Nimemwachia mali zote, naanza upya

Nimemwachia mali zote, naanza upya

Una akili ya nzi kama ulivyo mtoto wa inzi 😂
Pole ..... Ondoka Hapo Kwa Shemeji yako .... Au ndio unasubiri aachiwe Mali kama nilivyoamuachia !!? USikae Kwa Shemeji .... Ni dharau sana ... Yaani naingia ndani kuMbandua dada yako na upo hapo... Unamsikia anakamuliwa ... Ondoka hapo
 
Pole ..... Ondoka Hapo Kwa Shemeji yako .... Au ndio unasubiri aachiwe Mali kama nilivyoamuachia !!? USikae Kwa Shemeji .... Ni dharau sana ... Yaani naingia ndani kuMbandua dada yako na upo hapo... Unamsikia anakamuliwa ... Ondoka hapo
Kwamba umemkabidhi doc za viwanja kwa mdada kisa anakunyima papuchi😁😁

Umerogwa na nani bwashee?
Kwa kuwa ulianziaga life kwa shem wako, umelishika neno hilo kwamba kila mwanaume huanzia maisha kwa shemeji 😄

Unahitaji maombezi ndugu
 
We Mzee ... Mwanamke anakuita mjinga,mpumbavu mbele za watu .. umemjengea , umempa Biashara ,umemsomesha... na alikuwa mhudumu tu wa ofisi ... Umemuwezesha pote huko ... Ya Nini ... Bahati mbaya nimesomesha maendeleo ya jamii na yupo ustawi anajifanya anajua haki za wanawake
..nimemwambia haya yote hayo Hapo .chukua .... Hataki anataka turudiane wakati Mimi sitaki hizo dharau.





.
Pole mkuu.
Msamehe huenda ametambua kosa lake.
 
Pole mkuu.
Msamehe huenda ametambua kosa lake.
Yaani Hadi kaka zake wamechukia mno maana ndio Rafiki zangu wa kitaaa tumekuwa pamoja.... Wamemshauri weee akawa anawadharau pia hao ni KAKA ZAKE maana kwao yeye ndio mtoto pekee wa kike .... Ni zile familia wazazi wakiondoka anaachia Mji Kwa jirani ... Kwao kwetu kwetu kwao .... Limekuja suala la KUANGALIA WATOTO TOFAUTI ZETU ZISIUMIZE WATOTO TURUDIANE TULEE WATOTO KAMA FAMILIA.... Nyieeee nyieeee ndoa hiziiii ....
 
Yaani Hadi kaka zake wamechukia mno maana ndio Rafiki zangu wa kitaaa tumekuwa pamoja.... Wamemshauri weee akawa anawadharau pia hao ni KAKA ZAKE maana kwao yeye ndio mtoto pekee wa kike .... Ni zile familia wazazi wakiondoka anaachia Mji Kwa jirani ... Kwao kwetu kwetu kwao .... Limekuja suala la KUANGALIA WATOTO TOFAUTI ZETU ZISIUMIZE WATOTO TURUDIANE TULEE WATOTO KAMA FAMILIA.... Nyieeee nyieeee ndoa hiziiii ....
Kwahiyo umemrudia!?
 
Hasira za mkizi...
Nilitoa tahadhari kwa yule mbuzi kinda, asivamie bahari bahari asiyojua........ bahariimechafuka, bila shaka ameshapotea.......

Wahenga niwekeeni huo wimbo hapa, kitambo sana sijausikia.
 
Ninakisa cha rafiki yangu ,kamsomeaha mkewe kuqnzia advance mpaka chuo kikuu kqishia kuolewa na bksi wake,jamaa kadata mpaka kuoata ajali mbaya sana
 
Ninakisa cha rafiki yangu ,kamsomeaha mkewe kuqnzia advance mpaka chuo kikuu kqishia kuolewa na bksi wake,jamaa kadata mpaka kuoata ajali mbaya sana
Sasa na huyo boss wake anaowaje Mwanamke aliyeko kwenye Ndoa!!??
 
We Mzee ... Mwanamke anakuita mjinga,mpumbavu mbele za watu .. umemjengea , umempa Biashara ,umemsomesha... na alikuwa mhudumu tu wa ofisi ... Umemuwezesha pote huko ... Ya Nini ... Bahati mbaya nimesomesha maendeleo ya jamii na yupo ustawi anajifanya anajua haki za wanawake
..nimemwambia haya yote hayo Hapo .chukua .... Hataki anataka turudiane wakati Mimi sitaki hizo dharau.





.
Huyo anataka urudi,ili akumalize kidigitali kabisa, maana anaamini kuna siku isiyokua na jina waweza rudi kwa hasira za kumzulu!!
 
