Nimemuona leo “Poshy Queen” wa Harmonize anakunywa safari. Kumbe wasanii hawana hela…?

Nimemuona leo “Poshy Queen” wa Harmonize anakunywa safari. Kumbe wasanii hawana hela…?

Light beers kama Heineken na hio Windhoek huwa naona zina flavor mbaya... light beers wanazi brew to be less flavorful, kwanza zina calories kidogo. Heineken bei yake ipo juu kwa sababu labda chupa yake sio returnable na ni brand ya nje.

Ukinywa beer konki kama safari halafu ukanywa Windhoek unahisi unakunywa maji, light beers za watoto wa college na wanaojifunza kunywa pombe, au unakunywa lakini uwe active kama ni mnywaji.

Lakini beer nzuri ni hizo chupa za mende...
 
Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.

Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.

Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Nko na walimu wenzio hapa guba kawe wanakunywa libeneke mixer gongo huku wakirarua makwasukwasu ya nyama.kweli walimu mna njaa hadi semina zenu hampewi hata chai mnaishia kunywa maji ya bomba.walimu mna njaa bora hata walinzi hupata hata vitenda vya kuosha magari na kufanya usafi wanapata japo hela ya chai na nauri.nyinyi walimu mnateseka na mabasikeli ya phonex na helo kwenda jpb
 
Ni kweli, siku zote, poshy hunywa safari lager zile chupa ndogo, ni nadra sana kumkuta hata ana pop champagne au anakunyw whisky, kitambo na kitambo, yeye hunywa safari lager ndogo zile.
Na hata shoppers ya mikocheni ndio bia hununuliwa sana pale, safari lager.
 
Mi mtu wowote akinywa safari lager namuanaga ni OG sana na kama ni demu halafu akiwa mzuri,amenipata aiseee
 
Aiseé milioni tatu ndio mshahara wa mwalimu mwaka mzimaa na hamsemiii[emoji848][emoji848][emoji848]

Na Bado Kwenye mikutano ya Wana CCM wanakaa mstari wa mbelee Kwa nyimbo na mapambioo[emoji1][emoji1][emoji1]

Nchi ngumu sana hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Oohh kumbe shida ni kuwa tu celebrity, bila kujali mambo ya aibu unayoyafanya, au ndio mambo ya "there is no such thing as bad publicity"
madanga yafike bei 😂 hakuna cha maana sana ni kutafuta shortcut ya maisha, hujawahi kusikia kwamba mwanamke akikosa akili basi sehemu zake za siri ndo zinapata shida.
 
Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.

Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.

Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Posh tangu zamani anapendaga ngumu, sio kwamba kafulia,
 
huyu dada toka nipate habari kuwa analiwa SHUZI kila nikimuona tu huwa napata msisimko wa ajabu sana. Hii nchi kuna watu wanafaidi sana
 
Wangu akula konyagi, tukinunua bapa letu tunajifungia ndani ,tunafurahi weee
 
Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.

Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.

Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
unaichukulia poa sana safari lager wewe
 
Back
Top Bottom