Nimeolewa ama nimeoa? Naombeni ushauri

Nimeolewa ama nimeoa? Naombeni ushauri

Wewe umeshaamua tayari,ila tatizo lenu ni pesa.Bila shaka uliolewa na mwanamume ambaye hukumpenda kwa dhati,pengine ulipenda kazi yake ama kipato chake.Wanawake wa sampuli hii wanavimelea vya ukahaba ndani yao.wanaweza kufanya chochote mradi wapate pesa.Yupo radhi hata kutoa rushwa ya ngono kwa bosi ili ampatie Fursa Fulani ya kimaisha.Kwenye haya maisha Mungu ndiye hupanga hatma ya Kila jambo,ishi kwa kufanya wema hufahamu ni lini pengine utapata ajali na kupoteza uwezo wako wa kufanya kazi.Fikiria kama ni wewe ndio ungekuwa unafanyiwa hivyo na mwanamume wako?siku akifanikiwa utarudi? Au akijiua unajisikiaje!,nakushauri utafute njia halali za kutafuta kipato ,hata kama utaomba talaka bado utaolewa na kuachika kwa sababu kama hizo
Sasa mkuu mtu wangu aliniambia ili nmuoe akubali kumpa mtaji kwanza? Ndio aondoke kwao anasema yeye Ana degree yake hawezi kuwa mama ya wa nyumbani moyo wangu ulisita
 
Mnyime binadamu kila unachoweza ila chakula sio kitu cha kumnyima mtu

Si mlikubaliana kwenye shida na raha au ulifikiria shida wanazo sema huwa ni kula Kempisky kila siku na vacation Maldives, Santorini, Hawaii ,Bali,kila mwezi???

Fikiria wewe ndio ungekuwa unafanyiwa unavyomfanyia
 
Sema unamcheati nyuma ya pazia na hukumu umetoa tayari .kwenye ulimwengu huu hakuna waoaji,wanawake wanahonga sana wanaume Tena vijana wadogo,wewe kazi yako ishakwia tiyari(ushakuwa shangazi).hata ndugu zangu wa karibu sioni wakioa wanasema hawataki matatizo !
 
Habarini jamvini?

Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.

Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,

Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.

Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.

Naombeni ushauri.
Imagine angekuwa kapigwa na stroke 🥴🥴
 
Huyo anahitaji mentorship shirikiana na ndugu zake wa karbu,


Ungekuw wew umeach kaz ungeish kwa aman tuu
 
Yap mimi nipishapitia situations kama hizo! nilikuwaga nafanya kazi zangu vizuri tu gafla mambo yakajaga kubadilika 2022-2023... (2 years).. ilifikia hatua nikifanya kazi naacha mwenyewe sitaki kazi, Sitaki kwenda kazini, Alafu nasema sijui niende nikatukane mabosi nifukuzwe kazi maana ndo furaha yangu nikifukuzwa nikakae tu nyumbani nilale, sitaki watu, sitaki ndugu, hasira e.t.c Mambo ni Mengi Nitakuja kuleta kisa changu humu hadi Mungu kuja kuniokoa na kuja kufanikiwa.
Mimi nikulala ndani tu, ikafikia hatua nilikua nataka nikagongwe na gari nife tu maana nilikua sioni thamani ya maisha tena...
Daah ashukururiwe yule mwanamke aliyenitoa kwenye dhahama ya mauti hiyo..

Nililogwa vibaya sana sana na wahusika nawahifadhi
 
Halafu unamnyima mtu hata chakula anaweza vipi kuwa na itimamu wa kufanya kazi,wewe ukiondoka mwachie hata 5000 ya nauli atajiongeza, psychological hawezi kuwa sawa ni vizuri uzungumze nae maneno mazuri ya kumfariji.
 
Hapa tumeskiza upande wakowa story, je upande wa mwamba upo hivyo mmh!
 
