Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
View: https://youtu.be/rVL1AnPq6vs?si=IchVSHQ3UejoNnOT
View: https://youtu.be/DTK04bjiWbQ?si=yCujC1T6cRd-Oic2
Hizo link zite zinaonyesha hao Hamas wakivuka kuingia Israel kufanya mauaji na kuchukua mateka. Sasa kama hawakuwahi kuingia Israel wale mateka 200+ waliwapataje? Hivi mnafikiria sawasawa kweli nyie?
Angalia kwanza walivyovaa ,just spot the difference na kwa pembeni kuna mtu na demu wake wanatembea ,tumia akili sana utaelewa.