Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono
Niliwahi kusema haoa kwamba Rais alipiga kura kuwaunga mkono Hamas kwa msukumo wa dini wengi mlitoka povu. Kuna video inasambaa ktk mtandao wa X inatisha sana. Moyo wangu unavuja damu mtanazania mwenzetu alitokea shambani na kibaiskeli chake maskini ya Mungu. Anakamatwa najitetea lkn haeleweki kisha anapigwa risasi alaf wanashangilia huku wakisema Alakh akbar.

Kijana mdogo anazimishwa ndoto zake na wajinga wachache alaf et leo Rais anapiga kura kuwatetea wauwaji. Rais Samia damu hii utaijibia... Ulishindwa kuzuia wasimuue lkn hata kulaani mauwaji ya watanzania wenzako umeshindwa? Badala yake umewaunga mkono wauwaji.

Video hyo inaogofya sidhani kama inafaa kuwa shared hapa. Kama unataka unaweza kuingia mtandao X imesambaa sana. Inatia huruma.

R.I.P mdogo wetu
We are very Unfortunate to have Her in that Crucial / Vital Office in the Country and Worldwide.
 
Sawa hatuna influence duniani, hila kwenye regional politics we can do something.

Huu ni muda wa Makamba kushawishi regional blocks politics ndani ya EAC. Hawa ni ndugu zetu hasa kwa wale wanaopakana na Tanzania kama Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Congo.

SADC tuanze kuongea na ndugu zetu wa mipakani kama Malawi na Zambia. Total inakuwa 8 ambazo tunaweza ikana Hamas kwa pamoja. Moreover tukiweza kupata support ya nchi zote za EAC, SADC au hata majority of AU you don’t expect all of them to join the course but it a bold statement.

Wote hao wakubaliane wana support taifa huru la Palestine, hila kuitangaza Hamas sio freedom fighter ni kundi la magaidi.

Kuutaka balozi za Palestine zilizopo katika jumuiya za nchi zinazotuunga mkono hasa majirani zetu na ndani ya SADC kuambia dunia, Hamas ni kikundi cha kigaidi ambacho hakipo sambamba na wao; ama sivyo tunafunga balozi zao kwa pamoja.

Na Tanzania na washiriki wake aita support Palestine movement mpaka wahusika wanaopigania Palestine state democratically watambue hadharani Hamas ni kundi la kigaidi ambalo halipo kwenye mapambano yao.

Watanzania tumeumizwa sana na mdogo wetu, mtoto wetu kuuwawa vile, mbona hawajaua hivyo mateka wa kizungu.
 
Utakufa utauacha Uislam. Tena Dini inayokuwa kwa kasi. Unajiumiza bure tu. Hamtoweza kuifuta Dini hii tukufu.

Vitimbi vyenu havitashinda. Na Allah ni Mbora wa wenye kuweka mipango.

View attachment 2845513

Tamim al-Dari reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said, “This matter will certainly reach every place touched by the night and day. Allah will not leave a house or residence but that Allah will cause this religion to enter it, by which the honorable will be honored, and the disgraceful will be disgraced. Allah will honor the honorable with Islam, and he will disgrace the disgraceful with unbelief.”

Source: Musnad Aḥmad 16957


Namuomba Allah uwe miongoni mwa watu watakaopata neema ya kuingia katika Dini hii tukufu na kufa ndani yake. Ameen.
Haya majini na mashetani yanayoongezeka sehemu yao ni kuzimu then motoni..atakipindi cha Nuru na sodomo na gomora mashetani walikuwa wengi..ndio route hiyo..Jesus Christ is the only way to heaven..period
 
Hao washenzi si ndo kila siku mnashinda makanisani na misikitini kuabudu kama wao. Acheni ujinga nyie weusi. Tengenezeni mfumo wa imani wa watu weusi na kianze kuthamini vya kwenu.

Maana kuna wajinga hapa wanajifananisha na hao wahuni wa Israel na hao wahuni wa hamas.