Yap mimi nipishapitia situations kama hizo! nilikuwaga nafanya kazi zangu vizuri tu gafla mambo yakajaga kubadilika 2022-2023... (2 years).. ilifikia hatua nikifanya kazi naacha mwenyewe sitaki kazi, Sitaki kwenda kazini, Alafu nasema sijui niende nikatukane mabosi nifukuzwe kazi maana ndo furaha yangu nikifukuzwa nikakae tu nyumbani nilale, sitaki watu, sitaki ndugu, hasira e.t.c Mambo ni Mengi Nitakuja kuleta kisa changu humu hadi Mungu kuja kuniokoa na kuja kufanikiwa.
Mimi nikulala ndani tu, ikafikia hatua nilikua nataka nikagongwe na gari nife tu maana nilikua sioni thamani ya maisha tena...
Daah ashukururiwe yule mwanamke aliyenitoa kwenye dhahama ya mauti hiyo..

Nililogwa vibaya sana sana na wahusika nawahifadhi
Duuuh pole sana,, muhimu umetoka aiseeee
 
Habarini jamvini?

Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.

Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,

Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.

Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.

Naombeni ushauri.
Ulivyo kuwa unakula kiapo kwamba utashirikiana naye kati hali zote ikiwemo iyo ya umasikini,, ulikuwa unatania sio? Na ikitokea akarudi kwenye hali yake ya kawaida bado utaendelea na mchakato wa talaka? Dada kuna nyakati za neema na nyakati za uharibifu,, mumeo anapitia nyakati za uharibifu mvumilie
 
Chukulia Imetokea Upande Wako,,,alafu Huyo Unaemuita Mume Wako Unakuchabanga Kwenye Sosho Media Namna Hii Ungejisikiaje Kwa Mfano??Mume Wako Zungumza Nae Na Sio Mambo Ya Ndoa Unakuja Kuyatapanya Humu,,Kisa Umejaaliwa Kauwezo Basi Unaona Umemaliza?Jitahidi Kuwa Na Haiba Ya Utu Kwa Mumeo Hata Kama Mambo Hayako Poa,,Kwani Yeye Amekuvumilia Mangapi,,,Ametenda Mema Mangapi Hadi Hilo Uone Ni La Kuja Mtangaza Humu,,Kaa Chini Na Mumeo Muongee,,Acha Kujidhalilisha Humu...Nje Ya Mada Naomba Namba Yako Ya Nida Kama Hutojali Lakini.
 
Chukulia Imetokea Upande Wako,,,alafu Huyo Unaemuita Mume Wake Unakuchabanga Kwenye Sosho Media Namna Hii Ungejisikiaje Kwa Mfano??Mume Wako Zungumza Nae Na Sio Mambo Ya Ndoa Unakuja Kuyatapanya Humu,,Kisa Umejaaliwa Kauwezo Basi Unaona Umemaliza?Jitahidi Kuwa Na Haiba Ya Utu Kwa Mumeo Hata Kama Mambo Hayako Poa,,Kwani Yeye Amekuvumilia Mangapi,,,Ametenda Mema Mangapi Hadi Hilo Uone Ni La Kuja Mtangaza Humu,,Kaa Chini Na Mumeo Muongee,,Acha Kujidhalilisha Humu...Nje Ya Mada Naomba Namba Yako Ya Nida Kama Hutojali
 
achan naye huyo jamaa .

Ni mpuuzi, ni kweli Kuna wakati mambo yanayumba lkn kama mwanaume huwa nilazima usichoke kujihangaisha hata Kwa lolote

ACHANA NAYE, NA USIMPE K.
 
