole Sana, umasikini mbaya sana