What i can say is Tanzania tuna viongozi wanafiki na irresponsible.
Angekuwa Rais kafiri ungemsifu si huko kanisani ndio mnambiwa mkiona Rais Muislam mumuite dhaifu 😄

Nyie dawa yenu mpate dictator awatawale ndio mtapata adabu
 
Waisrael ni kama wana macho na mtazamo wa ziada, huenda kuna jambo walikuwa wanalotafiti
Mmh.. bado hainingii akilini mkuu kwasasa vita kwa asilimia kubwa pia inapiganwa mitandaoni. Tumekua tukioneshwa mauaji ya wapalestina na dunia nzima inajua. Israeli nae kwa upande wake anaonesha uovu wa Hamas je ni utafiti gani kwa maiti ya mtanzania mwenzetu kwa muda wote huo walikuwa wanaufanya wasituoneshe hii clip ? Je kwanini hawakutuambia? Serikali yetu idai majibu kutoka Israeli
 
1.Ungeanza kusema ile clip inaonesha wauaji ni akina nani?
2. Je ni edited?
3. Maiti wakabidhowa Israel na Hamas ili waitolee taarifa?.
Acha kuhamisha goli tuwatuhumu isararl kwa kuchelewa kutoa taarifa na Hamas wabaki innocent kwa kumuuakijana mdogo* (junior youth)

Staki kuhisika kujadili ujinga
PERIOD
 
Tusikurupuke kama mazombie na kuanza kulalamika tu ni kweli mwenzetu amefikwa na mauti lakini lazima tuhoji. Hivi serikali ya Tanzania inaweza kumuita Balozi wa Israeli kumuhoji haya maswali ya msingi?
Kama swali gani? Raia wake wenyewe wameuawa. Rubbish
 

Hakuna maswali wala majibu yoyote yatakayo badili ukweli kwamba Hamas ni magaidi na wamemuua mtanzania mwenzetu.
Nimehamini Hamas ni magaidi,wanamuua mtu asiyehusika na Israel!Israel kuanzia sasa nitakutetea daima
 
Ww ni mpumbavu kwanza iulize serikali ya nchi yako iwapo itakuwa inaitambua Hamas kama kundi la kigaidi.
 

I cringe with embarrasment from your sheer ignorance.
Kabla ya kujikuta mwanafalsafa unahoji, fanya research and have the facts. Yani huna hata basic facts afu unahiji upuuzi.

Kwa kuanzia hebu listen to this clip of a Tanzanian Survivor...then tuanzie hapo mjadala.


View: https://youtu.be/201-AkxoMbk?feature=shared
 

I cringe with embarrasment from your sheer ignorance.
Kabla ya kujikuta mwanafalsafa unahoji, fanya research and have the facts. Yani huna hata basic facts afu unahiji upuuzi.

Kwa kuanzia hebu listen to this clip of a Tanzanian Survivor...then tuanzie hapo mjadala.


View: https://youtu.be/201-AkxoMbk?feature=shared
 

View: https://t.me/beholdisraelchannel/24765

View: https://t.me/beholdisraelchannel/24766
 
Angekuwa Rais kafiri ungemsifu si huko kanisani ndio mnambiwa mkiona Rais Muislam mumuite dhaifu 😄

Nyie dawa yenu mpate dictator awatawale ndio mtapata adabu
UZuri wa dikteta hachagui dini wala sura au mashangazi mkileta fyoko fyoko mnajua moto wake
Baada ya kuondoka chuma mkarudi mitandaoni kubweka
 

cringe with embarrasment from your sheer ignorance.
Kabla ya kujikuta mwanafalsafa unahoji, fanya research and have the facts. Yani huna hata basic facts afu unahiji upuuzi.

Kwa kuanzia hebu listen to this clip of a Tanzanian Survivor...then tuanzie hapo mjadala.


View: https://youtu.be/201-AkxoMbk?feature=shared
 

cringe with embarrasment from your sheer ignorance.
Kabla ya kujikuta mwanafalsafa unahoji, fanya research and have the facts. Yani huna hata basic facts afu unahiji upuuzi.

Kwa kuanzia hebu listen to this clip of a Tanzanian Survivor...then tuanzie hapo mjadala.

View: https://youtu.be/201-AkxoMbk?feature=shared
 

cringe with embarrasment from your sheer ignorance.
Kabla ya kujikuta mwanafalsafa unahoji, fanya research and have the facts. Yani huna hata basic facts afu unahiji upuuzi.

Kwa kuanzia hebu listen to this clip of a Tanzanian Survivor...then tuanzie hapo mjadala.


View: https://youtu.be/201-AkxoMbk?feature=shared
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…