Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono
Subhanallah

Wallah

Hakuna uislamu unaokubali kuuuwa na kudhulumu nafsi za watu hakuna

Ile video mwana "hamas" anasema shabab ya mashara shabab[emoji24][emoji24] pia akasema asalam alaykum [emoji24]marehemu hapo anaamua kujitetea kwa kiingereza.... Nais alikuwa anasema "I'm innocent, don't kill me"[emoji24]

Vivyo hivyo kijana ameonekana alivaa boxa ya jeshi so sad [emoji24][emoji24][emoji24] wakamchukulia kama kachero daah

Ndugu zangu tuache udini katika hili

Uislam hauruhusu haya mambo Qattu

Daah nimeumia mno
JAMANI hizo boxer za kumwaga Kariakoo zinauzwa hata hata za watoto wadogo zipo, machinga wanatembea nazo lukuki nyingi 3,000/=. Maskini alikuwa " at the wrong place at the wrong time". Nawaombea sana wazazi, ndugu, na marafiki MUNGU wetu awe nao ktk kipindi hiki kigumu kwa kweli. Kuanzia Oktoba hadi leo. Duh! Poleni sana ndugu zangu
 
Kwahiyo hayo ni maigizo yanashutiwa huku wakitaja allah akbar safi kabisa
Gaidi wewe unajichekesha bure hii damu joshua italilia kizazi chenu chote
Shoga sikiliza unaweza kukubali yaani wameua halafu maiti wakae nayo miezi miwili..Baada ya kukubali waliua mateka wao then wametoa video hii .
 
Habari wazalendo wa kitanzania. Video hii nimeipata IG kiukweli nina mixed emotions. Nina hasira na masikitiko makubwa kupita kiasi. Ewe mtanzania mzalendo wa nchi tuweke mbali udini etc ni kitu kilichoniumzia roho mno. Hii video inamuonyesha Joshua Mollel akitekwa na Hamas. All the deniers sijui nawasaidia vipi. Huyu alikuwa ndugu yetu. RIP Joshua. My heart bleeds kwa hii familia

View attachment 2845298
Screenshot_20231217-193633_Chrome.jpg
 
FaizaFoxy unaitwa huku uje uwatee muuwaji wa ndugu yetu.
Propaganda au sio propaganda, Joshua amekufa kwa namna mbaya sana akiwa mikononi mwa Hamas, hilo unalizungumzia ndugu yangu, toa mkono wa pole kwa familia FaizaFoxy. Ndio undugu wenyewe tulionao kama Watanzania bila kujali dini, imani, makabila au tofauti zetu.. Hivi huoni watu humu ndani wanavyokugombania kama mpira wa corner? kila mtu FaizaFoxy ... Toa pole ueleweke hata kwa kuwatetea hao HAMAS.
 
Wewe bibi kikongwe shetani mkubwa funga domo lako.
Huyo bibi nilishaacha kumfuatilia kitambo sana. Kile kipindi cha Kikwete kila ufisadi utakaoletwa hapa lazima aje atetee. Nikajua huyu itakuwa ni CCM kindakindaki mfia chama. Ilipofika awamu ya Magufuli ghafla kabadilika kaanza kumponda waziwazi kila kwake hakuona jema lolote kwa Magufuli. Awamu hii karudi tena kwa mama. Nimemfutilia sana nikagundua ana udini mkali sana ndani yake.
 
Mungu wangu, hii video wazazi na ndugu zake wasiione tafadhali, wanasema mmama yeyote aliyewahi kuzaa hua na huruma kwa watu maana anajua uchungu wa mtoto, Sasa kuna huyu mama wa humu akiiona hii video atafurahi
lazima ndugu zake washaiona ila nimemuonea huruma mtoto mdogo wa 2002 tu, bora wangemteka wakae naye kuliko kumuua au waliona hana faida kwenye exchange?
 
JAMANI hizo boxer za kumwaga Kariakoo zinauzwa hata hata za watoto wadogo zipo, machinga wanatembea nazo lukuki nyingi 3,000/=. Maskini alikuwa " at the wrong place at the wrong time". Nawaombea sana wazazi, ndugu, na marafiki MUNGU wetu awe nao ktk kipindi hiki kigumu kwa kweli. Kuanzia Oktoba hadi leo. Duh! Poleni sana ndugu zangu
Hakika

Mama yake ndio anaumia zaidi

Inauma mno
 
Waulize hilo swali eti halafu ni oktoba 7 ambapo vita imepamba moto ,hata ukisema alikuwa israel mashambani jiulize hao Hamas wana ubavu wa kuwafuata israel kweny ardhi yao🤣🤣.
Alienda maosomoni kujifunza kilimo, hiyo siku alitekwa ndio siku Hamas walivamia kwa kushitukiza na kuua raia wengi na kuteka wengine, hakukuwa na vita kabla.
 
Propaganda au sio propaganda, Joshua amekufa kwa namna mbaya sana akiwa mikononi mwa Hamas, hilo unalizungumzia ndugu yangu, toa mkono wa pole kwa familia FaizaFoxy. Ndio undugu wenyewe tulionao kama Watanzania bila kujali dini, imani, makabila au tofauti zetu.. Hivi huoni watu humu ndani wanavyokugombania kama mpira wa corner? kila mtu FaizaFoxy ... Toa pole ueleweke hata kwa kuwatetea hao HAMAS.
Wewe hiyo hapo ni Ghaza au Israel au wapi?

Msituletee video clips za uongo halafu mseme za Molel kutafuta huruma na shutuma za kijinga.
 
Back
Top Bottom