Israel ni warzone... wapo vitani baada ya kuchukua maeneo ya wa Palestine

Mnaoenenda huko mtambue ili...
Nasikia Malawi na Kenya wana mpango wa kuwa sacrifice vijana wao waende huko. Kwasasa Israel anafuta watu wa kupigana upande wao. Sasa wacha waende waje kutuletea thread hapa JF.
 
Hapa mambo ya dini yanaingiaje ? Taifa lipo kwenye majonzi wewe unaanza kuhusisha ugaidi na udini, una uwezo mdogo sana wa kufikiri.

siwezi kuendelea kukujibu, inaonyesha wazi kabisa hata hujaumizwa na kifo cha mtanzania mwenzetu alieuwawa bila sababu,
 
Kwan Huu mzozo ,Si Hawa magaidi waliamua kushtukiza na kumshambulia Muisrael??.


Sasa kwanini Leo Israel inawaua, mnalalama kua wanawaonea??.
Una uhakika kuwa mzozo wa wapalestina na Israel umeanza baada ya Hamas kufanya shambulizi?
Mm nadhani ungerudi kwenye mada zako za namna ya kukojoza wanawake hizi mada zinazo hitaji akili hazikufai.


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…