Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!

Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!

Wanabodi,
Nimemsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika bandiko hili Mbowe: Najutia kumuamini Rais Samia
View: https://youtu.be/Xjao83Ghy04?si=qSQTeSxIx_8B5a-L

Kiukweli kabisa mimi nimemwelewa sana Mwenyekiti Freeman Mbowe hapa, na hata ningekuwa mimi!, I would have felt the same!.

Namuomba sana Mhe. Mbowe, please usipoteze imani na Rais Samia!, kwasababu Rais Samia ninaye mfahamu mimi, sio mtu mwenye ndimi mbili!, namfahamu fika Rais Samia kwa kauli na matendo, yeye kama yeye, hawezi kabisa kusema hivi hakafu akaja kutenda vile!. She is straight and firm, tena usikute yeye wala hajui kuwa mswada sheria ya uchaguzi ni batili kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Kwa bahati nzuri, mimi ni miongoni wa watu wanaomfahamu Rais Samia sio tuu kwa kauli na matendo, bali kwa kufanya nae mahojiano ya ana kwa ana mara mbili. Mara ya kwanza akiwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais na mara ya pili akiwa Makamo Mwenyekiti wa Bunge la Katiba.

Wakati akiwa VP nilimfanyia uchambuzi mara mbili
Mara ya kwanza ni hapa Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” na mara ya pili ni hapa "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Na baada ya kuwa Rais wa JMT, pia nilimfanyia uchambuzi Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila... na Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake

Hivyo kwa kauli na matendo, hiki kinachofanyika kwenye miswada hii, naamini kabisa watu waonayafanya haya sio Rais Samia, naamini kabisa yeye wala hajui kuwa muswada wa sheria ya uchaguzi ni muswada batili unaokiuka ibara ya 11 ya katiba ya JMT.

Kwa vile yeye sio mwanasheria, hajui kuwa katiba yetu ni batili, kwa kuchomekewa ubatili unakokwenda kinyume cha Ibara ya 5 na ibara ya 11 ya Katiba yetu.

Nimesema ninaamini kabisa Rais Samia hayajui haya na hapa niliandika Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Hivyo kitendo cha Freeman Mbowe Kutomwamini Rais Samia, ni kumuonea bure, niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Bahati nzuri sana na mimi nimehudhuria vikao vyote vitatu vya kukusanya maoni ya wadau na mara zote 3 nilipata bahati ya kuchangia.

Mchango wangu kikao cha kwanza ni huu
View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=9dtqZ-1-ZkzWo69t

Mkutano wa pili maoni yangu ni haya
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=98HTkiMGNsmlLBGz

Na Mkutano wa tatu wa Kamati ya Bunge pia nilitoa maoni.
Nimeandika makala zifutazo kuhusu sheria hizi
-

- Maoni yangu kwenye Mkutano wa Vyama vya Siasa kuhusu Muswada wa Sheria Mpya ya Uchaguzi. Muswada sio batilifu, ni Muswada batili

- Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1

- Je Wajua Muswada Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2023 ni Batili?. Ni Mvinyo wa Zamani, Kwenye Chupa Mpya?. Why Ubatili Huu?!.

- Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

- Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

- Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

- Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?

- Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

- Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

- Prof. Lipumba: Nina Matumaini Makubwa na Rais Samia, Chaguzi Zijazo Zitakuwa Huru na Haki!, Mambo ya 2019/2020 Yasijirudie!

- Face 2 Face with Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo: "Tunafanya Politics of Engagement kwa kuwa Pragmatic on What is Possible"

- JNICC: Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa na Wadau wa Demokrasia Kutathmini Utekelezaji wa Mapendekezo ya Kikosi Kazi na Hali ya Siasa Nchini

- Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

-"Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza Kukosea!. Zinapokosea, Zina Wajibu Kurekebisha na Kutenda Haki, Vinginevyo Karma Will Do

-"Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani. Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado! Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho!

Baada ya Mhe. Freeman Mbowe kutangaza maandamano nimetoa ushauri issues za kisiasa zitatuliwe kisiasa, halafu issues za kisheria zitatuliwe kisheria, utungaji miswada ni issue ya kisheria, baada ya watu kutoa maoni yetu, Bunge likitutungia sheria batili, this time around, we'll have to do something!.

Tangu Rais Samia ameingia madarakani ile March 21, mimi tuu mwenyewe, nimelisemea jambo hili zaidi ya mara 20!.

Mhe. Freeman, rudisha moyo, applies zile 4R za Rais Samia tulisongeshe mbele kwa mbele.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.



Nilisema hapa

 
Wanabodi,
Nimemsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika bandiko hili Mbowe: Najutia kumuamini Rais Samia
View: https://youtu.be/Xjao83Ghy04?si=qSQTeSxIx_8B5a-L

Kiukweli kabisa mimi nimemwelewa sana Mwenyekiti Freeman Mbowe hapa, na hata ningekuwa mimi!, I would have felt the same!.

Namuomba sana Mhe. Mbowe, please usipoteze imani na Rais Samia!, kwasababu Rais Samia ninaye mfahamu mimi, sio mtu mwenye ndimi mbili!, namfahamu fika Rais Samia kwa kauli na matendo, yeye kama yeye, hawezi kabisa kusema hivi hakafu akaja kutenda vile!. She is straight and firm, tena usikute yeye wala hajui kuwa mswada sheria ya uchaguzi ni batili kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Kwa bahati nzuri, mimi ni miongoni wa watu wanaomfahamu Rais Samia sio tuu kwa kauli na matendo, bali kwa kufanya nae mahojiano ya ana kwa ana mara mbili. Mara ya kwanza akiwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais na mara ya pili akiwa Makamo Mwenyekiti wa Bunge la Katiba.

Wakati akiwa VP nilimfanyia uchambuzi mara mbili
Mara ya kwanza ni hapa Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” na mara ya pili ni hapa "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Na baada ya kuwa Rais wa JMT, pia nilimfanyia uchambuzi Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila... na Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake

Hivyo kwa kauli na matendo, hiki kinachofanyika kwenye miswada hii, naamini kabisa watu waonayafanya haya sio Rais Samia, naamini kabisa yeye wala hajui kuwa muswada wa sheria ya uchaguzi ni muswada batili unaokiuka ibara ya 11 ya katiba ya JMT.

Kwa vile yeye sio mwanasheria, hajui kuwa katiba yetu ni batili, kwa kuchomekewa ubatili unakokwenda kinyume cha Ibara ya 5 na ibara ya 11 ya Katiba yetu.

