Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

Tatizo watoa comment hamjamuelewa mtoa mada shida sio mbususu eh [emoji1487] alitaka kuongea na mke Kawa bubu Tena mda mrefu asa amekwazika nyie mmekazana mbususu[emoji81][emoji81][emoji81][emoji1487]
Hahaha! Wamekazana kuhudu kipochi manyoya tu! Shida yangu nikufanya naye mazunguzo, kufahamu ni kitu gani kinamsumbua.
 
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Rudi tu CHAMA bdo kinakuhtaji..

ludi kwake na zawad mkuu umskilizie kama atabadiri upepo ndan..

ila maelezo yako nikiyaxoma nahs hkujipanga kisaikolojia na kiuchumi kuish na kiumbe ke. hawez kuzingua kila k2 anapata.

tafta hela boss hapo utachemka kama aspokuvumilia hari yako
 
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Chapa nyuchi hio wewe zazwa, unakuja kulialia humu nini. Mtomber hadi akiogope kitanda tuone atanunia wapi.
 
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Ebu nipe namba zake anieleze ana shida gan
 
Mkuu kila mtu mwenye ndoa,kuna namna anavumilia maudhi ndani ya nyumba, hata hivyo maisha ya kwako binafsi,wewe ndiyo unajuwa utulivu wa akili na amani ndani yako inakuwaje,wengine wote tutabashiri kidogo tu,Hizo ni dalili za mapema zinazoashiria mbele hakuendeki,usisubiri upoteze muda wako boss,tunaishi mara moja tu.
 
Mkuu Nadhani hukuwa tayari kwa ndoa, ilitakiwa ule ule kwanza life! Umeoa kabla ya wakati wako!
Yaan ununiwe tu tayari unajuta? Polee
Hajakomaa bado, siku alianza kujipenda kwanza yy haya mengine atayapuuzia hayatamuumiza moyo
 
Kumpima mtu mambo yafuatayo

Afya ya Akili
Afya ya mwili

Ni muhimu watu wengi wana mental disorder , mood swing n.k

Unaweza fatilia kujua Afya ya akili baada ya hapo waweza kujua unaanzia wapi
 
Kumpima mtu mambo yafuatayo

Afya ya Akili
Afya ya mwili

Ni muhimu watu wengi wana mental disorder , mood swing n.k

Unaweza fatilia kujua Afya ya akili baada ya hapo waweza kujua unaanzia wapi
Huyu wangu itakuwa anasumbuliwa na afya ya akili na mood swing! Nimejaribu kuongea nae ndo kwanza kakimbia na chumba chenyewe.
 
Back
Top Bottom