Nimenuniwa na mpenzi wangu

Ila jamani 🤣🤣🤣
Jambo unalifanya kwa siri likiharibika unakuja hadharani kuomba upewe pole, aisee miss_Mariaah pole sana. Keep moving on ishatokea hiyo and you won't change anything.
 
Ila jamani 🤣🤣🤣
Jambo unalifanya kwa siri likiharibika unakuja hadharani kuomba upewe pole, aisee miss_Mariaah pole sana. Keep moving on ishatokea hiyo and you won't change anything.
Kwasababu hatujuani humu so mtu anaandika chochote tu 😆😆😆 ila whatsapp pagumu maana tunayo hadi namba yako.
 
Mkuu ,hizi stress za mapenzi , hazinaga kuficha , nilishafia hatua ya kumweleza hadi mama yangu mzazi akaniombee msamaha kipindi hicho , akanipiga na mwiko wa ugali kichwani😁😁
Ila ni kweli mkuu, mapenzi huwa yanahusisha emotional sana so yeyote anaekujia akilini ambae unahisi labda anaweza kukusaidia unamwagia tu yanayokusibu😂😂😂
 
Tumpe pole tu maana tutafanyaje sasa? Au kuna msela anataka jimbo? Au ni trick tu huyu mrembo kutuambia yupo available?🤣🤣🤣
Kwamba ni tangazo lilikoandikwa kitasha sio? Aseme direct sasa tusemezane maana tupo wakumingo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…