Tuache utumwa, tukatae ushenzi wote ulioletwa na hao washenzi.
Nasikitika sana naungana na wazazi wa Joshua Mollel kuhusiana na kifo cha mtanzania mwenzetu..

Yapo maswali na sintofahamu nyingi na utata kuhusiana na taarifa za kifo cha Joshua ambapo si vibaya sisi kama watanzania tukahoji ingawa marehemu hatorudi lakini tusiwe ni kizazi cha kupokea tu bila kuhoji tutakuwa wajinga. Yapo mambo mawili ambayo yanahitaji ufafanuzi hapa.

Mosi huyu mtanzania mwenzetu tulipata taarifa kuwa amechukuliwa mateka na Hamas huko Gaza lakini leo tumeoneshwa hapa kuwa aliuwawa na Hamas nadhani tarehe 7.10.2923 ndani ya mipaka ya israeli.

Pili kama aliuwawa tangu tarehe 7.10.2023 kwanini serikali ya Israeli haikutoa taarifa ya kuuwawa kwake hadi leo walipotuletea hii clip?

Mwisho kabisa hii clip imekuja baada ya balozi wa palestina hapa nchini kuhojiwa na kituo cha radio cha clouds FM je kuna nini nyuma ya pazia? Naomba tujadili bila jazba wa mihemko.

Natoa Pole za dhati sana kwa familia ya Joshua Miller na watanzania wote kwa pamoja kwa kumpoteza Mtanzania mwenzetu.
 
I sympathized with the Palestine people, but this had me rethinking.
Nashangaa sana watu wanaunga mkono wa Watu wanaitwa Wapalestina, Kama mtu amewahi sikia kizazi kimelaaniwa basi Watu wanaitwa Wapalestina ni mfano.

Mwaka 1948 nchi karibu zote duniani zilikuwa zinatawaliwa na Wakoloni,
Israel ilikuwa na Watu wa Jamii mbili, Wayahudi na Waarabu, Waingereza kwa Hekima wakaigawa nchi sehemu ya Wayahudi na Waarabu.

Waarabu wakapewa Jordan, Wayahudi wakapewa Israel, ila hao watu wanaitwa Wapalestina wakakataa, Wakapigwa na kupigwa miaka ya 90 Israel ikawapa offer ya kuunda nchi yao na 2005 Israel ikaondoka Gaza, likatokea kundi ndani yao linaitwa Hamas likakataa na kuwaua vibaya sana wenzao wa Fatah, Israel iliacha Green house, nyumba, viwanda kila kitu kwa nia njema, wakavunja wakaaribu wakaanza kuishi kama omba omba,
hadi October 7, Wakaazi wa Gaza karibu laki 3 walikuwa wanatoka Gaza kwenda Israel kufanya kazi ambapo walikuwa wanalipwa mara 10 ya Gaza
 
Nashangaa sana watu wanaunga mkono wa Watu wanaitwa Wapalestina, Kama mtu amewahi sikia kizazi kimelaaniwa basi Watu wanaitwa Wapalestina ni mfano.

Mwaka 1948 nchi karibu zote duniani zilikuwa zinatawaliwa na Wakoloni,
Israel ilikuwa na Watu wa Jamii mbili, Wayahudi na Waarabu, Waingereza kwa Hekima wakaigawa nchi sehemu ya Wayahudi na Waarabu.

Waarabu wakapewa Jordan, Wayahudi wakapewa Israel, ila hao watu wanaitwa Wapalestina wakakataa, Wakapigwa na kupigwa miaka ya 90 Israel ikawapa offer ya kuunda nchi yao na 2005 Israel ikaondoka Gaza, likatokea kundi ndani yao linaitwa Hamas likakataa na kuwaua vibaya sana wenzao wa Fatah, Israel iliacha Green house, nyumba, viwanda kila kitu kwa nia njema, wakavunja wakaaribu wakaanza kuishi kama omba omba,
hadi October 7, Wakaazi wa Gaza karibu laki 3 walikuwa wanatoka Gaza kwenda Israel kufanya kazi ambapo walikuwa wanalipwa mara 10 ya Gaza

View: https://youtu.be/9f64YFwRc6c?si=F8YOZx5aGCvRhQWr
 
Sawa hatuna influence duniani, hila kwenye regional politics we can do something.

