Nimemuonesha mke wangu wanawake wanaojiuza ili ajue thamani yake

Hongera, ngoja naye ata kufanyia suprise akipata wanako JIUZA WANAUME
 
UNATAFUTA HURUMA YA KUTOCHAPIWA UNGEENDA KUMUONESHA JEHANAMU YA MOTO MALAYA UNAZINGUA MKUU UKIKUA UTAACHA [emoji1787][emoji23]
 
Ningekuwa Mimi ningekwambia niache ukaoe hao wajinga, na ningekupa kichambo kuwa hunitishi nakutana na wanaume pia tofauti tofauti, marriage sio favor aisee
Aseee, dunia ina watu hiii
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Raia mmewasha motoo.. nimerudi haps kumbe viliuamana![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sema leo wadada mmeamua aisee sio kwa kumsakamaa jamaa hivi

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni mnyanyasaji. Kumbe ulimtoa out mtoto wa watu ili ukamnyanyase kuwa umemuoa 'hivyo hivyo' japo sio mzuri?
 
Hapa umefanya tukio la kijana anayebalehe kutishia demu wa form 2 kuwa nina mademu wengi wananitaka. Rekebisha kabla hajaishtukia balehe yako.
 
wewe ni pumbafu sana......mwanamke hafananishwi wala kulinganishwa na chochote....kahaba ni kahaba tuu.....mpende mkeo mheshimu mkeo....mengine Mola atakuongezea......
 
Najaribu kuwaza iwapo na yeye aamue Kwa namna yeyote kukuonesha msururu Wa wanaume wanaomtongoza kila siku. Utajisikiaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…