Chukulia Imetokea Upande Wako,,,alafu Huyo Unaemuita Mume Wake Unakuchabanga Kwenye Sosho Media Namna Hii Ungejisikiaje Kwa Mfano??Mume Wako Zungumza Nae Na Sio Mambo Ya Ndoa Unakuja Kuyatapanya Humu,,Kisa Umejaaliwa Kauwezo Basi Unaona Umemaliza?Jitahidi Kuwa Na Haiba Ya Utu Kwa Mumeo Hata Kama Mambo Hayako Poa,,Kwani Yeye Amekuvumilia Mangapi,,,Ametenda Mema Mangapi Hadi Hilo Uone Ni La Kuja Mtangaza Humu,,Kaa Chini Na Mumeo Muongee,,Acha Kujidhalilisha Humu...Nje Ya Mada Naomba Namba Yako Ya Nida Kama Hutojali
Mkuu tuongee kwenye uhalisia wa mambo.

Unajua Wanawake hawakuumbwa kutunza familia., wao wlaiumbwa kua walezi.

Msomi ,aloachishwa kazi ,miaka nane ( nahizi ni zile Enzi za Magufuli).

Miaka nane, Msomi katulia tu, Hivi hiyo familia Maendeleo yatapatikana kweli?.

Haya utasema Kuna Siku atakua sawa, atakaaje sawa kutwa kucha ni nyumban ,hatoki akanyangamana na jamaa, mishe ndogondogo ??.


Huyu mwanamke tutamlaumu Bure .


Mungu anachukia watu wavivu sana kula kulala.
 
Kuna wanawake toka wameolewa wapo nyumbani hawajawahi toa hata mia yao

Wengine wamefunguliwa biashara kadha wa kadha zimekufa

Lakini hakuna mwanaume anakuja jukwaani kuwananga

Ila rudi siku hiyo mwambie mkeo huna kazi au Anza likizo mwambie tumeachishwa kazi kwa muda usiojulikana uone moto wake......

Kama bi dada una kazi mpe mumeo kamtaji hata ka Banda la matunda au juice ya miwa au ukopee maake nyie ni mwili mmoja....
 
Mkuu tuongee kwenye uhalisia wa mambo.

Unajua Wanawake hawakuumbwa kutunza familia., wao wlaiumbwa kua walezi.

Msomi ,aloachishwa kazi ,miaka nane ( nahizi ni zile Enzi za Magufuli).

Miaka nane, Msomi katulia tu, Hivi hiyo familia Maendeleo yatapatikana kweli?.

Haya utasema Kuna Siku atakua sawa, atakaaje sawa kutwa kucha ni nyumban ,hatoki akanyangamana na jamaa, mishe ndogondogo ??.


Huyu mwanamke tutamlaumu Bure .


Mungu anachukia watu wavivu sana kula kulala.
Afuate Utaratibu,,Amuache aende Kwa Huyo Atakaye Timiza Kikamifu Hicho Akitakacho Na Si Kuja Kumdhalilisha Humu,,Mbona Kipindi Yuko Vizuri Hakuja Msifia Humu?
 
Habarini jamvini?

Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.

Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo wote unaniangukia mimi kila kitu ni mimi,chakula,ada,bills zote ni mimi yeye yupo tu anashinda nyumbani kulala na kijiweni na ni msomi tu mzuri, sasa nimechoka nataka kudai talaka bora ijulikane sijaolewa kuliko haya nnayoptia kama vile mimi ndo nimeoa,

Before talaka nimechukua uamuzi ufuatao,ni mwaka sasa nimemhama chumba,nimeacha mfulia wala kujihusisha na chochote kimhusucho nimemwondoa house girl simwachii chakula cha asubuh wala mchana,anavizia cha usiku na weekends ndo anakula.

Hana pressure kabisaaa ameridhika sasa nataka nianze mchakato wa talaka mapema nitue huu mzigo nioge nirudi sokoni kwa tahadhari ya hali ya juu.

Naombeni ushauri.
ok, ulichokitegemea kwenye hiyo ndoa haujakipata?, fanya uamuzi mwenyewe siyo kwa ushauri wa wenginge ambao haukuwahusisha wakati mnaamua kuoana
 
Back
Top Bottom