Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!

Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!

Katika yoote, bila shaka hoja hapa ni mgombea binafsi..

Umejitetea kuwa ni hatari kuwa na mgombea binafsi.

Kwamba, ni vyema kuendelea na mfumo wa sasa wa kila atakaye uongozi wa kuchaguliwa ktk nchi yetu apitie kwenye chama cha siasa..

Sababu yako ni kuwa, mgombea binafsi hadhibitiki, hana chama cha kumdhibiti... Na hapa ndipo upogo wa hoja yako ulipo..

Inaelekea wewe ni miongoni mwa wana CCM waoga wa mabadiliko wanaofaidika na mfumo huu mbovu kiasi cha kuutetea kwa sababu za kitoto sana..

Unaandika kana kwamba hatuwezi kujiwekea utaratibu wa checks & balance ktk mambo haya. Na woga, hofu na wasiwasi wako huu unaweza kuondolewa kwa kukaa wote chini na kutengeneza utaratibu kupitia kutengeneza katiba mpya inayoweza ku - harmonize haya yote..

By the way, uzoefu wa nchi zote zilizoruhusu mgombea binafsi unaonesha kuwa it's very rare wagombea binafsi kuingia kwa wingi ktk vyombo vya maamuzi kama bunge au mabaraza ya miji nk nk..

Hata kama ikitokea mgombea fulani asiye na chama (mgombea binafsi) ameshinda ktk nafasi ya u - Rais, lazima katiba ieleze ni kwa namna gani mgombea huyu ataunda serikali yake. Ndivyo ilivyo ktk nchi za wenzetu..

Tatizo ni Moja kuwa, CCM hawataki mwafaka wa kitaifa kupitia katiba mpya na ndiyo maana wana - reject kila kitu hata ambavyo ni vya muhimu na vinavyoweza ku - fast track maendeleo yetu ya kiuchumi na kijamii kwa sababu kama unazotoa wewe..

Haiwezekani ktk kupiga kura watu wote wanaweza kupiga kura kuchagua viongozi wao ktk uchaguzi bila kujali ni wanachama wa vyama vya siasa au la...

Lakini ktk kugombea nafasi za uongozi Ili upigiwe kura, eti watu haohao wanachama na wasio wanachama wa chama chochote cha siasa eti unawawekea sharti la kuwa wanachama wa vyama vya siasa..!!

This is very ridiculous and undemocratic arrangements..!!
Huko kwa raisi ndio kabisa as an independent cadindate, kuunda kwa serikali bargaining power atakazotoa ni kutekeleza ilani ya chama kingine. Vinginevyo wanarudi kwenye chaguzi tena.

Fuatilia chaguzi za Israel, huko washakaa mpaka miezi 17 bila ya serikali kisa vyama avitaki kuungana. Miaka 5 uchaguzi mara tatu kisa ugumu wa kupata majority ya bunge na kuunda serikali.

Ni hivi kabla ya kukimbilia habari za mgombea binafsi, walau hao watoa hoja wangeelezea mechanics za hang parliament, utaratibu wa kuendesha nchi wakati hakuna serikali.

Huko Germany na Israel ambapo kuna mgawanyo mkubwa wa votes kwa vyama kama vitano, wakati wanasiasa wanalumbana na kujadiliana miungano ya kimkataba ili kuunda serikali kuna civil service imara ya kuendesha nchi.

Sisi kila kitu kwa sasa ni wanasiasa, hatuna experience ya kukaa hata week moja bila ya serikali kuu. Haya mambo kwa wenzetu wamejipanga na risk mitigation strategies kwa scenario kadhaa za matokeo ya uchaguzi. Na senior servants wao sio watu wa mzaha kabisa, uwezo wao auna mashaka kabisa hasa makatibu wakuu ni watu ambao wametengenezwa kuendesha nchi hadi kufikia hizo nafasi.

Sisi hata atujadili scenarios kadhaa tunazimudu vipi tunachotaka ni wagombea binafsi na wapiga kura wenyewe si unawaona it’s possible kabisa kwa watanzania chini ya uchaguzi huru na wa haki bunge likajaza over 70% ya independent candidates (kasheshe).

Watu wenyewe wa kuendesha nchi hakuna tunateua tu makatibu wakuu wa wizara kwa kujisikia na unakuta katibu mkuu kiongozi ajawahi ata kushika nafasi ya ukurugenzi ndani ya wizara let alone kuwa katibu wa wizara na ndio mtu wa kuongoza nchi kwenye scenario isiyo na serikali.

Sometimes it’s not about democracy, but common sense given the reality of social factors. Swala la kuendesha nchi sio la mzaha kama tunavyolichukulia.
 
Exactly, ndio maana tunasema Mbowe must step down, kiongozi gani unafanya maridhiano mara nyingi binafsi, huku kundi kubwa la wanachama na wafuasi wako wakiwa hawaridhiki? Na maonyo mengi alipewa kuwa anapotezewa muda lakini akatia pamba masikioni, lengo lake ilikuwa ni kupata sifa za bei rahisi kwa wanaccm walaghai eti anafanya siasa za kistaarabu. Utafanya vipi siasa za kistaarabu za kuelekezwa na mpinzani wako, tena mwenye historia ya kutoheshimu haki zako?
Kuanzia siku ya kwanza alipokwenda Ikuku, nchi ilipigwa ganzi, dalili nzuri kabisa kwamba Watu hawakuridhika

Wananchi wakapaza suati za kumkanya kwamba maridhiano yake na SSH hayana mantiki, ni utapeli wa CCM
Mbowe akajibu kwa hoja rahisi '' S. Africa kama ilivyo Ukraine' wapo katika mazungumzo na 'Watesi wao'

Mbowe akawa msemaji wa CCM kuhusu maridhiano, CCM wakiwa kimya! Hakuna, hakuna! kiongozi wa ngazi za juu wa CCM aliyezungumzia 'maridhiano' hata kwa bahati mbaya. Mbowe akajitwisha wajibu huo

Mbowe akalinganisha Wanacha wa Chama chake na Wahafidhina wa CCM akisema wapo kila mahali. Aikaeli hakujali kwamba Wanachama wake ni 'loyal' siyo 'chawa' kwahiyo hakuna ulinganifu. Freeman akawa free katika maridhiano

Aliulizwa kuhusu COVID-19 kama 'bargaining chip' ya kwanza, Mbowe akajibu ' Bunge ni taasisi lina taratibu nyingi za kuwaondoa' akitetea urasimu uliokuwa unaendelea. Yaani kuondoa Wabunge haramu kama wale wa CUF ilikuwa kazi sana kwa mujibu wa M/Kiti wa Chadema.

