Wanathubutu kusema Mungu Mkubwa. Waliyemuua amewakosea nini?
Huu ukatili wao ndio maana hakuna anayewataka Middle East
 
Kwa hiyo kuishabikia mauaji ya hamas sio sawa ila kushabikia mauaji ya Israel ni sawa?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Soma vizuri hapo nimeandika hizo dini za kitapeli na unafiki ndio zinafundisha kushabikia mauaji?

Sio Palestine au Israel wote binadamu ni sawa ndio maana sipendezwi na mtu wa upande wowote kuuwawa au upande unaoshabikia mauaji.
 
Halafu leo ndio wakaachia hiyo video tuione?
Baada ya miezi miwili mwanzo tuliambiwa amechinjwa soma huu uzi
 
Kambaku na Chaliifrancisco mko wapi? Proved mtu wangu wa nguvu will you ever again have sympathy to Palestinians?

KAMBAKU and CHALIIFRANSISCO I HATE.

Chaliifrancisco angalia homeboy walivyomuua.
Mgerasi, source ya hiyo video ina credibility? Je kuna alieprove kuwa hao ni HAMAS?

Je kuna alieprove kuwa huyo ni Joshua?

Au ni propaganda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…