Nimesema ninaamini kabisa Rais Samia hayajui haya na hapa niliandika Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Hivyo kitendo cha Freeman Mbowe Kutomwamini Rais Samia, ni kumuonea bure, niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Bahati nzuri sana na mimi nimehudhuria vikao vyote vitatu vya kukusanya maoni ya wadau na mara zote 3 nilipata bahati ya kuchangia.

Mchango wangu kikao cha kwanza ni huu
View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=9dtqZ-1-ZkzWo69t

Mkutano wa pili maoni yangu ni haya
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=98HTkiMGNsmlLBGz

Na Mkutano wa tatu wa Kamati ya Bunge pia nilitoa maoni.
Nimeandika makala zifutazo kuhusu sheria hizi
-

- Maoni yangu kwenye Mkutano wa Vyama vya Siasa kuhusu Muswada wa Sheria Mpya ya Uchaguzi. Muswada sio batilifu, ni Muswada batili

- Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1

- Je Wajua Muswada Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2023 ni Batili?. Ni Mvinyo wa Zamani, Kwenye Chupa Mpya?. Why Ubatili Huu?!.

- Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

- Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

- Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

- Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?

- Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

- Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

- Prof. Lipumba: Nina Matumaini Makubwa na Rais Samia, Chaguzi Zijazo Zitakuwa Huru na Haki!, Mambo ya 2019/2020 Yasijirudie!

- Face 2 Face with Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo: "Tunafanya Politics of Engagement kwa kuwa Pragmatic on What is Possible"

- JNICC: Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa na Wadau wa Demokrasia Kutathmini Utekelezaji wa Mapendekezo ya Kikosi Kazi na Hali ya Siasa Nchini

- Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

-"Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza Kukosea!. Zinapokosea, Zina Wajibu Kurekebisha na Kutenda Haki, Vinginevyo Karma Will Do

-"Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani. Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado! Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho!

Baada ya Mhe. Freeman Mbowe kutangaza maandamano nimetoa ushauri issues za kisiasa zitatuliwe kisiasa, halafu issues za kisheria zitatuliwe kisheria, utungaji miswada ni issue ya kisheria, baada ya watu kutoa maoni yetu, Bunge likitutungia sheria batili, this time around, we'll have to do something!.

Tangu Rais Samia ameingia madarakani ile March 21, mimi tuu mwenyewe, nimelisemea jambo hili zaidi ya mara 20!.

Mhe. Freeman, rudisha moyo, applies zile 4R za Rais Samia tulisongeshe mbele kwa mbele.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

White washing
 
Tuache kujitoa ufaham na kuyafumbia macho matatizo yetu kama taifa ukweli tuuseme kama taifa tunavurugwa na hili dude CCM linongozwa na walafi wa madalaka wao Kila wanachokifanya mawazo yapo kwenye masilah wamejivesha uzarendo bandia tuwaone wema kumbe Wana waza kuitafuna inch ili kujikwamua na hili janga watanzania tuache kumkumbatia Inge (CCM) tutaumia
 
1.)
Wanabodi,
Nimemsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika bandiko hili Mbowe: Najutia kumuamini Rais Samia
View: https://youtu.be/Xjao83Ghy04?si=qSQTeSxIx_8B5a-L

Kiukweli kabisa mimi nimemwelewa sana Mwenyekiti Freeman Mbowe hapa, na hata ningekuwa mimi!, I would have felt the same!.

Namuomba sana Mhe. Mbowe, please usipoteze imani na Rais Samia!, kwasababu Rais Samia ninaye mfahamu mimi, sio mtu mwenye ndimi mbili!, namfahamu fika Rais Samia kwa kauli na matendo, yeye kama yeye, hawezi kabisa kusema hivi hakafu akaja kutenda vile!. She is straight and firm, tena usikute yeye wala hajui kuwa mswada sheria ya uchaguzi ni batili kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Japo miswada yote ya serikali, lazima ipite Baraza la Mawaziri ijadiliwe, wakati mswada huu wa sheria ya uchaguzi unajadiliwa, hakuna mtu yeyote aliyemwambia ukweli Rais Samia kuwa muswada huo una ubatili!. Mtu ambaye sii mwanasheria hawezi kuujua ubatili wa kisheria mpaka aelezwe na wanasheria!. Hivyo kwa intellect ya Rais Samia, kumlaumu kwa kutoyajua haya ni kumuonea bure!.

Kwa bahati nzuri, mimi ni miongoni wa watu wanaomfahamu Rais Samia sio tuu kwa kauli na matendo, bali kwa kufanya nae mahojiano ya ana kwa ana mara mbili. Mara ya kwanza akiwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais na mara ya pili akiwa Makamo Mwenyekiti wa Bunge la Katiba.

Wakati akiwa VP nilimfanyia uchambuzi mara mbili
Mara ya kwanza ni hapa Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” na mara ya pili ni hapa "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Na baada ya kuwa Rais wa JMT, pia nilimfanyia uchambuzi mara mbili Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila... na Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake

Hivyo kwa kauli na matendo, hiki kinachofanyika kwenye miswada hii, naamini kabisa watu waonayafanya haya ni wanasheria, waojua fika ubatili wa muswada huu, lakini wametake advantage ya intellect ya Rais Samia kumsokomea batili tena, iktapelekwa Bungeni, itapitishwa, na kutungwa sheria batili, kisha Rais Samia ataisaini kuanza kutumika, kwa excuse kuwa batili hiyo iko kwenye katiba yetu!.

Mimi naamini huyu sio Rais Samia ninaye mfahamu mimi, na naamini kabisa yeye wala hajui kuwa muswada wa sheria ya uchaguzi ni muswada batili unaokiuka ibara ya 11 ya katiba ya JMT.

Kwa vile yeye sio mwanasheria, hajui kuwa katiba yetu ni batili, kwa kuchomekewa ubatili unakokwenda kinyume cha Ibara ya 5 ibara ya Katiba yetu na ibara ya 21.

Nimesema ninaamini kabisa Rais Samia hayajui haya na hapa niliandika Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Hivyo kitendo cha Freeman Mbowe Kutomwamini Rais Samia, ni kumuonea bure, niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda, ila kama Freeman Mbowe anaona muda aliompa kwenye vikao vya maridhiano unatosha, sasa ndio aanzishe maandamano, huku sio kumtendea haki, namshauri Mbowe, aichukulie miswada hii kama fursa, afanye uhamasisha wa kufa mtu kwa Watanzania kwa ku invest in people, grassroot people kuhusu haki zao, ili Watanzania kwa mamilioni wajitokeze wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, na 2025 wajitokeze kwa wingi wawapumzishe watu kwa amani kupitia sanduku la kura na sii kupitia maandamano!.