Hili siyo tukio (event) wala siyo bahati (coincidence) ni mtiririko wa failures ( pattern) wenye jibu moja tu, ni wakati ima aondoke kwa heshima au aondolewe na chama chake. Hakuna option nyingine ni wakati aondoke!

FAM jiuzulu umefeli sana, haya ya kutapeliwa maandiko yalikuwa ukutani ukajitia upofu. JIUZULU ni jibu rahisi na zuri kwako na Chama chako! Wakati umefika, achia ngazi haraka ili kunusuru chama chako na Taifa!

Ahsante kwa mchango wako katika demokrasia ya nchi, umelipa gharama kubwa hilo halitahaulika, lakini wakati si wako tena! umechoka!
 
Wanabodi,
Nimemsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika bandiko hili Mbowe: Najutia kumuamini Rais Samia
View: https://youtu.be/Xjao83Ghy04?si=qSQTeSxIx_8B5a-L

Kiukweli kabisa mimi nimemwelewa sana Mwenyekiti Freeman Mbowe hapa, na hata ningekuwa mimi!, I would have felt the same, but not done the same, I would have done something worthwhile but not maandamano!.

Namuomba sana Mhe. Mbowe, please usipoteze imani na Rais Samia!, kwasababu Rais Samia ninaye mfahamu mimi, sio mtu mwenye ndimi mbili!, namfahamu fika Rais Samia kwa kauli na matendo, yeye kama yeye, hawezi kabisa kusema hivi haiafu akaja kutenda vile!. She is straightforward person and firm, tena usikute yeye kwa intellect yake, japo ndie aliyeongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichopitisha miswada hiyo lazima ukakuta yeye wala hajui kuwa mswada sheria ya uchaguzi una ubatili ulioshabatilishwa na Mahakama Kuu kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Japo miswada yote ya serikali, lazima ipite Baraza la Mawaziri ijadiliwe, wakati mswada huu wa sheria ya uchaguzi unajadiliwa, hakuna mtu yeyote mule akiwemo AG, aliyemwambia ukweli Rais Samia kuwa muswada huo una ubatili!, hivyo mtu ambaye sii mwanasheria hawezi kuujua ubatili wa kisheria kwenye vipengele vya miswada mpaka aelezwe na wanasheria!. Hivyo kwa intellect ya Rais Samia, kumlaumu kwa kutoyajua haya ni kumuonea bure!.

Kwa bahati nzuri, mimi ni miongoni wa watu wanaomfahamu Rais Samia sio tuu kwa kauli na matendo, bali kwa kufanya nae mahojiano ya ana kwa ana mara mbili. Mara ya kwanza akiwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais na mara ya pili akiwa Makamo Mwenyekiti wa Bunge la Katiba.

Wakati akiwa VP nilimfanyia uchambuzi mara mbili
Mara ya kwanza ni hapa Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” na mara ya pili ni hapa "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Na baada ya kuwa Rais wa JMT, pia nilimfanyia uchambuzi mara mbili Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila... na Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake

Hivyo kwa kauli na matendo, ya Rais Samia, hiki kinachofanyika kwenye miswada hii, naamini kabisa sio yeye, bali waonayafanya haya ni wanasheria, waojua fika ubatili wa muswada huu, lakini wametake advantage ya intellect yake Rais Samia kumsokomezea ubatili tena, ikapelekwa Bungeni, itapitishwa, na kutungwa sheria batili, kisha Rais Samia ataisaini kuanza kutumika, kwa excuse kuwa batili hiyo kwa vile iko kwenye katiba yetu!, then ni batili halali!. Kisheria, batili ni batili, hata ikichomekewa kwenye katiba kiubatili, bado inabaki ni batili, na badala ya kuihalalisha haramu kwa kuichomekea kwenye katiba, haramu hiyo inaiharimisha katiba na kuibatilisha katiba kwa kuifanya kuwa na unajisi!.

Mimi naamini kabisa kwa haya yanayofanyika kuhusu Muswada huu, huyu sio Rais Samia ninaye mfahamu mimi, na naamini kabisa yeye wala hajui kuwa muswada wa sheria ya uchaguzi ni muswada wenye ubatili unaokiuka ibara ya 11 ya katiba ya JMT na kuathiri ibara ya 5, ibara ya 21, ibara ya 39 na ibara ya 67.

Kwa vile yeye sio mwanasheria, hajui kuwa katiba yetu ina ubatili, uliochomekewa kiubatili na awamu zilizopita na Bunge lilolopita unakokwenda kinyume cha Ibara ya 5, ibara 21, ibara ya 39 na ibara ya 67 za Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977.

Nimesema ninaamini kabisa Rais Samia hayajui haya na hapa niliandika Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Hivyo kitendo cha Freeman Mbowe Kutomwamini Rais Samia, ni kumuonea bure, niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda, ila kama Freeman Mbowe anaona muda aliompa kwenye vikao vya maridhiano unatosha, sasa ndio aanzishe maandamano, huku sio kumtendea haki, namshauri Mbowe, aichukulie miswada hii kama fursa, afanye uhamasishaji na uelimishaji umma wa kufa mtu kwa Watanzania kwa ku invest in people, grassroot people kuhusu haki zao, ili Watanzania kwa mamilioni wajitokeze wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, na 2025 wajitokeze kwa wingi wawapumzishe watu kwa amani kupitia sanduku la kura na sii kupitia maandamano!.

