Nimenasa kwenye ulimbo wa ndoa natamani kutoka nashindwa

Wadada wengi sikuhizi wanaolewa kwasababu ya kukata tamaa ya wanaowapenda, kuto kua tayari kuwaoa eiza kwa sababu za kiuchumi au zinginezo.
Wanaamua kuolewa na wasio wapenda ili kutimiza ndoto zao za kuolewa, au shinikizo la wazazi.

Pole sana mkuu,kama unauhakika upande wako hakuna tatizo basi Bwana wake Wa zamani ameshapata Pesa.
Usipo muacha tarajia lolote

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Pole son.

Ongea na mshenga japo najuwa mliishaongea pia ikashindikana.

Wazazi wako pengine wameshauri imeshindikana.

Usimwachie nyumba aweza pata majanga wakasema wewe ndo umemuua ukaishia jela.

Mchukueni umrudishe kwa wazazi wake. Kawakabizi mikononi, pengine atajutia aombe msamaha. Utulie kidogo kabla hujaingia mahusiano mengine.

Mtoto mpe mama yako amlee usimwachie mtoto.
 
Ukitaka ufaidi maisha ya ndoa wewe jali hii principles" mlioao mjihesabu kama hamjaoa"

Ukifunga Kwa maombi usiombe vibaya wewe muombe Ombi moja Tu Mungu akujalie akili njema baaas

Hesabu ni wako wa karibu unapokuwa naye tu

Utakufa mweenzio ataewa na maisha mapya yataanza
 
Kumbuka kabla ya kumuoa hukuwa peke yako mpiga sound, na hukuwashinnda wapiga sound wengine lkn wewe ulimvuta hisia zake, sasa hisia zake zikibadirika anawakumbuka wale wengine wapiga sound wenzio huenda akaanza kuchakatwa, na wengine

Isipokuwa omba tu apate achakata mwenye huruma na ndoa yako ndiyo ataanza kubadirika na utaiona ndoa yako kana kuwa ndo imeeanza upya , lkn atakuwa na makasiriko makali ya kipindi tu hasa anapotaka kwendea mchakato akirudi fresh Ila kuumwa ,na kuchoka ndo itakuwa siraha yake
 
Mkuu pole Sana,binafsi napenda Sana amani ya moyo kuliko kitu chochote,hivyo kivyovyote fanya ufanyalo kuitafuta amani ya moyo,sasa juu ya swala lako japo sijajua ni ndoa ya Imani gani ,Ila Kama ndo hizi za Hadi kifo kiwatenganishe Basi umekwisha ikiwa utataka kufuata kauli za Hadi kifo kiwatenganishe.

Binafsi nimefunga hizo ndoa Ila kamwe siwezi kuvumilia upuuzi wa namna hiyo,maumivu ya moyo Ni hatari Sana ,Yanaua,amini utakufa ikiwa utaendekeza hiyo Hali,pambana kuitafuta amani ya moyo ,maisha ya duniani ni mafupi Sana yakupasa uyaishi kwa amani na furaha.

Nahili hata mke wangu analijua,nashukuru hatujawahi nuniana zaidi ya Lisaa limoja,na ikiwa yeye ndo atanununa kauli yangu huwa ni moja tu,nenda kwenu kapumzike ,ukipata amani ya moyo ndo urudi.

Ndoa za kununiana ni uchuro mtupu,matokeo yake kuombeana vifo ili mwenza mmoja apate amani,mkuu itafute amani ya moyo kwa gharama yoyote,usiache mtu awaye aondoe furaha ya moyo wako
 
Pole Sana mkuu ila Mimi naona endelea kumuombea maana hajioni yawezekana ni pepo limemvamia
 
Mambo mambo eee the babies are all around me,mambo mambo eee Dancin all night long..[emoji445][emoji446][emoji450][emoji450]
View attachment 1954154 [emoji23][emoji23]
[emoji13] yani wewe...! Hako ka wimbo umenikumbusha enzi za ujana wangu.

Mshauri mwenzio sasa [emoji18]
 
Mkuu BAK piga kile kibao cha Lucky dube..Its not easy.
Nitapenda mtoa mada asikilize kwa umakini.
 
We jamaa mwaka jana ulikua hujaoa. Sasa unasema ulioa 2019.

Tunalaumu wanawake bure kumbe we umeleta chai.

 
Reactions: Cyb
[emoji23][emoji23]aende wapi???

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
[emoji13] yani wewe...! Hako ka wimbo umenikumbusha enzi za ujana wangu.

Mshauri mwenzio sasa [emoji18]
Ha ha! Kwani sahivi umezeeka..?

Ushauri ndo huo wimbo..πŸ˜‚
 
Positive vibes...huu ushauri unamfaa sana .Mungu ampe amani tu muhusika ili aone ushindi ulioko mbele yake

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mke wako ni kabila gani mkuu?
 
Maaah maeeee...

Mkiambiwa MSIOE Huwa HAMSIKIII.

Tomb* halafu pita hivi uone ni nani atakuumiza.

Mungu awe nawe.

#YNWA
Ila Ww Liverpool mimi nakukubali sana mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Ila nkuambie kitu?? Pamoja na ujanja wako woteeee.. utaingia mahali siku moja kimapenzi.. na utashindwa kutoka. Tena unaweza umizwa kweli kweli. Kumbuka Kila shetani na mbuyu wake mazee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mdogo wangu,kimbia!hatuoi Ili tuwape furaha wenzi wetu,tunaoa Ili mahitaji yetu yatimie,kama mahitaji yetu hayapo,suruhisho ni kuondoka,
Hukuumbwa umpe mtu furaha,furaha yako ni jukumu lako peke yako,ur responsible for ur own happiness,
Huyo si mwanamke pekee,kama kumuacha unaona ugumu,ondoka hata kwa muda,
Kwanza iambie akili yako kwamba sio lazima huyo bibie akupende,akuheshimu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…