Acheni unafika nyie mashoga yaani hamna anayefurahia kifo cha ndugu yetu Joshua tunawapa pole sana wafiwa yaaani Israe akiuwa watoto zaidi ya 8000 wengine njiti kabisa mnashangilia lakini Hamas wakifanya mauaji ya mtu ambaye hana hatia basi Hamas ndiyo anaonekana gaidi na Israel inaonekana taifa teule.

Tutokeeni hapo wanafiki wakubwa.
 
😭😭😭 You heartless please May our almighty God forgive you. Those are innocent angles killed by monsters.
 
These peoples sijui how wanakuwa brainwashed.

Yani mambo yako wazi hawaelewi kabisa
 
Na ukitaka kuona hawa watu ni mashetani,still huyo dogo alieuliwa kikatili ndo watamuona mkosaji,mwanzo walibisha ameuliwa na wayahudi,ila mumgu wa ajabu hadi video imetoka
Kweli mkuu watu walibisha hapa na kusema Israel iliwauwa hao watanzania lakini ukweli haujifichi mashetani yamenidhihirisha.
 
?
 
Juzi rais wa Zanzibar kaenda Qatar kumwakilisha rais wa nchi, Qatar ndio wafadhili wa Hamas lakini kaishia kuongelea kukuza uhusiano na Zanzibar badala ya kuwaomba wasaidie kuachiwa mtanzania mwenzetu halafu Kuna wapumbavu wanashabikia Hamas .
Ukiweka mihemko pembeni utajadili vizuri sana suala la Israel na palestina. Hamas ni chama cha kupigania uhuru wa Taifa la palestina.
 
Haya magaidi ni mashetani.

Uongozi wa sasa una udini mno.

Inshangaza Rais yupo kimya raia wake wanauawa kinyama kisa waliofanya hayo mauaji ni watu wa dini yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…