Bahati nzuri sana na mimi nimehudhuria vikao vyote vitatu vya kukusanya maoni ya wadau na mara zote 3 nilipata bahati ya kuchangia.

Mchango wangu kikao cha kwanza ni huu
View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=9dtqZ-1-ZkzWo69t

Mkutano wa pili maoni yangu ni haya
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=98HTkiMGNsmlLBGz

Na Mkutano wa tatu wa Kamati ya Bunge pia nilitoa maoni.
Nimeandika makala zifutazo kuhusu sheria hizi

- Maoni yangu kwenye Mkutano wa Vyama vya Siasa kuhusu Muswada wa Sheria Mpya ya Uchaguzi. Muswada sio batilifu, ni Muswada batili

- Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1

- Je Wajua Muswada Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2023 ni Batili?. Ni Mvinyo wa Zamani, Kwenye Chupa Mpya?. Why Ubatili Huu?!.

- Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

- Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

- Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

- Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?

- Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

- Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

- Prof. Lipumba: Nina Matumaini Makubwa na Rais Samia, Chaguzi Zijazo Zitakuwa Huru na Haki!, Mambo ya 2019/2020 Yasijirudie!

- Face 2 Face with Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo: "Tunafanya Politics of Engagement kwa kuwa Pragmatic on What is Possible"

- JNICC: Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa na Wadau wa Demokrasia Kutathmini Utekelezaji wa Mapendekezo ya Kikosi Kazi na Hali ya Siasa Nchini

- Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

-"Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza Kukosea!. Zinapokosea, Zina Wajibu Kurekebisha na Kutenda Haki, Vinginevyo Karma Will Do

-"Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani. Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado! Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho!

Baada ya Mhe. Freeman Mbowe kutangaza maandamano nimetoa ushauri issues za kisiasa zitatuliwe kisiasa, halafu issues za kisheria zitatuliwe kisheria, utungaji miswada ni issue ya kisheria, baada ya watu kutoa maoni yetu, Bunge likitutungia sheria batili, this time around, we'll have to do something!.

Tangu Rais Samia ameingia madarakani ile March 21, mimi tuu mwenyewe, nimelisemea jambo hili zaidi ya mara 20!.

Mhe. Freeman, rudisha moyo, applies zile 4R za Rais Samia tulisongeshe mbele kwa mbele.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

1.) Umesema katiba ni batili? Ili nikosa Tena saana...
2.) Unamwongelea Samia au Rais Samia? Kusema rais anadanganywa/hajui ni kumdhalilisha rais maana wataalam anao.
3.) Eti Mbowe achochee watu wakapige kura kubadili uongozi? Kwamba hujui tume ya uchaguzi ndiyo donda? Unaelewa mada kweli au?
4.) Kumsifia Samia na kumdhihaki rais Samia nisawa? Itafanya uteuliwee kisa unamsifia samia?
5.) Huna ushauri Bora Kwa serikali,samia wala Kwa Mbowe hivyo andikolako reefu linakuwa buuree kabisa.
6.) Mayala jifunze kujenga hoja zakuitetea nchi zaidi yahoja za kujipendekeza na kumtetea mtu.
USHAURI;
Enzizilee Uliweza saana kutangaza maonesho mfano sabasaba nk. kwenye siasa kiukweli unapwaya,nakushauri anzisha kipindi boora Cha "Business Tz" utakuwa Bora kama yule wa CNN na "business class"LAKINI siasa unazovamia utaangukia pua bro
 
Wanabodi,
Nimemsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika bandiko hili Mbowe: Najutia kumuamini Rais Samia
View: https://youtu.be/Xjao83Ghy04?si=qSQTeSxIx_8B5a-L

Kiukweli kabisa mimi nimemwelewa sana Mwenyekiti Freeman Mbowe hapa, na hata ningekuwa mimi!, I would have felt the same!.

Namuomba sana Mhe. Mbowe, please usipoteze imani na Rais Samia!, kwasababu Rais Samia ninaye mfahamu mimi, sio mtu mwenye ndimi mbili!, namfahamu fika Rais Samia kwa kauli na matendo, yeye kama yeye, hawezi kabisa kusema hivi hakafu akaja kutenda vile!. She is straight and firm, tena usikute yeye wala hajui kuwa mswada sheria ya uchaguzi ni batili kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Japo miswada yote ya serikali, lazima ipite Baraza la Mawaziri ijadiliwe, wakati mswada huu wa sheria ya uchaguzi unajadiliwa, hakuna mtu yeyote aliyemwambia ukweli Rais Samia kuwa muswada huo una ubatili!. Mtu ambaye sii mwanasheria hawezi kuujua ubatili wa kisheria mpaka aelezwe na wanasheria!. Hivyo kwa intellect ya Rais Samia, kumlaumu kwa kutoyajua haya ni kumuonea bure!.

Kwa bahati nzuri, mimi ni miongoni wa watu wanaomfahamu Rais Samia sio tuu kwa kauli na matendo, bali kwa kufanya nae mahojiano ya ana kwa ana mara mbili. Mara ya kwanza akiwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais na mara ya pili akiwa Makamo Mwenyekiti wa Bunge la Katiba.

Wakati akiwa VP nilimfanyia uchambuzi mara mbili
Mara ya kwanza ni hapa Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” na mara ya pili ni hapa "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Na baada ya kuwa Rais wa JMT, pia nilimfanyia uchambuzi mara mbili Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila... na Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake

Hivyo kwa kauli na matendo, hiki kinachofanyika kwenye miswada hii, naamini kabisa watu waonayafanya haya ni wanasheria, waojua fika ubatili wa muswada huu, lakini wametake advantage ya intellect ya Rais Samia kumsokomea batili tena, iktapelekwa Bungeni, itapitishwa, na kutungwa sheria batili, kisha Rais Samia ataisaini kuanza kutumika, kwa excuse kuwa batili hiyo iko kwenye katiba yetu!.

Mimi naamini huyu sio Rais Samia ninaye mfahamu mimi, na naamini kabisa yeye wala hajui kuwa muswada wa sheria ya uchaguzi ni muswada batili unaokiuka ibara ya 11 ya katiba ya JMT.

Kwa vile yeye sio mwanasheria, hajui kuwa katiba yetu ni batili, kwa kuchomekewa ubatili unakokwenda kinyume cha Ibara ya 5 ibara ya Katiba yetu na ibara ya 21.

