Nyerere ndio nani?muda wake ulishapitaNyerere alikuwa anawa favour wapalestina Vs waisraeli, nae alikuwa na msukumo wa kidini?
Unaonekana uwezo wako ni mdogo kuhusu hii topic mkuu naomba nisikujibu kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri wako wa mambo ya nje alicomfirm hii tarehe 14 decTumieni akli kidogo, mliambiwa kashikwa na Hamas, sasa leo vipi tena?
cease fire is futileHii inaumiza lakini wanayofanyiwa wapalestina inaumiza pia. Unaposikia uchungu kwa mtu wako mmoja kuuwawa jaribu kuwaza wao ambao wamekua wakiuwawa kwa maelfu wana feel aje. Israeli kwa sasa siyo salama kupeleka vijana kufanya kazi nimesikia nchi moja jirani wana mpango huo watawapoteza vijana huko ni eneo la vita.
Punguza ujinga danganya wajinga wenzio hizo sura zote unaweza kuzoom uliona wapi Hamas wapo uso wazi ..
View attachment 2845311
Acha utoto kwenye mambo seriousTushughulike na Hamasi ya Tanzania (ccm) ambayo ikiwa chini ya jiwe imeua akina Azory Gwanda, Ben Sa8, Akwilina na kuwapigia risasi akina Lisu,
Hamasi ya Tanzania (ccm) chini ya uongozi wa jiwe ikiwatumia akina Makonda, Gambo, Mnyeti, Hapi na Sabaya pia ilitesa, iliteka, ilipora, ilifilisi na kuua watu wengi sana.
Rubbish[emoji107]Ngozi sio tatizo bali kutojua kiarabu ndio shida,angapitia madrasa akawajibu hata neno moja tu angepona
Kalale nayo hiiWewe punguani, si mlisema kashikwa mateka, sasa leo imekuwa kauliwa?
Ujinga huo, mnaletewa propaganda za mazayuni.
Hiyo video ni uongo mtupu.
Waisrael ni kama wana macho na mtazamo wa ziada, huenda kuna jambo walikuwa wanalotafitiNasikitika sana naungana na wazazi wa Joshua Mollel kuhusiana na kifo cha mtanzania mwenzetu..
Yapo maswali na sintofahamu nyingi na utata kuhusiana na taarifa za kifo cha Joshua ambapo si vibaya sisi kama watanzania tukahoji ingawa marehemu hatorudi lakini tusiwe ni kizazi cha kupokea tu bila kuhoji tutakuwa wajinga. Yapo mambo mawili ambayo yanahitaji ufafanuzi hapa.
Mosi huyu mtanzania mwenzetu tulipata taarifa kuwa amechukuliwa mateka na Hamas huko Gaza lakini leo tumeoneshwa hapa kuwa aliuwawa na Hamas nadhani tarehe 7.10.2923 ndani ya mipaka ya israeli.
Pili kama aliuwawa tangu tarehe 7.10.2023 kwanini serikali ya Israeli haikutoa taarifa ya kuuwawa kwake hadi leo walipotuletea hii clip?
Mwisho kabisa hii clip imekuja baada ya balozi wa palestina hapa nchini kuhojiwa na kituo cha radio cha clouds FM je kuna nini nyuma ya pazia? Naomba tujadili bila jazba wa mihemko.
Natoa Pole za dhati sana kwa familia ya Joshua Miller na watanzania wote kwa pamoja kwa kumpoteza Mtanzania mwenzetu.
Wanasema Mollel kauwawa Oct 7, serikali ya TZ ingetabiri kwamba kuna shambulizi litatokea siku hiyo ili iondoe raia wake ndani ya Israel au unaandika kwa mihemko tu hapa.Kweli kabisa mkuu serikali yetu imeonesha udhaifu mkubwa sana kwenye suala la vifo vya watanzania huko Israeli. Wenzetu walisimamia raia wao wakaondolewa salama katika eneo la vita sisi tumekaa kimya kusubiri watakachoamua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi nzima ipo frustrated dogo alivofanyiwa sio poa kabisa.LEo nahisi kuchanyikiwa kwakweli .....🤔
Inawezekana kabisa ni AI generated. Haiwezekani eti tangu Oktoba 7 leo ndio waitoe mtandaoni ilikuwa wapi? Kwanini hawakuitoa? Kweli israeli aache kuonesha unyama wa Hamas tangu tarehe 7 oktoba mpaka leo. NakataaaHii ni video ya kutengeneza kutumi AI packge specific kwa kutengeneza filamu. Na hii ni kazi ya kitengo cha propaganda ndani Israel.
Pole kwa wafiwa. Marehemu alikua pahali pabaya na wakati mbaya pia. Inawezekana aliuwawa na wayahudi kwa paniki zao siku hiyo ya october 7 sababu ndege zao pia zilushambulia raia wao wakifikiri ni Hamas
Inawezekana kabisa ni AI generated. Haiwezekani eti tangu Oktoba 7 leo ndio waitoe mtandaoni ilikuwa wapi? Kwanini hawakuitoa? Kweli israeli aache kuonesha unyama wa Hamas tangu tarehe 7 oktoba mpaka leo. Nakataaa
Kukusaidia tu wewe na wengine wasioelewa humu.Nimeangalia mara moja nimeshindwa kuangalia tena na sitairudia video ya Mollel akiuwawa kama Mnyana na Magaidi wa Hamas
View: https://twitter.com/city_digest/status/1736456144141291774?t=ZIdFoft_BByEtU3vDYiNMQ&s=19
Fatilia hii Twitter ujionee huu unyama.
Samia na Makamba Balozi wa Palestina anatakiwa Kuitwa na Kujieleza, na ikiwezekana tunatakiwa kukemea hili jambo hadi AU.
HamasISIS Wapigwe na Israel iikalie Gaza hili jambo lisijirudie
Ohoo! Yaani unayaona makosa ya Hamas wa Palestine lkn huoni makosa ya Makonda, Sabaya, e.t.c?? Utakuwa una matatizo kwenye ubongo wewe.Acha utoto kwenye mambo serious