Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Kwani mkuu hapa bongo wanajeshi wanalipoanzisha msako wa kukusanya vifaa vyao vya kijeshi toka kwa raia walikua wajinga au walidhan hao wananchi ni wanajeshi wa nchi jirani. Kuvaa military underwear haimaanishi alikua mjeda. Na huyu alidakwa kwenye hilo shambulio walilolifanya hamas. Punguza udini
Punguza ujinga mashamba wanayofanyia field yapo Gaza au ndani ya israel ?
Hamas hawajawahi kuvuka mpaka na kuingia israel baada ya oktoba 7.
Hamas waache sura zao nje hivyo ?
View attachment 2845310