Hata ingetoka lini, haibadili ukweli Hamas walimuuq
halafu we mpuuzi SI ulikuwa unawatetea hao Hamas??Sasa ndo ujue Israeli inaishi na watu wa namna Gani!!mbwa weweHivi Hawa Hamas wanafanya haya kumkomoa nani? Huyo mtu ni Muizrael? Inasikitisha sana.
Kama ni hivyo mbona alikuwa anaomba dunia iingilie kichapo cha hamas??.........wale wote ni wamoja tu.........nyani ni wale wale tofauti poli ...........wafe wapalestina wote na hamas wao.......Netanyahu wauwe elfu 10 kwa niaba ya raia wa tanzania wazalendo kulipiza kisasi cha raia wao 2Kukusaidia tu wewe na wengine wasioelewa humu.
Hamas = M23
Serikali ya Palestina = Serikali ya Congo
Balozi wa Palestina Tanzania Hana Mahusiano na Hamas anatoka Serikali ya Palestina ambayo ipo based western Bank.
Serikali ya Sasa ya Palestina na Hamas haziendi na ukiponda Hamas kwanza huyo balozi anafurahi, ni Makundi ambayo hayapatani na yanapigana vita Miaka zaidi ya 30 Sasa .
Kama Uliona Serikali ya Palestina ilitaka kuwa Assassinated na hao hao Hamas karibuni.
Ww ni mpumbavu kwanza iulize serikali ya nchi yako iwapo itakuwa inaitambua Hamas kama kundi la kigaidi.
TUMIA AKILI
Sio kila mada/topic/jambo unaloliona kwa macho yako ndivyo lilivyo, kiuhalisia linaweza kuwa tofauti kabisa.
Kuna matukio unapoyaona hutakiwi kutanguliza hisia kuya judge, bali akili tu, unapotumia hisia&mihemko unaharibu sehemu ya akili kulitafakali hilo jambo.
The same kwa Tukio hili waTanzania tulitakiwa kutumia akili na sio hisia ili tujue ukweli na undani wa hilo tukio ka kifo.
Dunia ya leo mambo hayatokei kwa bahati mbaya, kuna matukio yanapikwa then yanaachiliwa wazi na kila mtu atatafsiri matukio hayo kulingana na uwezo wa akili yake kuchanganua mambo.
Kuna watakao tumia hisia ambao kwa ulimwengu wa sasa hawa ndio main Target ya mpika matukio maana hawa kwa population ni more than 90% ya watu na hawa ndio wale wasio chambua mambo wala kuyatafakali zaidi ya kuendeshwa na mihemko na hisia kali zinazozalishwa baada ya kuliona tukio ambalo mpikaji alipenda liwe hivyo na lilete matokeo gan kwa jamii baada ya kuona hilo tukio.
Kuna asilimia ndogo sana ya watu ambao hayo matukio yanayoibuka dunian hata yapikwe vipi hayawaendeshi kutumia hisia&mihemko maana wanajua michezo yote ya wajanja.
Anaecontrol media ndiye anaecontrol mienendo mizima ya matukio iwe vipi, na kuteka attention ya watu kiasi gani wakubaliane na ujumbe wa tukio.
Back to topic, kwa anaetumia akili tu na sio mwenye mihemko, ukiitizama hiyo video inaleta maswali mengi na kuibua viulizo kuhusu undani wa kinacholazimishwa kuaminisha watu waamini ndivyo au sio.
[emoji117] labda kinyonga aliponzwa na rangi yake ndipo balaa likampata(kijana huyo huenda hakuwa na tatizo lolote na hao wanaosemekana ni Hamas lkn kwakuwa tu ni mweusi, kama ijulikanavyo watu weusi hawapendwi dunian, hivyo rangi yakeikamponza.
[emoji117] labda nguo yake ya ndani aliyovaa(boksa) yenye rangi ya kijeshi ilimponza kwa kuwafanya hao wanaosemekana ni Hamas kumfyeka kwa kuamini ni miongon mwa mwanajeshi wa kiisrael.
[emoji117]labda nae alikuwa sehemu ya jeshi la siri/mpelelezi kutoka israel ndiomaana kifo kikampata, haimake sense mtu wa kawaida tu kumiliki jezi/vazi la kijeshi.
[emoji117]labda hilo ni tukio la kupikwa na waisrael wenyewe kwa kutafta uungwaji mkono na mataifa yasiyowasapoti kwa kujenga chuki dhidi ya palestina na wanamgambo wa Hamasi, kwa kuua baadhi ya raia wa nchi zisizo isapoti israel na kusingizia ni hamasi wamefanya matukio hayo.
[emoji117]labda ni kweli ni Hamas wametenda hilo tukio lakin bado kunaibuka maswali, haiwezekan raia wa kawaida asiye na siraha wala mjeshi wa kiisrael kuuliwa kinyama vile itakuwa kuna viashiria fulani walivyoviona kutoka kwa huyo raia na kuhisi hatari au mamluki wa kiisrael na hapa tunarudi kule kule kwenye viashiria vya kipelelezi/mamluki kupitia vazi la jezi ya kijeshi au chuki tu ya kibaguzi wa rangi.
Tukio hilo litizamwe kiumakini kwa akili timamu na sio hisia ili tusibase kwenye mihemko na kujikuta tunasapoti ujinga ambao umepikwa na mpikaji katimiza ajenda zake za kueneza chuki.
Hii ni kwaajili ya wenye akili tu na sio vilaza
Propaganda katika vita vya wenzetu ni jambo la kawaida sana katika kutafuta moral support ya dunia.Wewe huyo kauliwa na wajomba wa Mungu zenu, kwanza hiyo picha kwanini itoke sasa?
