Hamas sio rahisi kwa vile mziki wa Umoja wa mataifa anaujua ,hawezi kufanya ujinga huo maana itakuwa ndio mwisho wao.
 
Kwahiyo wewe ndiye unamjua vizuri Mtoto wao? Waziri Makamba kathibitisha ameuwawa wewe ni nani unapinga?
 
Ila wewe ukifa wakuchomeke mjiti wa fagio matakoni ..........kwani Israel ndio ilioanzisha vita hiyo October 7??
Ugomvi wa palestina na Israeli haujaanza tarehe 7 October labda kama wewe ni mtoto mdogo usiyejua lolote.
 
Kwahiyo wewe ndiye unamjua vizuri Mtoto wao? Waziri Makamba kathibitisha ameuwawa wewe ni nani unapinga?
Mimi kama wewe tu. Hivi huwa mnasoma mnaelewa au huwa mnajibu halafu ndio unasoma swali. Mimi sijasema hajauliwa maana taarifa imetolewa na Israel. Nimeuliza kwenye ile video inayosambazwa je ni yeye kwenye ile video? Siaona kauli ya wana Family kuthibitisha huyu anayeonekana kwenye video ni kweli mtoto wetu, ndio maswali yangu sijakana kuwa amefariki. Majibu au maswali ya Serikali kujibu alienda kule kufanya nini? chuo gani? na ilikuwaje akawa kwenye maeneo ya settlers kwenye mpaka na Ghaza sehemu hatari, yako maswali mengi au alikuwa anafanya kazi pale?
 
Kwahiyo wewe ndiye unamjua vizuri Mtoto wao? Waziri Makamba kathibitisha ameuwawa wewe ni nani unapinga?
Ameuliwa? yes kwa mujibu wa Serikali na naamini, ile video ni yeye? sijasikia kuthibitishwa na serikali wala ndugu. Mimi nasema ile video ni propaganda sababu ni ya Libya ilitokea.
 
Swali la msingi. Kwanini Hamas wamuue mtz.
Maswali ya kwanini Hamas wamuuwe yanatatizwa na hiyo clip iliyotolewa kwahiyo hatuwezi ku conclude moja kwamoja kuwa waliohusika ni Hamas. Hamas ndio walijirecord wakawapa Israeli hii clip?
 
Hamas sio rahisi kwa vile mziki wa Umoja wa mataifa anaujua ,hawezi kufanya ujinga huo maana itakuwa ndio mwisho wao.
Hamas anaujua mziki wa umoja wa mataifa kuliko Israel anayetengeneza video kila siku. Kila proof mnayoletwa mnasema ni staged kwakua mmeamua kuamini upande fulani.
 
Watz tuache unafiki. Kujifanya kuumizwa kwasababu aliyeuwawa ni mtz huo ni unafiki. Mtu mkweli analaani mauwaji ya binadamu yoyote yule.
 
Hamas anaujua mziki wa umoja wa mataifa kuliko Israel anayetengeneza video kila siku. Kila proof mnayoletwa mnasema ni staged kwakua mmeamua kuamini upande fulani.
Kafanywa nn tangu alipue hospital ,kauwa mateka wake watatu juzi , kaua waandishi wa habari .

Kammaliza wana diplomasia wa ufaransa wamemfanya nn hata tamko basi.
 
Ndio , na Wana matatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…