Kabisa, tunahitaji kubadilikaSerikali yetu imeshindwa kuchukua hatua za uhakika juu ya watu wetu.pia nathubutu kusema hata kama tungekua na mateka wengi huko israeli naamini wangekufa tusingeweza kuwakomboa . Tumekua ni serikali ya kupokea kila tunachoambiwa badala ya ku demand.
Ulikuwepo? Uliwaona Hamasi wamemuua je kama kauliwa na Jeshi la Israel?Acheni ujinga HAMAS wamemuua yule Mtanzania kinyama!
Achana naye huyo mpumbavu hajielew na limepumbazwa na maneno ya kiarabu kwenye kitabu Chao kilichojaa ujinga, dini ya kipumbavu kabisa hiiMkuu sina haja ya kuogoogle magaidi. Picha uliyoweka ina maana haujui kithungu mpaka ushindwe kuelewa ilimaanisha nini
Hao mabwana zako waarabu hata nao kutwa wanakimbilia Ulaya kutafuta maisha mazuri na haki ya kuishi kwa amani na uhuru. Ulaya + Marekani haki ya binadamu kuishi bila kujali rangi, imani au utaifa wake inazingatiwa kwa kiwango kikubwa mno kiasi kwamba hata huo ubaguzi ukikutana nao si kama utaokutana nao uarabuni.Hata wazungu hvyohvyo
Chupi ya kijeshi kila mtu anavaa. Kwani alikuwa na silaha? Magaidi ndivyo yalivyo. Jitu linazaliwa linaimbishwa Takbirr chuki tu hatimaye linajivisha mabomu. Wazee wa mizigo 100 banah!Vipi hiyo chupi ya kijeshi?
Wewe hauons video hiyo, acheni ujinga wa kutetea uovu. Hawa HAMAS ni wanyama wacha Israel wawamalize. I have zero sympathy for these mofos.Ulikuwepo? Uliwaona Hamasi wamemuua je kama kauliwa na Jeshi la Israel?
Wote watakuwa marehemu sasaKinachonipa amani ni kwamba kati ya hao waliomshikilia dogo hapo nadhani kama Yuko aliye hai basi ni mmoja ama wawili, wapumbavu kabisa Hawa jamaa.
Kama unaamini kuna watu ni watakatifu basi wewe ni mpumbavu na hicho unachokiamini ni upumbavu tu.Ni kamkakati kao kakishenzi na mataifa ya kishenzi kutaka kufanya Israel kuonekana kama haijawah kuwepo.
Kuipinga Israel, ni Kumpinga Mungu.
TUNDU A LISSU, KWA UJINGA WAKE HUO , ASAHAU KATAKATA KUA RAIS WA JMT, ASAHAU KATAKATA, HATA KAMA CCM ITAKUJA KUONDOKA MADARAKANI, HATOKAA KAMWE KUA RAIS, KWA SABABU HIII TU YA KULIKUFURU TAIFA LA ISRAEL.
URUSI ni URUSI, ila hawaikufuru Israel, UCHINA pamoja na uwekezaji wake Kwa Waarabu, ila hawaikufuru Israel.
Wewe ni nani ??.
Wewe ni gaidi mpum.bavu, unatetea uovu kisa dini ya kijinga!!???Wewe pnguani sana unajiifanya una uchungu kumbe bwege huyu ndugu yetu tuliambiwa hivi….
Joshua Mollel, 21, an agricultural intern from Tanzania, was kidnapped by Hamas terrorists on October 7 from Kibbutz Nahal Oz. On December 13, his death was confirmed, and authorities said his body is being held hostage in Gaza.
Fellow Tanzanian Clemence Mtenga, who was originally thought to be held hostage following the October 7 attack, was declared dead on November 18, and his body was sent back to Tanzania for buria
Hiyo video imekuja leo baafa ya karibia miezi mitatu hapo alipokuwa Joshuo ni wapi na nani alikuwa anachukiwa hii video akaipost tuselete ushabiko mandazi tu kujifanya tuna uchungu kumbe unafiki tu jarida la THE TIMES OF ISRAEL lilisema wa Joshua upo Gaza isije kuwa sineme hii.
Mkuu huwezi kuishi kwenye dunia ya peke yako . Ndio maana leo Yemen anapozuia meli kupita red sea inaathiri dunia nzima hata ambao siyo waraabu wala waafrika. Tunachotakiwa kufanya kama binadamu ni kuhakikisha Haki na ubinadamu unazingatiwa bila kujali utaifa wetu.Muarabu na mabeberu wakichinjani sisi watz tunatakiwa kushindana kuhesabu mizoga tu ni ujinga muafrica kuwa tetea hao wahuni wa kixungu au waarabu
alla ni shetaniTakbir
Ingia google Mkuu na type Hamas Charter of 1988 ipo telletunaisomea wapi sasa chief
Vipi hawa wanaoua watoto, Mungu wa kweli ameruhusu?allah siyo Mungu, allah ni shetani linaloabudiwa na waislam. Mungu wa kweli hawezi kuruhusu haya yafanywe na viumbe wake.
Thubutu......ianzie wapi Mkuu? Haijitaki?Tusikurupuke kama mazombie na kuanza kulalamika tu ni kweli mwenzetu amefikwa na mauti lakini lazima tuhoji. Hivi serikali ya Tanzania inaweza kumuita Balozi wa Israeli kumuhoji haya maswali ya msingi?