kibamia original
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 262
- 768
Wewe uko JF inakuwaje uko shallow namna hii kwenye taarifaWaulize hilo swali eti halafu ni oktoba 7 ambapo vita imepamba moto ,hata ukisema alikuwa israel mashambani jiulize hao Hamas wana ubavu wa kuwafuata israel kweny ardhi yao[emoji1787][emoji1787].