Wejamaa hujielewi, hojazako ni za kipumbavu sana.
Hakuna mtu anaeumizwa alafu watu wakakaa kimya.
Hao wote ulio wataja watu wanapazasauti zao humu kila wakati na sio haotu wapo wengitu wengi tu walioumizwa na watu wanawalilia.
Niujinga kufikiri sehemu hisiazako zilipo basi na kilamtu anahisi sawasawa na wewe.
Ndio maana utaona mahali flani kunamsiba watu wanalia na wengine wanakula bata.
Maisha yapo hivyo.
Ukitaka kilamtu alie na wewe, acheke na wewe then utakuwa kichaa.
Sent from my Infinix X6511B using
JamiiForums mobile app