Huu ni muda wa Makamba wa kushawishi regional blocks kama EAC. Hawa ni ndugu zetu hawa kwa wale wanaopakana na Tanzania kama Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo.

SADC tuanze kuongea na ndugu zetu wa mipakani kama Malawi na Zambia. Total nchi saba ambazo lazima tuikane Hamas kwa pamoja. Moreover tukiweza kupata support ya nchi zote za EAC, SADC au hata majority of AU you don’t expect all of them to join the course.

Wote hao wakubaliane wana support taifa huru la Palestine, hila kuitangaza Hamas sio freedom fighter ni kundi la magaidi.

Kuutaka balozi za Palestine zilizopo katika jumuiya za nchi zinazotuunga kuambia dunia, Hamas ni kikundi cha kigaidi ambacho hakipo sambamba na wao; ama sivyo tunafunga balozi zao kwa pamoja.

Na Tanzania na washiriki wake aita support Palestine movement mpaka wahusika wanaopigania Palestine state democratically watambue hadharani Hamas ni kundi la kigaidi.

Watanzania tumeumizwa sana na mdogo wetu, mtoto wetu kuuwawa vile, mbona awajua hivyo mateka wa kizungu.
Too late
 
Israel shikilia apo apo. Ao Jamaa ni magaidi na dunia inatambua

Eet walah kubalu..ya nnyooko..

Inatia hasira kweri.
 
Dah this is too much,this is too emotional mkuu,sote msiba umetuumiza lakini jizuie kusema baadhi ya maneno mkuu.

Hao jamaa wauwaji wamezingua sana,kama watanzania tulaani matendo haya.

Lakini pia waisilamu tunatakiwa kulaani pia kwa sababu walioyafanya haya kwa dhahiri ni waisilamu,hivyo tunatakiwa kukemea kwani uisilamu hautaki hivyo.

Wale wanaotetea watambue kwamba jamaa hakuna na silaha yoyote,alikuwa ni mja dhaifu asiyeweza kuwashambulia.

UKristo wake haikuwa sababu ya kumuua kwa sababu hata mtume aliishi na wasiokuwa waisilamu kwa amani.

Mtume huyo huyo alisisitiza kwamba hata mkienda vitani mkiwakuta wasiokuwa waisilamu wanafanya ibada zao muwaache msiwaguse,mnatakiwa mudili na wale wanaokupigeni tu.

hili ni tukio bovu sana na ovu sana

Hamas na mfano wao mbona wanapingwa sana na Wanachuoni na Masheikh wanaofuata njia ya Salaf. Njia zao na misimamo yao Hamas na mfano wao inapingwa. Njia zao zisizofaa umeona zinavyosababisha madhara kwa waislam huko Palestine? Damu ngapi zimemwagika? Mali kiasi gani zimeharibiwa?

Kwa njia zao zisizofaa hao Hamas, mazayuni wanaitumia hiyo kama fursa ya kuwabamiza zaidi watu wanyonge wasio na hatia yoyote.

Allah awanusuru ndugu zetu wanyonge kabisa wasio na nguvu huko Palestina.

Aameen.
 
Sasa nimeelewa kwanini Israel wanaua hawa mbwa bila huruma. Nasema ua mpaka watoto wao maana ni magaidi matarajiwa. Shenzi kabisa
Allah awaharakishie ndugu zako mazayuni adhabu yao na awanusuru ndugu zetu wanyonge wasio na uwezo wa kujitetea walioko
Palestina . Ameen.
 
FB_IMG_1702848882520.jpg
 
Back
Top Bottom