Nimesema ninaamini kabisa Rais Samia hayajui haya na hapa niliandika Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Hivyo kitendo cha Freeman Mbowe Kutomwamini Rais Samia, ni kumuonea bure, niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda, ila kama Freeman Mbowe anaona muda aliompa kwenye vikao vya maridhiano unatosha, sasa ndio aanzishe maandamano, huku sio kumtendea haki, namshauri Mbowe, aichukulie miswada hii kama fursa, afanye uhamasisha wa kufa mtu kwa Watanzania kwa ku invest in people, grassroot people kuhusu haki zao, ili Watanzania kwa mamilioni wajitokeze wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, na 2025 wajitokeze kwa wingi wawapumzishe watu kwa amani kupitia sanduku la kura na sii kupitia maandamano!.

Bahati nzuri sana na mimi nimehudhuria vikao vyote vitatu vya kukusanya maoni ya wadau na mara zote 3 nilipata bahati ya kuchangia.

Mchango wangu kikao cha kwanza ni huu
View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=9dtqZ-1-ZkzWo69t

Mkutano wa pili maoni yangu ni haya
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=98HTkiMGNsmlLBGz

Na Mkutano wa tatu wa Kamati ya Bunge pia nilitoa maoni.
Nimeandika makala zifutazo kuhusu sheria hizi

- Maoni yangu kwenye Mkutano wa Vyama vya Siasa kuhusu Muswada wa Sheria Mpya ya Uchaguzi. Muswada sio batilifu, ni Muswada batili

- Asante Rais Samia kwa Muswada huu. Umuhimu wa mabadiliko ya Katiba kabla ya Sheria hii bado ni muhimu sana. Huu ni uchambuzi Wangu - Part 1

- Je Wajua Muswada Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2023 ni Batili?. Ni Mvinyo wa Zamani, Kwenye Chupa Mpya?. Why Ubatili Huu?!.

- Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

- Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

- Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

- Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?

- Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

- Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

- Prof. Lipumba: Nina Matumaini Makubwa na Rais Samia, Chaguzi Zijazo Zitakuwa Huru na Haki!, Mambo ya 2019/2020 Yasijirudie!

- Face 2 Face with Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo: "Tunafanya Politics of Engagement kwa kuwa Pragmatic on What is Possible"

- JNICC: Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa na Wadau wa Demokrasia Kutathmini Utekelezaji wa Mapendekezo ya Kikosi Kazi na Hali ya Siasa Nchini

- Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

-"Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza Kukosea!. Zinapokosea, Zina Wajibu Kurekebisha na Kutenda Haki, Vinginevyo Karma Will Do

-"Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani. Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado! Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho!

Baada ya Mhe. Freeman Mbowe kutangaza maandamano nimetoa ushauri issues za kisiasa zitatuliwe kisiasa, halafu issues za kisheria zitatuliwe kisheria, utungaji miswada ni issue ya kisheria, baada ya watu kutoa maoni yetu, Bunge likitutungia sheria batili, this time around, we'll have to do something!.

Tangu Rais Samia ameingia madarakani ile March 21, mimi tuu mwenyewe, nimelisemea jambo hili zaidi ya mara 20!.

Mhe. Freeman, rudisha moyo, applies zile 4R za Rais Samia tulisongeshe mbele kwa mbele.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

Yani unakili miswada ni batili kwa kukiuka ibara ya 5 na ya 21 ya katiba ya nchi ,alafu unashauri chadema wekeza nguvu grassroot, ili wananchi wajiandikishe upo serious kweli,

Utetezi wa kwamba rais sio mwanasheria , sion mantiki ya hoja hii, Rais anawezaje kukosa chombo cha kumshauri kisheria kwenye mambo mapana na muhim katika ustawi bora wa taifa kama aya, unamanisha leo kipande cha inchi kikiuzwa kwa kupitia sheria uchwara na rais aka ridhia basi kesho tuje na utetezi mwepesi kama huu kwamba rais sio mwanasheria,

Naomba tutake radhi , unatukosea sana mkuu
 
Paskali
Nini au nani kilicho mfanya Rais aende kinyume na maridhiano yao?
Mkuu BabuFey , kama nilivyosema kwenye Bandiko hili, sio Samia!, hawa ni wahafidhina wa CCM, wanataka kumponza Mama.

Majadiliano yoyote yana kanuni, kanuni kuu ni
1. Truthfulness- Ukweli
2. Honestly- uaminifu
3. Trust - Kuaminiana
4. Transparency - uwazi
6. Genuineness- Dhamira ya kweli
7. Give and take spirit to create a win win situation.
8. Confidence

Baadhi ya vitu hivyo vilikosekana katika Mazungumzo hayo, mtu wa kwanza to breach the confidence ni Chadema kupitia kwa TL aliyetoa details za makubaliano ya kugawana nusu mkate kabla hawaja conclude, Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability? hivyo to breach the trust.

P
 
Mbowe ana shinikizo kubwa kutoka ndani ya chama kwa baadhi ya wahafidhina kuonyesha kumpuuza na kutaka kumpa nguvu mropokaji hivyo ,mbowe ameyasema aliyo yasema si kwa utashi wake ,nafsi yake haitaki kabisa. wacha tuone mwisho wa maandamano je wataitwa ikulu ndicho wanacho subiri!
Take it from me, hakuna maandamano yoyote hiyo 24 Jan, tena namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili Chadema waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee maandamano hayo!. Hiyo ndio R yake ya kwanza!.
P
 
Wanabodi,
Nimemsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika bandiko hili Mbowe: Najutia kumuamini Rais Samia
View: https://youtu.be/Xjao83Ghy04?si=qSQTeSxIx_8B5a-L

Kiukweli kabisa mimi nimemwelewa sana Mwenyekiti Freeman Mbowe hapa, na hata ningekuwa mimi!, I would have felt the same, but not done the same, I would have done something worthwhile but not maandamano!.

Namuomba sana Mhe. Mbowe, please usipoteze imani na Rais Samia!, kwasababu Rais Samia ninaye mfahamu mimi, sio mtu mwenye ndimi mbili!, namfahamu fika Rais Samia kwa kauli na matendo, yeye kama yeye, hawezi kabisa kusema hivi haiafu akaja kutenda vile!. She is straightforward person and firm, tena usikute yeye kwa intellect yake, japo ndie aliyeongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichopitisha miswada hiyo lazima ukakuta yeye wala hajui kuwa mswada sheria ya uchaguzi una ubatili ulioshabatilishwa na Mahakama Kuu kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Japo miswada yote ya serikali, lazima ipite Baraza la Mawaziri ijadiliwe, wakati mswada huu wa sheria ya uchaguzi unajadiliwa, hakuna mtu yeyote mule akiwemo AG, aliyemwambia ukweli Rais Samia kuwa muswada huo una ubatili!, hivyo mtu ambaye sii mwanasheria hawezi kuujua ubatili wa kisheria kwenye vipengele vya miswada mpaka aelezwe na wanasheria!. Hivyo kwa intellect ya Rais Samia, kumlaumu kwa kutoyajua haya ni kumuonea bure!.

