Wapoo??Je mwanamke ambae anamaliza mwaka au miwili hiyo inaitwaje?
Tupo weeeeeengi sanaaaaWapoo??
Hahahahaha.. ukaamua kusaliti chama la NoFap...... vipi hukuwahi kurudia tena!!!!!!?Mwaka Jana nimefanya sana hiyo challenge Ila ilikua ikifika miezi miwili na relapse
Mwisho wa siku nikaja kugundua ni ngumu sana rijali kuish bila kula demu au kupiga nyeto maana unaweza kubaka kabisa ilifika hatua nikawa natamani kila demu had wamama
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] mtuwache!!Acheni hizooo, sasa mnataka wanawake wale nini....!!
Wakale wapi...!!!
Halafu utamu wa Ke aukulenani....??!
Ngoja nikawasemee...
Halafu baadae jioni unapokea text kutoka kwa Mary anauliza "Nimekumiss sana baby upo gheto nije?"[emoji39]Wasalaaaaaaaam wadau.... Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.
Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.......
NoFap.... ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.
Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.
Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.
Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,
Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.
If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.
View attachment 2234241
Uchoyo[emoji41]Je mwanamke ambae anamaliza mwaka au miwili hiyo inaitwaje?
Karibu chama la wana UWABATA litakufaa sanaWasalaaaaaaaam wadau.... Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.
Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.......
NoFap.... ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.
Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.
Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.
Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,
Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.
If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.
View attachment 2234241
Leo nimeamua nianze tena challenge nmedownload app ya iron will inisaidie kuhesabu ni siku ngap nitakaa bila kula demu/nyeto nikifanikiwa kufika miez 3 najua hata akili itakua mpyaHahahahaha.. ukaamua kusaliti chama la NoFap...... vipi hukuwahi kurudia tena!!!!!!?