Nani kaitowa?
Wacheni ujinga, miaka zaidi ya 2000 mazayuni hao wanawaaminisha wao wajomba wa mungu zenu hamstuki basi hata huo ujinga mliotumiwa nao hamstuki?
So far kwa wanaofahamu siasa za palestina wanasema wale jamaa sio Hamas ni Al Aqsa brigade (Hamas ni Al Qasam) unaweza angalia hii tweetKama ni hivyo mbona alikuwa anaomba dunia iingilie kichapo cha hamas??.........wale wote ni wamoja tu.........nyani ni wale wale tofauti poli ...........wafe wapalestina wote na hamas wao.......Netanyahu wauwe elfu 10 kwa niaba ya raia wa tanzania wazalendo kulipiza kisasi cha raia wao 2
Hamas hawana muda huo, ni chama kidogo cha kisiasa ambacho sasa hivi kipo bize kumchapa zayuni.Propaganda katika vita vya wenzetu ni jambo la kawaida sana katika kutafuta moral support ya dunia.
Hamas hayo video isingekuwa yao wangeshaikana.
Majuzi ‘Joe Biden’ kawaonya Israel japo anaunga mkono vita vyao in principe, ila aungi mkono tena means zao.
Clearly hiyo video imetolewa na Israel wana highly regarded infiltrated intelligence hayo ndani ya Gaza na nje ya mipaka ya eneo.
Hamas hawajakana hiyo video na uhusika wao.
Ni hivi Tanzania pia inatakiwa kuwa na mipaka, na hakuna sababu muhimu kama kuona raia wake anauliwa kinyama vile.
Bila ya nchi kuitangaza Hamas ni kikundi cha kigaidi, ni matusi kwa watanzania. Aina maana kusema serikali aiungi mkono movement za free state ya Palestine.
Hamas ni kikundi cha hovyo
Muhimu kwa serikali ya Tanzania ni kutotambua jitihada zao.Hamas hawana muda huo, ni chama kidogo cha kisiasa ambacho sasa hivi kipo bize kumchapa zayuni.
Message yangu kusoma nahisi ujaelewa contents vizuriMoja ya jamii za hovyo ni Jews na Arabs . Still watu wanawachukulia hawa watu ni mfano wa imani zao.
Utasikia chosen people of God ; fu***k of. Wa Africa tuamke.
Ukiangalia hata imani zao , Judaism, Christianity and Islam zimesimama kwa kuua na kulazimisha watu kuingia kwenye iman na kujengeana chuki baina ya mtu na mtu.
Hizi dini Zote zimesimama kwa bloodshed, tena bloodshed has been justified kwenye vitabu vyao vya kiimani.
Hakuna mungu ana justify bloodshed , all of them is a work of devil on the other side.
Arabs and Jews should be burned to death .
Ni uchafu wa amani kwenye hii dunia
Unakuta some Africans wanatumia bilions of money kwenda kuhiji Israel na Saudia Arabs leaving waafrica wenzao home wakifa na njaa na magonjwa….. Only kwenda kuona the manipulated story of Muhammad and Jesus and probably these people never existed
………..something must be wrong na muafrica.
Tutafute imani zetu za kumtambua mungu wa kweli let’s us make our own bible and Quran it is possible kwa sababu all those books were written by man’s hands. We make our own sacred place.
. Iman za Kiyahudi, Christianity and Islam ni failure to our generation and cannot be taken as a category.
Mungu wao aliwatuma kumwaga damu duniani. Shame
Rest in peace, my friend Joshua.
The world has never been fair kwako.
Ila Hamas kwanini wamuue mtu hajui hata lugha yao?Lengo lao watu wawachukie hamas wawaone kama wauaji
Ila watashindwa nampaka sasa washashindwa tayari
Pole kwa familia ya mollel pole zao sana sana sanaaa
Ila ukweli tutaendelea kusimama na hamas wapigania uhuru
Vita haina macho mura......pole sanaaNasikitika sana naungana na wazazi wa Joshua Mollel kuhusiana na kifo cha mtanzania mwenzetu..
Yapo maswali na sintofahamu nyingi na utata kuhusiana na taarifa za kifo cha Joshua ambapo si vibaya sisi kama watanzania tukahoji ingawa marehemu hatorudi lakini tusiwe ni kizazi cha kupokea tu bila kuhoji tutakuwa wajinga. Yapo mambo mawili ambayo yanahitaji ufafanuzi hapa.
Mosi huyu mtanzania mwenzetu tulipata taarifa kuwa amechukuliwa mateka na Hamas huko Gaza lakini leo tumeoneshwa hapa kuwa aliuwawa na Hamas nadhani tarehe 7.10.2923 ndani ya mipaka ya israeli.
Pili kama aliuwawa tangu tarehe 7.10.2023 kwanini serikali ya Israeli haikutoa taarifa ya kuuwawa kwake hadi leo walipotuletea hii clip?
Mwisho kabisa hii clip imekuja baada ya balozi wa palestina hapa nchini kuhojiwa na kituo cha radio cha clouds FM je kuna nini nyuma ya pazia? Naomba tujadili bila jazba wa mihemko.
Natoa Pole za dhati sana kwa familia ya Joshua Miller na watanzania wote kwa pamoja kwa kumpoteza Mtanzania mwenzetu.
Nawachukia sana hawa jamaaHivi Hawa Hamas wanafanya haya kumkomoa nani? Huyo mtu ni Muizrael? Inasikitisha sana.