Kwa bahati nzuri, mimi ni miongoni wa watu wanaomfahamu Rais Samia sio tuu kwa kauli na matendo, bali kwa kufanya nae mahojiano ya ana kwa ana mara mbili. Mara ya kwanza akiwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais na mara ya pili akiwa Makamo Mwenyekiti wa Bunge la Katiba.

Wakati akiwa VP nilimfanyia uchambuzi mara mbili
Mara ya kwanza ni hapa Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” na mara ya pili ni hapa "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Na baada ya kuwa Rais wa JMT, pia nilimfanyia uchambuzi mara mbili Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila... na Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake

Hivyo kwa kauli na matendo, ya Rais Samia, hiki kinachofanyika kwenye miswada hii, naamini kabisa sio yeye, bali waonayafanya haya ni wanasheria, waojua fika ubatili wa muswada huu, lakini wametake advantage ya intellect yake Rais Samia kumsokomezea ubatili tena, ikapelekwa Bungeni, itapitishwa, na kutungwa sheria batili, kisha Rais Samia ataisaini kuanza kutumika, kwa excuse kuwa batili hiyo kwa vile iko kwenye katiba yetu!, then ni batili halali!. Kisheria, batili ni batili, hata ikichomekewa kwenye katiba kiubatili, bado inabaki ni batili, na badala ya kuihalalisha haramu kwa kuichomekea kwenye katiba, haramu hiyo inaiharimisha katiba na kuibatilisha katiba kwa kuifanya kuwa na unajisi!.

Mimi naamini kabisa kwa haya yanayofanyika kuhusu Muswada huu, huyu sio Rais Samia ninaye mfahamu mimi, na naamini kabisa yeye wala hajui kuwa muswada wa sheria ya uchaguzi ni muswada wenye ubatili unaokiuka ibara ya 11 ya katiba ya JMT na kuathiri ibara ya 5, ibara ya 21, ibara ya 39 na ibara ya 67.

Kwa vile yeye sio mwanasheria, hajui kuwa katiba yetu ina ubatili, uliochomekewa kiubatili na awamu zilizopita na Bunge lilolopita unakokwenda kinyume cha Ibara ya 5, ibara 21, ibara ya 39 na ibara ya 67 za Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977.

Nimesema ninaamini kabisa Rais Samia hayajui haya na hapa niliandika Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Hivyo kitendo cha Freeman Mbowe Kutomwamini Rais Samia, ni kumuonea bure, niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda, ila kama Freeman Mbowe anaona muda aliompa kwenye vikao vya maridhiano unatosha, sasa ndio aanzishe maandamano, huku sio kumtendea haki, namshauri Mbowe, aichukulie miswada hii kama fursa, afanye uhamasishaji na uelimishaji umma wa kufa mtu kwa Watanzania kwa ku invest in people, grassroot people kuhusu haki zao, ili Watanzania kwa mamilioni wajitokeze wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, na 2025 wajitokeze kwa wingi wawapumzishe watu kwa amani kupitia sanduku la kura na sii kupitia maandamano!.

Bahati nzuri sana na mimi nimehudhuria vikao vyote vitatu vya kukusanya maoni ya wadau na mara zote 3 nilipata bahati ya kuchangia.

Mchango wangu kikao cha kwanza ni huu
View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=9dtqZ-1-ZkzWo69t

Mkutano wa pili maoni yangu ni haya
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=98HTkiMGNsmlLBGz

Na Mkutano wa tatu wa Kamati ya Bunge pia nilitoa maoni.
Nimeandika makala zifutazo kuhusu sheria hizi

Mbowe kutangaza maandamano nimetoa ushauri issues za kisiasa zitatuliwe kisiasa, halafu issues za kisheria zitatuliwe kisheria, utungaji miswada ni issue ya kisheria, baada ya watu kutoa maoni yetu, Bunge likitutungia sheria batili, this time around, we'll have to do something!.

Tangu Rais Samia ameingia madarakani ile March 21, 2021, mimi tuu mwenyewe, nimelisemea jambo hili la katiba, sheria na haki zaidi ya mara 100!,

Mhe. Freeman, rudisha moyo, applies zile 4R za Rais Samia tulisongeshe mbele kwa mbele.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

Mkuu Paskali.
Kwanza nikupongeze sana kwa namna unavyoweza kuchanbua na kuchanganua mambo mbalimbali yanayohusu hali ya kisiasa nchini.

Nikupongeze pia namna unavyoweza kuhandle uandishi wa makala nzima huku ukiwa na mtihani wa mkono mmoja. Itoshe kusema kwamba akili ikiamua kufanya jambo lake kwa uthabiti hakuna kizuizi cha kuikwamisha.

Nikirejea kwenye hoja.
Ninapingana nawe kumshawishi Mbowe asiondoe imani kwa mama Samia. Mimi nimeona wazi jambo hili la Mbowe na wananchi kuondoa imani kwa Rais limekuja kutokana na haiba ya aliyebeba dhamana hiyo.

Kama unakubali kuwa rais ni taasisi basi huwezi kusema kuwa mama Samia si mwanasheria na hivyo alipoongoza kikao cha Baraza la Mawaziri alisubiri AG amsomee vipengele tata. Je taasisi anayoiongoza haina wanasheria wa kumshauri ama kumpa tip kabla? Nadhani hapo unatetea nia dhahiri ya rais kupitisha miswada hiyo.

Leo sukari inakaribia Tshs 5,000 kwa kilo na serikali ipo bize na miswada na kupandisha bei za huduma bila kujali hali za wananchi wengi. Hatuwezi kumuamini rais ambaye haguswi na undava wa mfumuko wa bei.

Hatuwezi kumuamini rais ambaye anaamini kuwa MUAFAKA ni baina ya CCM na CHADEMA huku watanzania tukilazimishwa kuburuzwa na hilo.

Mioyo ya Watanzania wengi imejaa na kufurika. Wanaomuombea heri ni wale wanufaika wake na si raia wake.

