Chukulia Imetokea Upande Wako,,,alafu Huyo Unaemuita Mume Wake Unakuchabanga Kwenye Sosho Media Namna Hii Ungejisikiaje Kwa Mfano??Mume Wako Zungumza Nae Na Sio Mambo Ya Ndoa Unakuja Kuyatapanya Humu,,Kisa Umejaaliwa Kauwezo Basi Unaona Umemaliza?Jitahidi Kuwa Na Haiba Ya Utu Kwa Mumeo Hata Kama Mambo Hayako Poa,,Kwani Yeye Amekuvumilia Mangapi,,,Ametenda Mema Mangapi Hadi Hilo Uone Ni La Kuja Mtangaza Humu,,Kaa Chini Na Mumeo Muongee,,Acha Kujidhalilisha Humu...Nje Ya Mada Naomba Namba Yako Ya Nida Kama Hutojali