Bahati nzuri sana na mimi nimehudhuria vikao vyote vitatu vya kukusanya maoni ya wadau na mara zote 3 nilipata bahati ya kuchangia.

Mchango wangu kikao cha kwanza ni huu
View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=9dtqZ-1-ZkzWo69t

Mkutano wa pili maoni yangu ni haya
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=98HTkiMGNsmlLBGz

Na Mkutano wa tatu wa Kamati ya Bunge pia nilitoa maoni.
Nimeandika makala zifutazo kuhusu sheria hizi

Mbowe kutangaza maandamano nimetoa ushauri issues za kisiasa zitatuliwe kisiasa, halafu issues za kisheria zitatuliwe kisheria, utungaji miswada ni issue ya kisheria, baada ya watu kutoa maoni yetu, Bunge likitutungia sheria batili, this time around, we'll have to do something!.

Tangu Rais Samia ameingia madarakani ile March 21, 2021, mimi tuu mwenyewe, nimelisemea jambo hili la katiba, sheria na haki zaidi ya mara 100!,

Mhe. Freeman, rudisha moyo, applies zile 4R za Rais Samia tulisongeshe mbele kwa mbele.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

Hivi wewe ni mwanasheria gani. Yaani umeisha Sema miswada iliyo pitishwa ni batili. Hapo hapo unashauri chadema washiriki uchaguzi kwa sheria batili. Halafu ndio wapumzishe serikali iliyopo kwa kutumia tume ya uchaguzi batili na inayo endeshwa kwa sheria batili. Halafu unatetea Samia kwa kuhalalisha batili wote huo. Wewe tu Sema unatafuta kitu kwa raisi au unanufaika na batili hiyo tujuwe moja.
 
Huko kwa raisi ndio kabisa as an independent cadindate, kuunda kwa serikali bargaining power atakazotoa ni kutekeleza ilani ya chama kingine. Vinginevyo wanarudi kwenye chaguzi tena.

Fuatilia chaguzi za Israel, huko washakaa mpaka miezi 17 bila ya serikali kisa vyama avitaki kuungana. Miaka 5 uchaguzi mara tatu kisa ugumu wa kupata majority ya bunge na kuunda serikali.
Ni kweli na naongezea hapa, UK walikaa wiki 3 bila serikali na India walikaa miezi 3 bila serikali.
Sisi unadhani hatuwezi, si kwasababu hatuwezi bali mifumo yetu imesukwa 'tusiweze' ndio maana tunahitaji Katiba mpya na hilo litasaidia ikitokea kama India , UK, Israel, Ujerumani n.k.
Ni hivi kabla ya kukimbilia habari za mgombea binafsi, walau hao watoa hoja wangeelezea mechanics za hang parliament, utaratibu wa kuendesha nchi wakati hakuna serikali.
Hapana, wapewe nafasi ya kueleza. Kwasababu hata upuuzi unaofanywa wa 'makongamano ya miswada' watu wanalazimishwa kujadili miswada na si kutoa maoni ya hizo '' mechanics' unazosema. Unaona tatizo lilipo?
Huko Germany na Israel ambapo kuna mgawanyo mkubwa wa votes kwa vyama kama vitano, wakati wanasiasa wanalumbana na kujadiliana miungano ya kimkataba ili kuunda serikali kuna civil service imara ya kuendesha nchi.
Ni kweli na ndio maana tunahitaji Katiba mpya ili kujenga hiyo 'civil service' imara. Kumbe unakubali yetu si imara, sasa tuta fix vipi kama hatujadiliani kwa kutumia sheria mama ambayo ni Katiba?
Tunahitaji katiba ili kujenga civil service imara !
Sisi kila kitu kwa sasa ni wanasiasa, hatuna experience ya kukaa hata week moja bila ya serikali kuu.
Tuna miaka 60 Uhuru, unachosema hapa ni kwamba sisi ni Wajinga. Huwezi kumnyonyesha mtoto hadi miaka 5 halafu umlaumu kwa kunyonya na si wewe mzazi kutafuta suluhu.
Hapa unatusaidia sana kudai katiba mpya ili kujenga mifumo imara

Haya mambo kwa wenzetu wamejipanga na risk mitigation strategies kwa scenario kadhaa za matokeo ya uchaguzi. Na senior servants wao sio watu wa mzaha kabisa, uwezo wao auna mashaka kabisa hasa makatibu wakuu ni watu ambao wametengenezwa kuendesha nchi hadi kufikia hizo nafasi.
Tuna miaka 60 sisi tutajipanga lini na 'mitigation strategies' kama unavyosema?
Tunahitaji Katiba mpya ili kujenga na kuingiza mawazo mazuri kama yako. Kama hatujadili tunaletewa ujinga na wale wale waliotufikisha hapa miaka 60 unategemea nani aje kutusaidia!
Sisi hata atujadili scenarios kadhaa tunazimudu vipi tunachotaka ni wagombea binafsi na wapiga kura wenyewe si unawaona it’s possible kabisa kwa watanzania chini ya uchaguzi huru na wa haki bunge likajaza over 70% ya independent voters (kasheshe).
Hapa ndipo pa kuanzia kwasababu hawa wa vyama wamefeli.
Tafuta historia ya mataifa yaliyofanikiwa, ni kwamba yamepita katika majaribu.

