Nimenunua pikipiki sijui kuendesha vip hawa vijana hawatanipiga hesabu za siku?

Nimenunua pikipiki sijui kuendesha vip hawa vijana hawatanipiga hesabu za siku?

Kuna kijana wangu mmoja alinunua pikipiki akasema bora akomae mwenyewe kulipo mpa mtu amlete hesabu,kuingia tu roaddd huyooooo alipigwa mzinga mmoja alipona ila mpaka leo mwili wake hauko sawa

Ova
 
Mpe mtu fanyeni makubaliano yan mkataba
Awe anakupa elf 10 kilasiku Kwa muda wa miez 12 pia service mafuta hivo ni juu yake
Mnaandikishiana mkataba kuwa unamkabidhi chombo kikipotea atawajibika pia na asipofuata mashart ni haliyako kuvunja mkataba hapo mkabidhi sasa

Lkn jitahid kutafuta kijana muaminifu na hakikisha ni yule anakuheshimu na kukuogopa ukimpa rafiki sijui shemeji imekula kwako
 
Kama bei gani?
Sijui eneo ambalo upo matajiri wanapelekewa sh ngapi.....

Nenda kijiwe cha boda hapo kaa nao piga story, uliza uliza unachotaka kujua na hesabu wanapeleka sh ngapi utajua.

Ni kama haujui chochote kuhusu hiyo biashara, nakushauri jipe siku chache pita pita vijiweni fanya risechi upate taarifa za kutosha.
 
Hata kama huwezi kuendesha ndio ujaze Oil ful tank?

Unatakiwa kujaza Fuel full tank oil unaweka lita moja tu baada ya muda kadhaa kutokana na mizunguko yako...
Kwa piki piki ili usipate tabu
Mpe mtu mkataba kila siku uletewe 10
Hatari sana. Labda ni 2 stroke engine
 
Kuna kijana wangu mmoja alinunua pikipiki akasema bora akomae mwenyewe kulipo mpa mtu amlete hesabu,kuingia tu roaddd huyooooo alipigwa mzinga mmoja alipona ila mpaka leo mwili wake hauko sawa

Ova
Duh poleni wana familia
 
Mpe kijana mkataba awe anakuletea hesabu kila siku 10000 zamani mkataba ilikuwa kwa mwaka lakini nasikia sasa hivi pikipiki zimepanda bei ( sijui kama kweli) kwahiyo mkataba miezi 14. Ukimpa mkataba kujaza mafuta na service ni juu yake kwako analeta hesabu tuu ila usiache kumfwatilia kwa karibu maana hakuna watu wasumbufu kama vijana wa bodaboda kuleta hesabu.

Jitahidi kumfwatilia na kumkumbusha kufanya service. Mwisho pikipiki yako ni aina gani?? Na umenunua shilingi ngapi ili ujue mkataba wa muda gani utakufaa sababu nasikia mikoani hesabu ni 7000 kwa siku tofauti na Dar hesabu ni 10000 - 13000
 
Mpe mtu fanyeni makubaliano yan mkataba
Awe anakupa elf 10 kilasiku Kwa muda wa miez 12 pia service mafuta hivo ni juu yake
Mnaandikishiana mkataba kuwa unamkabidhi chombo kikipotea atawajibika pia na asipofuata mashart ni haliyako kuvunja mkataba hapo mkabidhi sasa

Lkn jitahid kutafuta kijana muaminifu na hakikisha ni yule anakuheshimu na kukuogopa ukimpa rafiki sijui shemeji imekula kwako
Shukurani walau napata mwangaza
 
Kuna kijana wangu mmoja alinunua pikipiki akasema bora akomae mwenyewe kulipo mpa mtu amlete hesabu,kuingia tu roaddd huyooooo alipigwa mzinga mmoja alipona ila mpaka leo mwili wake hauko sawa

Ova
Hizi ni stori za walioshindwa.

Kumbuka Sauli kafia kwenye range tena akiwa na mtoto wake ambaye alipona.

Majanga ni anywhere.
 
Mpe kijana mkataba awe anakuletea hesabu kila siku 10000 zamani mkataba ilikuwa kwa mwaka lakini nasikia sasa hivi pikipiki zimepanda bei ( sijui kama kweli) kwahiyo mkataba miezi 14. Ukimpa mkataba kujaza mafuta na service ni juu yake kwako analeta hesabu tuu ila usiache kumfwatilia kwa karibu maana hakuna watu wasumbufu kama vijana wa bodaboda kuleta hesabu.

Jitahidi kumfwatilia na kumkumbusha kufanya service. Mwisho pikipiki yako ni aina gani?? Na umenunua shilingi ngapi ili ujue mkataba wa muda gani utakufaa sababu nasikia mikoani hesabu ni 7000 kwa siku tofauti na Dar hesabu ni 10000 - 13000
Nipo mkoan boss
 
Nipo mkoan boss
Angalia thamani ya kununulia chombo chako je itakulipa kwa mkataba wa mwaka. All the best mkuu ukiweza kupata dereva mtu mzima kidogo ni angalau kuliko vijana wanyoa viduku.
Hata wao ni wasumbufu ila wana unafuu cha msingi ni kuwa karibu na kufwatilia mienendo yake.
 
Angalia thamani ya kununulia chombo chako je itakulipa kwa mkataba wa mwaka. All the best mkuu ukiweza kupata dereva mtu mzima kidogo ni angalau kuliko vijana wanyoa viduku.
Hata wao ni wasumbufu ila wana unafuu cha msingi ni kuwa karibu na kufwatilia mienendo yake.
Shukurani mkuu
 
Back
Top Bottom