Haya ninayoyaongea yamekuwa reflected na hii miswada waliyipeleka Bungeni ikapigwe muhuri iwe sheria. Nia njema ni kukumbuka kitu kinaitwa DAMAGE CONTROL ambacho siyo mama, siyo CCM wala serikali hii wanazingatia
 
Mimi nadhani Rais ndio anajuta kumwamini Mbowe
No hajuti, nadhani anamshangaa!. Huu ni utovu wa fadhili na ukosefu wa shukrani. Bahati Mama ni Mzanzibari ni watu wa staha sana!, angekuwa Mwamba, wema wote aliotendewa ungemtokea puani!.
Mbowe alimtoa Dr Slaa bungeni Ili agombee Urais na Kikwete Katikati ya misimu miwili ya JK na ulipofika wakati sahihi wa Dr Slaa kugombea na Mgombea mpya wa CCM 2015 Mbowe akamleta mzee mwenzake wa Kanisa Edward na kumtupa Kule Dr Slaa
Sii kweli, Dr. Slaa aliamua mwenyewe kugombea, he is good ila hana mvuto!.
2015 Dr. Slaa hakupanga kugombea!. Urais 2015 tusimlaumu Zitto: Nani anaujua Msimamo wa Dr. Slaa?
Mbowe akamleta mzee mwenzake wa Kanisa Edward na kumtupa Kule Dr Slaa
Mbowe hakumleta Lowassa, ni Lowassa aliifuata Chadema!. Elections 2015 - Kukatwa kwa Lowassa, ni mwisho wa ile safari, au ni mwanzo wa Safari Halisi ya Matumaini?
P
 
Samia asingekuwa na ndimi mbili asingeshindwa kufanya haya.

1. Angerudisha pesa za plea bargain alizokiri zilifichwa uchina.
Hakuna kitu kama hicho, ni alidhania tuu!
2. Waliotajwa walichezesha invoice ya malipo kwa ndege mpya ya mizigo ya ATCL kwa madai ya kuchelewa vifaa sabab ya covid 19 angewachukulia hatua.
Invoice haikuchezeshwa!.
3.Samia alikubali kuendelea na ex-DPP Biswalo Mganga huyu mtu ni very corrupt madili aliyocheza enzi za Magufuli yalipaswa awe mtu wa kwanza kuburuzwa kortini ila akaishia kupewa ujaji.
He is clean!
4.Wezi wote na watu waliofilisiwa mali zao japo walilipwa ila sio wote kuna waliobaki na maumivu ya utawala ambao Samia alikuwa sehemu yake.
Nilishauri Tum-judge Rais Samia kwa mawazo, maneno, na matendo yake ya sasa akiwa ni Rais wa JMT na siyo kwa alivyokuwa VP!
P
 
Mbowe kaingia kwenye mtego WA maadui wa Samia halafu anakuja kumlaumu Samia?
Samia ana maadui?, mtego gani?.
Sio yeye aliepewa "agenda ya bandari za watanganyika" akaibeba Kwa mikono miwili?
Duh...!.
Yeye alifikiri waliompa hiyo agenda Wana plan gani?..hajui plan ilikuwa kumuweka mbali kabisa na Rais Samia na wamefanikiwa?..
Duh...!, how?
Yeye Mbowe aliposema eti usalama wa Taifa wamemuelekeza apiganie "bandari za watanganyika" hakujiuliza hao usalama wa Taifa walikuwa wapi wakati Ben Saanane anapotea?walimueleza hata alipozikwa?..
Duh...!, alisemea wapi?, lini?, sikuwahi kusikia!.
Sasa why maandamano? Why asisubiri maelekezo mengine ya hao alio claim ni "usalama wa Taifa"...?
Duh...!.
Binafsi nilishasema humu wameacha agenda Yao ya Katiba mpya na maridhiano...wakadaka agenda za "kundi lenye agenda zake"...wakakubali kugeuzwa "pressure group""...
Duh...!
Mbowe alikaa kimya hata wakati Tundu Lissu anamtukana hadharani Samia.....kumbe yote hiyo ni agenda za watu....wametumika now hakuna wa kuwasililiza...wanataka kujaribu maandamano knowingly very well hakuna watakachopata.....siasa za kuwa pressure group zilishafeli....
Duh...!.
P
 
Hakuna kitu kama hicho, ni alidhania tuu!

Invoice haikuchezeshwa!.

He is clean!

Nilishauri Tum-judge Rais Samia kwa mawazo, maneno, na matendo yake ya sasa akiwa ni Rais wa JMT na siyo kwa alivyokuwa VP!
P
By any means nilijua lazima uwatetee na sababua naijua.

Ila nikuhakikishie japo mnaongoza mambumbumbu wengi na wasiojitambua ila siku wakibadili upepo hamtaamini nguvu mtakayotumia kurejesha hali ya utulivu.

Ninaamini tu ni wananchi ndio watakaoleta mageuzi ya nchi na sio wanasiasa toka CCM au chama chochote cha upinzani.
 
Samia ana maadui?, mtego gani?.

Duh...!.

Duh...!, how?

Duh...!, alisemea wapi?, lini?, sikuwahi kusikia!.

Duh...!.

Duh...!

Duh...!.
P

Siamini kwamba thread za member mmoja hapa jf aliekuwa analeta za ndani kabisa kuhusu maadui wa Samia hukuziona au labda umechagua upande?
Threads za olimpio hukuziona??
 
Siamini kwamba thread za member mmoja hapa jf aliekuwa analeta za ndani kabisa kuhusu maadui wa Samia hukuziona au labda umechagua upande?
Threads za olimpio hukuziona??
 
Wanabodi,
Nimemsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika bandiko hili Mbowe: Najutia kumuamini Rais Samia
View: https://youtu.be/Xjao83Ghy04?si=qSQTeSxIx_8B5a-L

Kiukweli kabisa mimi nimemwelewa sana Mwenyekiti Freeman Mbowe hapa, na hata ningekuwa mimi!, I would have felt the same, but not done the same, I would have done something worthwhile but not maandamano!.