Ningefurahi sana kama tungekuwa na independent candidates. Hivi tunakipi cha kupoteza zaidi?
Watu wenyewe wa kuendesha nchi hakuna tunateua tu makatibu wakuu wa wizara kwa kujisikia na unakuta katibu mkuu kiongozi ajawahi ata kushika nafasi ya ukurugenzi ndani ya wizara let alone kuwa katibu wa wizara.
Ni kweli kabisa, ndio maana tunahitaji Katiba ili kuondoa uozo huo. Kama hatutakaa na kujadiliana hali hii tutaimudu vipi? Si unaona jibu lake ni Katiba mpya.
Sometimes it’s not about democracy, but common sense given the reality of social factors. Swala la kuendesha nchi sio la mzaha kama tunavyolichukulia.
Yes na common sense zinasema miaka 60 na watu wale wale tumefeli. Hatuna taasisi imara kama za wenzetu. Tunahitaji mifumo mipya kama wenzetu ambapo Serikali ni watu si mtu.
 
Ni kweli na naongezea hapa, UK walikaa wiki 3 bila serikali na India walikaa miezi 3 bila serikali.
Sisi unadhani hatuwezi, si kwasababu hatuwezi bali mifumo yetu imesukwa 'tusiweze' ndio maana tunahitaji Katiba mpya na hilo litasaidia ikitokea kama India , UK, Israel, Ujerumani n.k.

Hapana, wapewe nafasi ya kueleza. Kwasababu hata upuuzi unaofanywa wa 'makongamano ya miswada' watu wanalazimishwa kujadili miswada na si kutoa maoni ya hizo '' mechanics' unazosema. Unaona tatizo lilipo?

Ni kweli na ndio maana tunahitaji Katiba mpya ili kujenga hiyo 'civil service' imara. Kumbe unakubali yetu si imara, sasa tuta fix vipi kama hatujadiliani kwa kutumia sheria mama ambayo ni Katiba?
Tunahitaji katiba ili kujenga civil service imara !

Tuna miaka 60 Uhuru, unachosema hapa ni kwamba sisi ni Wajinga. Huwezi kumnyonyesha mtoto hadi miaka 5 halafu umlaumu kwa kunyonya na si wewe mzazi kutafuta suluhu.
Hapa unatusaidia sana kudai katiba mpya ili kujenga mifumo imara


Tuna miaka 60 sisi tutajipanga lini na 'mitigation strategies' kama unavyosema?
Tunahitaji Katiba mpya ili kujenga na kuingiza mawazo mazuri kama yako. Kama hatujadili tunaletewa ujinga na wale wale waliotufikisha hapa miaka 60 unategemea nani aje kutusaidia!

Hapa ndipo pa kuanzia kwasababu hawa wa vyama wamefeli.
Tafuta historia ya mataifa yaliyofanikiwa, ni kwamba yamepita katika majaribu.

Ningefurahi sana kama tungekuwa na independent candidates. Hivi tunakipi cha kupoteza zaidi?

Ni kweli kabisa, ndio maana tunahitaji Katiba ili kuondoa uozo huo. Kama hatutakaa na kujadiliana hali hii tutaimudu vipi? Si unaona jibu lake ni Katiba mpya.

Yes na common sense zinasema miaka 60 na watu wale wale tumefeli. Hatuna taasisi imara kama za wenzetu. Tunahitaji mifumo mipya kama wenzetu ambapo Serikali ni watu si mtu.
Ndugu angalia BRT kama mfano on paper ni mradi mzuri sana.

Tumejenga infrustructure nzuri ya njia na vituo, tumeanza na mabasi ya kutosha na wateja ndio wamejazana.

Huko serikalini hatuna watu wa kuendesha huo mradi, mabasi chali hayana schedule maintenance, ghala la spare parts watu wameiba inventory yote, service tunapeleka kampuni binafsi (with overpriced), vituo machine za electronic kila siku mbovu, vituo vyenyewe upkeep ni kama hamna vimeshaanza kuchakaa.

Hiyo inakwambia nini huko serikalini Hakuna watu wa kusimamia kitu.

Imagine hang parliament ya Tanzania. Budget za wizara wajiamuliwe wenyewe civil servants, OC, makusanyo wajiamulie allocations zake kwa miezi sita tu; huko kwenye afya, mashuleni, umeme, huduma za serikali kutaoza balaa.

Tuna mifano ya kutosha as warnings sign ya kutuambia kuna vitu tusijaribu kwa sasa unless tunataka kutengeneza matatizo makubwa kwa wananchi.

Hao wapiga kura wenyewe ukiwaachia wachague mtu kwa ridhaa yao usishangae wakakuletea Harmonize, jimbo la Kawe badala ya Pascal. Kama una kumbukumbu nzuri ‘Irene Uwoya’ alishinda kwa haki kabisa viti maalum (Tabora nadhani kama sijakosea) 2015 akakatwa tu jina baadae na CCM. Chezea akili za watanzania wewe.
 
Ndugu angalia BRT kama mfano on paper ni mradi mzuri sana.

Tumejenga infrustructure nzuri ya njia na vituo, tumeanza na mabasi ya kutosha na wateja ndio wamejazana.

Huko serikalini hatuna watu wa kuendesha huo mradi, mabasi chali hayana schedule maintenance, ghala la spare parts watu wameiba inventory yote, service tunapeleka kampuni binafsi (with overpriced), vituo machine za electronic kila siku mbovu, vituo vyenyewe upkeep ni kama hamna vimeshaanza kuchakaa.

Hiyo inakwambia nini huko serikalini Hakuna watu wa kusimamia kitu.

Imagine hang parliament ya Tanzania. Budget za wizara wajiamuliwe wenyewe civil servants, OC, makusanyo wajiamulie allocations zake kwa miezi sita tu; huko kwenye afya, mashuleni, umeme, huduma za serikali kutaoza balaa.

Tuna mifano ya kutosha as warnings sign ya kutuambia kuna vitu tusijaribu kwa sasa unless tunataka kutengeneza matatizo makubwa kwa wananchi.

