I practice Islam but I strongly condemn this brutal massacre happening in Gaza
Kama hakuna mapenzi baina ya binadam na binadam zafaa nini dini
wazayuni na ninyi Hamas acheni kuua watu
 
Unawajua Waisrael wewe au unaropoka umeona hiyo boxer ya kijeshi umejiliza kaavaa kwa makusudi harafu Watanzania wengi wanafiki sana watoto 8000 waliouliwa Gaza hawana thamani zaidi ya Joshua? Au wale watoto ni Hamas hawana haki ya kuishi? Serikali inajua kila kitu ndiyo maaana imekaa kimya.
 
Punguza ujinga mashamba wanayofanyia field yapo Gaza au ndani ya israel ?


Hamas hawajawahi kuvuka mpaka na kuingia israel baada ya oktoba 7.

Hamas waache sura zao nje hivyo ?

View attachment 2845310
Wewe Hamas Mjinga Mmoja.


Mbona Mimi Nina ma Pensi ya kijeshi .


Una Ubongo wa matope.


Hao Vijana wawili wote walitekwa siku ya kwanza magaidi wa kiislam walivyofanya shambulio la kushtukiza

Na huyu Kijana aliuawawa siku ileile ya kwanza, Walipokua wanawalazamisha kubeba mateka kuwaingiza upande wa pili wa Israel.
 
Daah!!

Inauma sana.

Wazazi wake wakiiona hii video wataumia sana.
 
Kwa hio unataka kusema hajauliwa na hamas aiseee huna akili
Kaa pembeni kama huelewi 🤣🤣 video imeachiwa na quote kwamba waliua ni Hamas ,hakuna aliyeangalia kwa makini .
 
ni shasema tanzania na balozi zake zisikie ukipata matatizo hakuna watakalo kusaidia ukilinganisha na nchi zengine wakifanyiwa watu wao wanaweza kupeleka makomando au kukata diplomasia kabisa.
Baadhi ya Nchi Wana vikosi maalumu vya kijeshi kwa ajili ya Uokozi vinaitwa Rapid Response Units (RRU).
 
Hiyo footage ya octeber 7lakini imetolewa na israel baada ya gopro cam iliokuwa na footage ya gaidi mwenzako wa hamas kuuwawa
🤣🤣🤣Hakuna footage hapo nahisi kijana hata elimu hauna ,unazijua video vya footage wewe?

Hiyo vidoe imeshootiwa katika mfumo wa undercover agent kama alikuwa anashoot.


Ile footage ya kutungua ile ndege uliona walifikia wapi ?
 
Very sad.

Tukubaliane hapa kilichofanywa Kwa Mtz mwenzetu hakikubaliki.

Lawama ziwafikie wote wanaohusika Kwa namna moja au nyingine

1. Umoja wa mataifa UN walawaaniwe Kwa kushindwa kuresolve huu uhasama.
2. Israel walawaaniwe Kwa kutumia mabavu kuishi na wapalestine
3. Hamas walaaniwe Kwa kuendesha vitendo vya kigaidi
4. Waliomshaur na kufanikisha Joshua kwenda Israel walaaniwe Kwa kushindwa kumuongoza vema Kwan ipo waz Israel ni nchi ambayo ipo pale Kwa sababu ya mabavu tu hivyo si salama kuwa Israel au Palestine
5. Walaaniwe wote wanaoshabikia vita
 
Kwa hio unataka kusema hajauliwa na hamas aiseee huna akili
Nipe uhakika hao ni Hamas ?

December 13 ndio wamekubali kifo cha jamaa ,sasa walitoa wapi hiyo video na wanadai mwili bado wanao Hamas .

Ngoja tuone Hamas kwamba wamekaa na mwili kwa miezi miwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…