Namuomba sana Mhe. Mbowe, please usipoteze imani na Rais Samia!, kwasababu Rais Samia ninaye mfahamu mimi, sio mtu mwenye ndimi mbili!, namfahamu fika Rais Samia kwa kauli na matendo, yeye kama yeye, hawezi kabisa kusema hivi haiafu akaja kutenda vile!. She is straightforward person and firm, tena usikute yeye kwa intellect yake, japo ndie aliyeongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichopitisha miswada hiyo lazima ukakuta yeye wala hajui kuwa mswada sheria ya uchaguzi una ubatili ulioshabatilishwa na Mahakama Kuu kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Japo miswada yote ya serikali, lazima ipite Baraza la Mawaziri ijadiliwe, wakati mswada huu wa sheria ya uchaguzi unajadiliwa, hakuna mtu yeyote mule akiwemo AG, aliyemwambia ukweli Rais Samia kuwa muswada huo una ubatili!, hivyo mtu ambaye sii mwanasheria hawezi kuujua ubatili wa kisheria kwenye vipengele vya miswada mpaka aelezwe na wanasheria!. Hivyo kwa intellect ya Rais Samia, kumlaumu kwa kutoyajua haya ni kumuonea bure!.

Kwa bahati nzuri, mimi ni miongoni wa watu wanaomfahamu Rais Samia sio tuu kwa kauli na matendo, bali kwa kufanya nae mahojiano ya ana kwa ana mara mbili. Mara ya kwanza akiwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais na mara ya pili akiwa Makamo Mwenyekiti wa Bunge la Katiba.

Wakati akiwa VP nilimfanyia uchambuzi mara mbili
Mara ya kwanza ni hapa Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” na mara ya pili ni hapa "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Na baada ya kuwa Rais wa JMT, pia nilimfanyia uchambuzi mara mbili Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila... na Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake

Hivyo kwa kauli na matendo, ya Rais Samia, hiki kinachofanyika kwenye miswada hii, naamini kabisa sio yeye, bali waonayafanya haya ni wanasheria, waojua fika ubatili wa muswada huu, lakini wametake advantage ya intellect yake Rais Samia kumsokomezea ubatili tena, ikapelekwa Bungeni, itapitishwa, na kutungwa sheria batili, kisha Rais Samia ataisaini kuanza kutumika, kwa excuse kuwa batili hiyo kwa vile iko kwenye katiba yetu!, then ni batili halali!. Kisheria, batili ni batili, hata ikichomekewa kwenye katiba kiubatili, bado inabaki ni batili, na badala ya kuihalalisha haramu kwa kuichomekea kwenye katiba, haramu hiyo inaiharimisha katiba na kuibatilisha katiba kwa kuifanya kuwa na unajisi!.

Mimi naamini kabisa kwa haya yanayofanyika kuhusu Muswada huu, huyu sio Rais Samia ninaye mfahamu mimi, na naamini kabisa yeye wala hajui kuwa muswada wa sheria ya uchaguzi ni muswada wenye ubatili unaokiuka ibara ya 11 ya katiba ya JMT na kuathiri ibara ya 5, ibara ya 21, ibara ya 39 na ibara ya 67.

Kwa vile yeye sio mwanasheria, hajui kuwa katiba yetu ina ubatili, uliochomekewa kiubatili na awamu zilizopita na Bunge lilolopita unakokwenda kinyume cha Ibara ya 5, ibara 21, ibara ya 39 na ibara ya 67 za Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977.

Nimesema ninaamini kabisa Rais Samia hayajui haya na hapa niliandika Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Hivyo kitendo cha Freeman Mbowe Kutomwamini Rais Samia, ni kumuonea bure, niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda, ila kama Freeman Mbowe anaona muda aliompa kwenye vikao vya maridhiano unatosha, sasa ndio aanzishe maandamano, huku sio kumtendea haki, namshauri Mbowe, aichukulie miswada hii kama fursa, afanye uhamasishaji na uelimishaji umma wa kufa mtu kwa Watanzania kwa ku invest in people, grassroot people kuhusu haki zao, ili Watanzania kwa mamilioni wajitokeze wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, na 2025 wajitokeze kwa wingi wawapumzishe watu kwa amani kupitia sanduku la kura na sii kupitia maandamano!.

Bahati nzuri sana na mimi nimehudhuria vikao vyote vitatu vya kukusanya maoni ya wadau na mara zote 3 nilipata bahati ya kuchangia.

Mchango wangu kikao cha kwanza ni huu
View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=9dtqZ-1-ZkzWo69t

Mkutano wa pili maoni yangu ni haya
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=98HTkiMGNsmlLBGz

Na Mkutano wa tatu wa Kamati ya Bunge pia nilitoa maoni.
Nimeandika makala zifutazo kuhusu sheria hizi

Mbowe kutangaza maandamano nimetoa ushauri issues za kisiasa zitatuliwe kisiasa, halafu issues za kisheria zitatuliwe kisheria, utungaji miswada ni issue ya kisheria, baada ya watu kutoa maoni yetu, Bunge likitutungia sheria batili, this time around, we'll have to do something!.

Tangu Rais Samia ameingia madarakani ile March 21, 2021, mimi tuu mwenyewe, nimelisemea jambo hili la katiba, sheria na haki zaidi ya mara 100!,

Mhe. Freeman, rudisha moyo, applies zile 4R za Rais Samia tulisongeshe mbele kwa mbele.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

Kwa vitu sensitive kama hiki rsis anashindwa kusoma ili ma yeye apime kwa akili zake mwenyewe?
Hata kama alisimuliwa tu na kushauriwa, jiyo story ilikia ni ya aina gani hata ashindwe kugundua ubatili wake? Je hata naada ya hizi kelele na purukushani bado unatetea kuwa rais hakuambiwa ukweli au alishauriwa vibaya?
Ufike wakati ukweli usemwe tu kwamba rais tuliye naye hiyo nafasi haiwezi. Wanaompoyosha ma kumdanganya mdiyo wanaomlinda kwaaslahi yao ma ili mambo uao yaende wanahitaji sana mtu asiyejiweza ndiye awepo hapo kwenye hiyo nafasi.
 