Hao wapiga kura wenyewe ukiwaachia wachague mtu kwa ridhaa yao usishangae wakakuletea Harmonize, jimbo la Kawe badala ya Pascal. Kama una kumbukumbu nzuri ‘Irene Uwoya’ alishinda kwa haki kabisa viti maalum (Tabora nadhani kama sijakosea) 2015 akakatwa tu jina baadae na CCM. Chezea akili za watanzania wewe.
Na huwezi kukaa kimya ukitegemea mifumo itajirekebisha , ni lazima ufanye jambo
Tukifanya haya haya kwa namna hii hii na njia zile zile tuakuwa tumekidhi definition ya Insanity kwa 100%

Tutengeneza Katiba itakayozuia madhara na kutupa mweleko. Hilo ndilo jibu.
 
Na huwezi kukaa kimya ukitegemea mifumo itajirekebisha , ni lazima ufanye jambo
Tukifanya haya haya kwa namna hii hii na njia zile zile tuakuwa tumekidhi definition ya Insanity kwa 100%

Tutengeneza Katiba itakayozuia madhara na kutupa mweleko. Hilo ndilo jibu.
Shida ya katiba ya Tanzania ni mamlaka ya raisi.

Huko serikalini wana utaratibu mzuri wa succession planning za watu wa kushika wizara but their ascendency ends at katika nafasi ya ukurugenzi.

Makatibu wakuu anachagua raisi, nafasi za mikoa na wilaya karibu zote anachagua raisi (wakati hizo ni meritocracy positions), kutakuwa na shughuli hapo ya utendaji makini kama raisi anajaza makada kwenye hizo na nafasi.

Bado uelewa mdogo wa wapiga ukifanya mzaha watakuletea darasa la saba kisa popular tu huko wilayani bunge lijaze watu aina ya kibajaji, babu Tale na msukuma.

Kuna vitu tunavyolilia bado ndio CCM ni shetani. Ila ni zimwi likujualo.

Siku ukiona watu wanapambana kupunguza madaraka ya raisi kwenye katiba ndio ntaamini watanzania sasa wameamka hapo ndio kwenye shida halisi ya katiba.
 
Hao wapiga kura wenyewe ukiwaachia wachague mtu kwa ridhaa yao usishangae wakakuletea Harmonize, jimbo la Kawe badala ya Pascal. Kama una kumbukumbu nzuri ‘Irene Uwoya’ alishinda kwa haki kabisa viti maalum (Tabora nadhani kama sijakosea) 2015 akakatwa tu jina baadae na CCM. Chezea akili za watanzania wewe.
Nimecheka ila huu ndio ukweli, niliwahi kusema humu, Kwa mambo makubwa anayoyafanya mtoto wa Tandale, kama wananchi wakimuhitaji tuu, Kubenea mpishe!.
Kawe - Harmo
Ubungo - Mondi
Bagamoyo-Kiba
Ilala- Dully
Temeke- Nature
Mbagala- Mkubwa Fella
Etc.
Mimi nilipotupa karata yangu Kawe, nilikuwa na genuine agenda ya kusaidia hili Bunge kujipendekeza na kujikombakomba kwa serikali lisimame imara liisimamie serikali
View: https://youtu.be/Qr6j25jFGyI?feature=shared
Kumbe Chama Chakavu Mbogamboga hakipendi watu critical!, wanatakiwa "Ndio Mzee" siku hizi "Ndio Madam...", hivyo watu kama Luhaga Mpina, 2025 ni end of the Road kwa CCM, lakini tungekuwa na independent candidates, Mpina akisimama na Kizimkazi..., by saa 4:00 asubuhi, Kizimkazi tupa kule!, Chama Chakavu chali!.
P
 
Shida ya katiba ya Tanzania ni mamlaka ya raisi.

Huko serikalini wana utaratibu mzuri wa succession planning za watu wa kushika wizara but their ascendency ends at katika nafasi ya ukurugenzi.

Makatibu wakuu anachagua raisi, nafasi za mikoa na wilaya karibu zote anachagua raisi (wakati hizo ni meritocracy positions), kutakuwa na shughuli hapo ya utendaji makini kama raisi anajaza makada kwenye hizo na nafasi.

Bado uelewa mdogo wa wapiga ukifanya mzaha watakuletea darasa la saba kisa popular tu huko wilayani bunge lijaze watu aina ya kibajaji, babu Tale na msukuma.

Kuna vitu tunavyolilia bado ndio CCM ni shetani. Ila ni zimwi likujualo.

Siku ukiona watu wanapambana kupunguza madaraka ya raisi kwenye katiba ndio ntaamini watanzania sasa wameamka hapo ndio kwenye shida halisi ya katiba.
Kwa taarifa yako kwenye rasimu ya Warioba Kuna vipengele vya kupunguza madaraka ya rais, lakini wingi mbovu wa ccm ulitumika kuhujumu matakwa halali ya wananchi. Kila mtu anajua madaraka ya rais yaliyojuu ya Sheria, ndio chanzo halisi Cha udhaifu wa mifumo yetu ya kiutawala.
 
Nimecheka ila huu ndio ukweli, niliwahi kusema humu, Kwa mambo makubwa anayoyafanya mtoto wa Tandale, kama wananchi wakimuhitaji tuu, Kubenea mpishe!.
Kawe - Harmo
Ubungo - Mondi
Bagamoyo-Kiba
Ilala- Dully
Temeke- Nature
Mbagala- Mkubwa Fella
Etc.
Mimi nilipotupa karata yangu Kawe, nilikuwa na genuine agenda ya kusaidia hili Bunge kujipendekeza na kujikombakomba kwa serikali lisimame imara liisimamie serikali
View: https://youtu.be/Qr6j25jFGyI?feature=shared
Kumbe Chama Chakavu Mbogamboga hakipendi watu critical!, wanatakiwa "Ndio Mzee" siku hizi "Ndio Madam...", hivyo watu kama Luhaga Mpina, 2025 ni end of the Road kwa CCM, lakini tungekuwa na independent candidates, Mpina akisimama na Kizimkazi..., by saa 4:00 asubuhi, Kizimkazi tupa kule!, Chama Chakavu chali!.
P

Kwa katiba hii hata uweke mgombea wa aina gani, ccm itatangazwa washindi bila kujali box la kura linasema nini. Ni aidha machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi ili kupata mabadiliko ya kweli ya kiutawala hapa nchini. Lakini hizo 4R ni utapeli kama utapeli mwingine.
 