We Mzee ... Mwanamke anakuita mjinga,mpumbavu mbele za watu .. umemjengea , umempa Biashara ,umemsomesha... na alikuwa mhudumu tu wa ofisi ... Umemuwezesha pote huko ... Ya Nini ... Bahati mbaya nimesomesha maendeleo ya jamii na yupo ustawi anajifanya anajua haki za wanawake
..nimemwambia haya yote hayo Hapo .chukua .... Hataki anataka turudiane wakati Mimi sitaki hizo dharau.





.
Kumbe kile kikao cha kutosomesha ulichelewa ukakuta ajenda imeisha na siku ya kujadili yatokanayo ukiingia mitini kwenye maji machafu.Siku mwanaume ukijielewa na kusimama kama mwanaume, mambo yatanyooka
 
Yaani Hadi kaka zake wamechukia mno maana ndio Rafiki zangu wa kitaaa tumekuwa pamoja.... Wamemshauri weee akawa anawadharau pia hao ni KAKA ZAKE maana kwao yeye ndio mtoto pekee wa kike .... Ni zile familia wazazi wakiondoka anaachia Mji Kwa jirani ... Kwao kwetu kwetu kwao .... Limekuja suala la KUANGALIA WATOTO TOFAUTI ZETU ZISIUMIZE WATOTO TURUDIANE TULEE WATOTO KAMA FAMILIA.... Nyieeee nyieeee ndoa hiziiii ....
Hili jambo si umeshalimaliza kiongozi vikao vya nini tena unashiriki, dharau + usaliti kuna haja kweli ya vikao??
 
Pole kwa maumivu! Unless una mapungufu yanayokufanya umwage manyanga. Mwanaume lijari hawezi kumkimbia mwanamke hata iweje!
Ukiona hivyo vitu wana viepuka,si umeona kilicho tokea Mwanza,ogopa kulundika hasira kwani kuna siku utakitimiza kili ulichokuwa unakifikiria kipindi ukiwa na hasira.
 
Mwanaume hutakiwi kushindwa chochote. Tafuta namna ya kumwongoza huyo mke akae sawa. Njia uliyotumia ya kukimbia tatizo utakuja kuijutia.

Kwa mfano, baada ya muda kidogo utaanza kusikia kuna kidume mwenzako amefanya makazi ya kudumu kwenye kitanda ulichonunua, nyumba uliyojenga kwa jasho lako, na anajenga kwenye viwanja vyako.

Ninaamini utawaza kubadili mawazo na kurudi kwenye mali zako kuzikomboa. Utakuja hapa upya kuomba ushauri namna ya kurudia mali, mke na watoto wako.

Kumbuka huyo mkeo hana cha kupoteza. Ukikimbia atapata nafasi nzuri zaidi ya kujiachia. Na vidume watakula mpaka atakolea.

Jitakari upya.
Mara zote wanaume wanaofikia maamuzi hayo huwaga hawarudigi nyuma kujua waliokuwa wake zao wanatembea na nani,nisha washudia wawili, mmoja alimfumania mkewe walikuwa na nyumba tatu akamwambia ktk nyumba zile achague nyumba mbili amwachie moja, kuhusu magari akamwachia yote. Mwana sasa hivi anadunda na maisha yake mengine.

Huyu mwengine hakuwa na nyumba ila alipanga,alimfumania mke wake mara mbili mara kwanza akamsamehe sababu tu wana mtoto mara ya pili, akaamua bora waachane mwanamke naye akamjibu mananeno ya hovyo na kumwambia wagawane vitu, jamaa akamwambia chukua vitu vyote, demu akaamua kuchukua kila kitu hakubakisha hata kijiko.
Jamaa jioni akaenda kuomba mkeka kwa kaka yake ndio kikawa kitanda chake .Sasa mwana yupo vizuri, ila yule mwanamke akayumba mpaka nae akawana anaenda kujiuza Riverside.

Pili wanawake wapo wengi yanini kung'ang'ania mwisho wake ndie yale yaliyotokea Mwanza.Hela ipo inatafutwa ila sio uhai kama fighter hela sio issue kabisa kuipata.
 
We Mzee ... Mwanamke anakuita mjinga,mpumbavu mbele za watu .. umemjengea , umempa Biashara ,umemsomesha... na alikuwa mhudumu tu wa ofisi ... Umemuwezesha pote huko ... Ya Nini ... Bahati mbaya nimesomesha maendeleo ya jamii na yupo ustawi anajifanya anajua haki za wanawake
..nimemwambia haya yote hayo Hapo .chukua .... Hataki anataka turudiane wakati Mimi sitaki hizo dharau.





.
Kusomesha tulikubaliana ni kazi ya baba na mama au walezi. Ila pole Bro maana bora nusu shari kuliko shari kamili.
 
Back
Top Bottom