Rais wa nchi hapaswi kujua kila kitu, anapaswa kujua akitaka kujua afanye nini. Rais ana nguvu za kuteua Washauri , maafisa na Watendaji wa kumsaidia. Kazi ya Rais ni kuratibu (organization) na ujumuishi (harmonization) ya shughuli ili kutoa majibu. Hatuwezi kumpa 'pass' kwa 'flimsy excuse'
Kuna vitu ikitokea Rais wetu havijui, haupaswi kumlaumu, especially technically things. Complex legal issues ni one of them. Kwa sababu Rais Samia keshaonyesha kwa kauli na matendo kuwa ana nia njema ya dhati ya kuwatendea haki Watanzania, baada ya sasa kujua sheria hiyo ina ubatili, she will recall them, tutafanya kwanza mabadiliko madogo ya katiba kisha ndio ziletwe.
Nakubaliana nawe kwamba ni kumuonea Rais SSH kwasababu hizi .
Mbowe alijua CCM hawajawahi kuwa na ni njema hata kwa bahati mbaya.
Naomba kutofautiana na wewe, Rais Samia ana nia njema ya dhati!.
Mbowe akatoa 'turufu' ya negotiation bure kwa SSS, kumpa nafasi ya kupoteza muda, ambayo SSH ameitumia.
No hakutoa bure, it was give and take, he got something!..
Mbowe hakusikiliza Jamii inamwambia nini na kukaidi 'vox populi vox dei'
It's not necessarily every Vox Populi is Vox Dei! Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'? was not vox Dei!
Mbowe akaingia katika maridhiano na ' ku-ignore history' ambayo leo inamuonyesha ukweli
History...
Mbowe akaingia katika maridhiano bila ''bargaining chip' wakati akiwa na upper hand. ''Akauza ghala la silaha''
What was his bargaining chip?.
Kumalumu SSH kwa ujinga ni kosa, siasa ni kama mchezo wa soccer.
Mpinzania ana score ukifanya kosa. Kawaulize Simba SC walipocheza na Singida.
Duh...!
Mbowe alicheza fyongo SSH akatumia mwanya! asilaumiwe.
Duh...!
Katiba ni mwongozo wetu sote, Wazalendo, Raia wema, majambazi, panya road, Dada Poa, Mama Ntilie, Vigagula , watoa majini, wauza maji , Nagariba, Wakeketaji n.k. Kulifanya jambo hili ni la kisiasa si kuwatende haki Wananchi.
Naunga mkono hoja
Kwa nchi za wenzetu mbona vumbi lingeshatimka kuanzia siku Warioba amefikisha maoni yetu?
Sisi Watanzania ni Watu poa sana ndio maana nchi yetu ni kisiwa cha amani.
Rais SSH atumie 'ujinga' wa Watanzania kuwasikiliza maana ipo siku wakiamua hatakuwa na nafasi.
Hiyo siku...
Hili la Maandamano lilikuwa lifanyike miaka mingi iliyopjta. Haki haiombwi, inadaiwa.
Naunga mkono hoja Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
Kama kuna anayedhani Katiba haimhusu, basi asubiri maumivu kwa miaka mingi.
Naunga mkono hoja, na nimejitolea kuendesha darasa la somo la Katiba Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani? Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel Ten
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=wyq9DBC8gLq33GvU
P
 
Sawa ila Familia yake isikose kuwepo kwenye maandamano ikiongozwa na yule binti yake yule Mwanasheria ofisi ya mwanasheria Mkuu
Family inayopaswa kuwepo ni his political family, watoto wakiisha vuka 18 years ni wakubwa huwezi kuwaandamanisha. Mkewe ni government employees hawaruhusiwi kushiriki politics !.
P
 
No question about it!

Ilikuwa ni ' naivety' wala haikuhitaji 'political savvy'

Mbowe hatumia 'turufu' ku-force CCM badala yake akawa Submissive.

CCM haijawahi kuwa na nia njema, kuna historia ya kutosha nchini ikiwemo ya 'maridhiano' Zanzibar.
Mbowe alishaingia maridhiano 'Mwanza kwa Magufuli' kilichofuata historia.

Kufungwa ilikuwa siasa kwasababu ya nguvu iliyokuwa nyuma ya Mbowe kudai Katiba mpya.

Kikosi kazi kiliundwa ili kupoteza Rasimu ya Warioba na kupoteza habari za CDM.

SSH akajua ili kufanikisha lengo la Kikosi kazi lazima lazima amwachie Mbowe, akamwachia.
Hii ilikuwa turufu ya kwanza kwamba Mbowe na Chadema walikuwa na 'upper hand'

Kitendo cha kumtoa Magereza na kumwita Ikulu ilikuwa kumnyamazisha na kumfanya 'sehemu' ya mchakato.

Mbowe bila kujiuliza akaenda akiwa na kila sababu za kukutana na watu wake kwanza ili kumarisha nguvu.
Mbowe alipaswa kuonyesha ni 'force to reckon with'' hakutumia fursa hiyo, akaamua kuwa submissive

Hakuna mtu aliyekubali kitendo kile, Mbowe akamwaga 'cold water' katika harakati na siasa za nchi.

Haikuhitaji elimu , ujuzi au uzoefu , ilikuwa ni busara tu kuona CCM ni laghai, historia ipo wazi maktaba

Mbowe alipaswa kuweka 'bargaining chip' mezani, hakuweka akaamini 'mama ana nia njema.

Kwanza, ' COVID-19' waondolewe. Pili, mazungumzo kwa 'vipindi vya miezi 3' na utakalezaji wa kila hatua ukamilike kabla ya hatua nyingine.

Mwenyekiti wa CDM hakufanya akaamini nia njema, leo nikimsikia anasema 'hana imani na SSH na CCM' namshangaa, wao wamefanya walichokusudia na kufanikiwa, hawahitaji Imani ya Mbowe.

Cry wolf
Exactly, ndio maana tunasema Mbowe must step down, kiongozi gani unafanya maridhiano mara nyingi binafsi, huku kundi kubwa la wanachama na wafuasi wako wakiwa hawaridhiki? Na maonyo mengi alipewa kuwa anapotezewa muda lakini akatia pamba masikioni, lengo lake ilikuwa ni kupata sifa za bei rahisi kwa wanaccm walaghai eti anafanya siasa za kistaarabu. Utafanya vipi siasa za kistaarabu za kuelekezwa na mpinzani wako, tena mwenye historia ya kutoheshimu haki zako?
 
Take it from me, hakuna maandamano yoyote hiyo 24 Jan, tena namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili Chadema waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee maandamano hayo!. Hiyo ndio R yake ya kwanza!.
P
Ni kweli hakuna maandamano hiyo 24 January, sio kwakuwa watu hawana sababu za kuandamana, Bali watu ni waoga wa kuuwawa, kupata vilema vya maisha na hata kufungwa. Na hakuna uwezekano wa serekali kuruhusu hayo maanadamano, maana wanajua hatari ya ujumbe wa kweli unaotarajiwa kufikishwa.

Maadam hakuna dhamira ya kweli kwenye hizo 4R Bali ulaghai wa kisiasa, usitegemee hayo maandamano kupata baraka za serekali. Mbowe kaingizwa chaka mchana kweupe na matapeli wa siasa, kama alivyoingizwa mjini na Lowassa Hadi kumpa nafasi ya kugombea urais.
 
Back
Top Bottom