Kwa katiba hii hata uweke mgombea wa aina gani, ccm itatangazwa washindi bila kujali box la kura linasema nini. Ni aidha machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi ili kupata mabadiliko ya kweli ya kiutawala hapa nchini. Lakini hizo 4R ni utapeli kama utapeli mwingine.
Kwa Katiba hii ni mjinga na mpumbavu tu atakayeshindwa uchaguzi wa aina yoyote
Mkapa alishindwa waka-force uchaguzi siku ya pili na kuvuruga kila kitu
JK alithibitisha hilo kule Zanzibar kwa kumtumia Jecha
Magufuli kafunua kila kitu hakuwa na mwamana na mtu. Yeye aliisigina na kuitupilia mbali

TLS kupitia Dr Nshalla ilieleza wazi Rais SSH alipaswa kuvunja Baraza la Mawaziri kama Katiba inavyoelekeza
Hakuna kilichotokea kwasababu Katiba ya 1977 inaumwa haiwezi kujitetea . Inapumulia mashine za Wahisani

Watu wote wakiwemo wa CCM wanasema Katiba mpya inahitajika. Ukiona hawasemi ni wanufaika wa mfumo kama Makamu Wastaafu, Mawaziri wakuu wastaafu, Maspika wastaafu n.k. wanaogopa mafao yao au dhambi zao kuanikwa

Waliohujumu mchakato ni CCM na walifanya hivyo kwa msingi ule ule wa kwamba bila katiba ya 1977 hali ni mbaya.

Ndiyo maana tunajiuliza hivi lifikiri nini kwenda kwenye kuasisi maridhiano maana alipotoka Ikulu yeye ndiye alikuwa msemaji, siyo CCM.

Hakuna namna tunaweza ku justify fyongo ya Mbowe!

Mbowe amezotesha sana harakati zilizokuwa na moto kabla na hata akiwa Magereza. Baada ya kukimbilia Ikulu akawa submissive na kugeuzwa kauzu, sasa ameuzwa tena kwa bei ya kutupa.
 
Kwa Katiba hii ni mjinga na mpumbavu tu atakayeshindwa uchaguzi wa aina yoyote
Mkapa alishindwa waka-force uchaguzi siku ya pili na kuvuruga kila kitu
JK alithibitisha hilo kule Zanzibar kwa kumtumia Jecha
Magufuli kafunua kila kitu hakuwa na mwamana na mtu. Yeye aliisigina na kuitupilia mbali

TLS kupitia Dr Nshalla ilieleza wazi Rais SSH alipaswa kuvunja Baraza la Mawaziri kama Katiba inavyoelekeza
Hakuna kilichotokea kwasababu Katiba ya 1977 inaumwa haiwezi kujitetea . Inapumulia mashine za Wahisani

Watu wote wakiwemo wa CCM wanasema Katiba mpya inahitajika. Ukiona hawasemi ni wanufaika wa mfumo kama Makamu Wastaafu, Mawaziri wakuu wastaafu, Maspika wastaafu n.k. wanaogopa mafao yao au dhambi zao kuanikwa

Waliohujumu mchakato ni CCM na walifanya hivyo kwa msingi ule ule wa kwamba bila katiba ya 1977 hali ni mbaya.

Ndiyo maana tunajiuliza hivi lifikiri nini kwenda kwenye kuasisi maridhiano maana alipotoka Ikulu yeye ndiye alikuwa msemaji, siyo CCM.

Hakuna namna tunaweza ku justify fyongo ya Mbowe!

Mbowe amezotesha sana harakati zilizokuwa na moto kabla na hata akiwa Magereza. Baada ya kukimbilia Ikulu akawa submissive na kugeuzwa kauzu, sasa ameuzwa tena kwa bei ya kutupa.
You are absolutely right!
 
Kwa Katiba hii ni mjinga na mpumbavu tu atakayeshindwa uchaguzi wa aina yoyote
Mkapa alishindwa waka-force uchaguzi siku ya pili na kuvuruga kila kitu
JK alithibitisha hilo kule Zanzibar kwa kumtumia Jecha
Magufuli kafunua kila kitu hakuwa na mwamana na mtu. Yeye aliisigina na kuitupilia mbali

TLS kupitia Dr Nshalla ilieleza wazi Rais SSH alipaswa kuvunja Baraza la Mawaziri kama Katiba inavyoelekeza
Hakuna kilichotokea kwasababu Katiba ya 1977 inaumwa haiwezi kujitetea . Inapumulia mashine za Wahisani

Watu wote wakiwemo wa CCM wanasema Katiba mpya inahitajika. Ukiona hawasemi ni wanufaika wa mfumo kama Makamu Wastaafu, Mawaziri wakuu wastaafu, Maspika wastaafu n.k. wanaogopa mafao yao au dhambi zao kuanikwa

Waliohujumu mchakato ni CCM na walifanya hivyo kwa msingi ule ule wa kwamba bila katiba ya 1977 hali ni mbaya.

Ndiyo maana tunajiuliza hivi lifikiri nini kwenda kwenye kuasisi maridhiano maana alipotoka Ikulu yeye ndiye alikuwa msemaji, siyo CCM.

Hakuna namna tunaweza ku justify fyongo ya Mbowe!

Mbowe amezotesha sana harakati zilizokuwa na moto kabla na hata akiwa Magereza. Baada ya kukimbilia Ikulu akawa submissive na kugeuzwa kauzu, sasa ameuzwa tena kwa bei ya kutupa.
Upo sahihi hii katiba inanufaisha koo chache sn tena zilezile miaka yote
 
Nimecheka ila huu ndio ukweli, niliwahi kusema humu, Kwa mambo makubwa anayoyafanya mtoto wa Tandale, kama wananchi wakimuhitaji tuu, Kubenea mpishe!.
Kawe - Harmo
Ubungo - Mondi
Bagamoyo-Kiba
Ilala- Dully
Temeke- Nature
Mbagala- Mkubwa Fella
Etc.
Mimi nilipotupa karata yangu Kawe, nilikuwa na genuine agenda ya kusaidia hili Bunge kujipendekeza na kujikombakomba kwa serikali lisimame imara liisimamie serikali
View: https://youtu.be/Qr6j25jFGyI?feature=shared
Kumbe Chama Chakavu Mbogamboga hakipendi watu critical!, wanatakiwa "Ndio Mzee" siku hizi "Ndio Madam...", hivyo watu kama Luhaga Mpina, 2025 ni end of the Road kwa CCM, lakini tungekuwa na independent candidates, Mpina akisimama na Kizimkazi..., by saa 4:00 asubuhi, Kizimkazi tupa kule!, Chama Chakavu chali!.
P

Mayala alikuwa mayara kabla ya magufuli kumtisha baada kumuuliza swali gum
 
Mkuu Pascal Mayalla Baadhi ya watumishi kwa nafasi zao wana Fanya kiongozi mkuu wa nchi kuonekana hatendi haki, dawa yao wakithibitika watumbuliwe, washtakiwe na waadhibiwe... Kuna sekta zinanuka kwa kupindisha haki, Siku watu wakichoka itakuwa too late, Mungu AMJALIE kiongozi wetu mkuu wa nchi maono haya ya kuchukua hatua atufikishe pazuri, Taifa letu litainuliwa kwa haki kutamalaki
 
Wanabodi,
Nimemsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika bandiko hili Mbowe: Najutia kumuamini Rais Samia
View: https://youtu.be/Xjao83Ghy04?si=qSQTeSxIx_8B5a-L

Kiukweli kabisa mimi nimemwelewa sana Mwenyekiti Freeman Mbowe hapa, na hata ningekuwa mimi!, I would have felt the same, but not done the same, I would have done something worthwhile but not maandamano!.

Namuomba sana Mhe. Mbowe, please usipoteze imani na Rais Samia!, kwasababu Rais Samia ninaye mfahamu mimi, sio mtu mwenye ndimi mbili!, namfahamu fika Rais Samia kwa kauli na matendo, yeye kama yeye, hawezi kabisa kusema hivi haiafu akaja kutenda vile!. She is straightforward person and firm, tena usikute yeye kwa intellect yake, japo ndie aliyeongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichopitisha miswada hiyo lazima ukakuta yeye wala hajui kuwa mswada sheria ya uchaguzi una ubatili ulioshabatilishwa na Mahakama Kuu kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Japo miswada yote ya serikali, lazima ipite Baraza la Mawaziri ijadiliwe, wakati mswada huu wa sheria ya uchaguzi unajadiliwa, hakuna mtu yeyote mule akiwemo AG, aliyemwambia ukweli Rais Samia kuwa muswada huo una ubatili!, hivyo mtu ambaye sii mwanasheria hawezi kuujua ubatili wa kisheria kwenye vipengele vya miswada mpaka aelezwe na wanasheria!. Hivyo kwa intellect ya Rais Samia, kumlaumu kwa kutoyajua haya ni kumuonea bure!.

Kwa bahati nzuri, mimi ni miongoni wa watu wanaomfahamu Rais Samia sio tuu kwa kauli na matendo, bali kwa kufanya nae mahojiano ya ana kwa ana mara mbili. Mara ya kwanza akiwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais na mara ya pili akiwa Makamo Mwenyekiti wa Bunge la Katiba.

Wakati akiwa VP nilimfanyia uchambuzi mara mbili
Mara ya kwanza ni hapa Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” na mara ya pili ni hapa "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Na baada ya kuwa Rais wa JMT, pia nilimfanyia uchambuzi mara mbili Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila... na Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake

Hivyo kwa kauli na matendo, ya Rais Samia, hiki kinachofanyika kwenye miswada hii, naamini kabisa sio yeye, bali waonayafanya haya ni wanasheria, waojua fika ubatili wa muswada huu, lakini wametake advantage ya intellect yake Rais Samia kumsokomezea ubatili tena, ikapelekwa Bungeni, itapitishwa, na kutungwa sheria batili, kisha Rais Samia ataisaini kuanza kutumika, kwa excuse kuwa batili hiyo kwa vile iko kwenye katiba yetu!, then ni batili halali!. Kisheria, batili ni batili, hata ikichomekewa kwenye katiba kiubatili, bado inabaki ni batili, na badala ya kuihalalisha haramu kwa kuichomekea kwenye katiba, haramu hiyo inaiharimisha katiba na kuibatilisha katiba kwa kuifanya kuwa na unajisi!.

Mimi naamini kabisa kwa haya yanayofanyika kuhusu Muswada huu, huyu sio Rais Samia ninaye mfahamu mimi, na naamini kabisa yeye wala hajui kuwa muswada wa sheria ya uchaguzi ni muswada wenye ubatili unaokiuka ibara ya 11 ya katiba ya JMT na kuathiri ibara ya 5, ibara ya 21, ibara ya 39 na ibara ya 67.

Kwa vile yeye sio mwanasheria, hajui kuwa katiba yetu ina ubatili, uliochomekewa kiubatili na awamu zilizopita na Bunge lilolopita unakokwenda kinyume cha Ibara ya 5, ibara 21, ibara ya 39 na ibara ya 67 za Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977.

Nimesema ninaamini kabisa Rais Samia hayajui haya na hapa niliandika Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!.

Hivyo kitendo cha Freeman Mbowe Kutomwamini Rais Samia, ni kumuonea bure, niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda, ila kama Freeman Mbowe anaona muda aliompa kwenye vikao vya maridhiano unatosha, sasa ndio aanzishe maandamano, huku sio kumtendea haki, namshauri Mbowe, aichukulie miswada hii kama fursa, afanye uhamasishaji na uelimishaji umma wa kufa mtu kwa Watanzania kwa ku invest in people, grassroot people kuhusu haki zao, ili Watanzania kwa mamilioni wajitokeze wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, na 2025 wajitokeze kwa wingi wawapumzishe watu kwa amani kupitia sanduku la kura na sii kupitia maandamano!.

Bahati nzuri sana na mimi nimehudhuria vikao vyote vitatu vya kukusanya maoni ya wadau na mara zote 3 nilipata bahati ya kuchangia.

Mchango wangu kikao cha kwanza ni huu
View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=9dtqZ-1-ZkzWo69t

Mkutano wa pili maoni yangu ni haya
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=98HTkiMGNsmlLBGz

Na Mkutano wa tatu wa Kamati ya Bunge pia nilitoa maoni.
Nimeandika makala zifutazo kuhusu sheria hizi

Mbowe kutangaza maandamano nimetoa ushauri issues za kisiasa zitatuliwe kisiasa, halafu issues za kisheria zitatuliwe kisheria, utungaji miswada ni issue ya kisheria, baada ya watu kutoa maoni yetu, Bunge likitutungia sheria batili, this time around, we'll have to do something!.

Tangu Rais Samia ameingia madarakani ile March 21, 2021, mimi tuu mwenyewe, nimelisemea jambo hili la katiba, sheria na haki zaidi ya mara 100!,

Mhe. Freeman, rudisha moyo, applies zile 4R za Rais Samia tulisongeshe mbele kwa mbele.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

Paskal umemdogosha Mhe.Rais.Kwamba yeye hajui chochote kinachoendelea.
 
Baada ya kusikiliza michango yako na ibara za katiba unazodai zimepokwa haki na sheria ya uchaguzi kwa wagombea huru sio lazima wawe na chama.

View attachment 2871056
Ibara ya 5 unayo refer aina literal ambiguity zozote, hakuna mahala inaongelea wagombea isipokuwa haki za kupiga kura tu. Moreover imeacha nafasi ya hizo haki hizo kanuni zake kutungiwa sheria na bunge.

Kwa hivyo hata kama ibara ya 5 ingekuwa inaongelea haki za kugombea (kitu ambacho sio sahihi kama unavyodai) bado katiba imetaja tu mtu huyo awe na miaka 18, lakini bunge limepewa rungu la kutunga kanuni za ushiriki wake likisema mtu ili agombee lazima apitie chama cha siasa hakuna katiba iliyovunjwa hapo.

View attachment 2871058

Ibara ya 21 inaongelea uhuru wa kushiriki shughuli za umma, either kwa kuchaguliwa na wapiga kura, kuteuliwa au kwa ku support mtu (hapo kwenye ku support mtu ndio ibara ya 5 inapoingia) lakini hii ibara aisemi haki ya kuwa na mgombea independent. Imeenda mbele zaidi hata hizo haki zinazotelewa kwenye ibara hazipo juu ya ibara 5, 39 na 67.

View attachment 2871059

Ibara ya 67 ipo wazi ili ugombe nafasi ya ubunge lazima uwe na miaka 21 na kupitia chama cha siasa, hakuna mgombea huru na wala hii ibara aijikanganyi na ibara nyingine yeyote.
Ibara ya 5 inaelezea haki za kupiga kura
Ibara ya 21 inaelezea haki ya kushiriki shughuli za umma bila ya kuathiri ibara 5, 39 na 67 (ambayo inaelezea sifa za mgombea).

Sasa basi hypothetically ingekuwa kweli ibara ya 5 imeelezea haki za kugombea (kitu ambacho sio kweli) wewe kusema waandishi wakatiba walikusudia nini ili kuonyesha ambiguous ndani ya katiba mahakamani ungeombwa upeleke ushahidi wa hansards za michango ya bunge kuonyesha kweli lengo la ibara ya 5 lilikuwa kutoa haki kwa wagombea huru.

Uwezi kutoa tu kichwani kwako kwa sababu umesoma sheria na kudhani hiyo ndio sheria.

Haya ndio mambo Magufuli hakutaka ya kuchekeana na upinzani wao mradi wapinge tu, na kupotezeana muda na hela kwenye kujenga nchi. Hata ukisikiliza hizo za CDM, ACT na wengineo for the most part ni nonsense tupu, ambazo Magufuli hakuwa na muda wa ku-entertain.

Ukiwasikiliza wanasheria wa Tanzania hakuna kesi ya kushinda ulaya, labda yule jamaa au sijui taasisi iliyokuwa na website ya ‘Jaba-Shadrack’ waliobaki hamna kitu.
Hizi ndizo hoja ambazo watu waelewa tunaweza kusoma na kuona jinsi gani Tanzania amelindwa na Wazalendo wa kweli walioipokea nchi toka kwa " wazungu"...mbegu ile ndio itaiweka nchi hii salama kwa miaka mingi .Vyama vya siasa( vya hapa kwetu) ni mchezo mzuri na mbinu kuu tuliitumia wakati ule wa shinikizo toka kwa watawalq wa Dunia.Tembea duniani,sikiliza wanadamu wanavyopambana kuielewa Tanzania yetu ,ndipo utawaheshimu Viongozi na wazalendo wa kweli waliotufikisha hapa!
Tutafanikiwa kucheza na mambo mengine mengi lkn issue ya hili Fumbo ( lenye kheri)...hakuna mzungu wala mtanzania wa kulibadili..
 
Back
Top Bottom