Hii app unaitumiaje man, na mimi niinstallLeo nimeamua nianze tena challenge nmedownload app ya iron will inisaidie kuhesabu ni siku ngap nitakaa bila kula demu/nyeto nikifanikiwa kufika miez 3 najua hata akili itakua mpya
Ila inatakiwa u unfollow kila kinacho shawish ngono hasa madem wenye tako na usiangalie sana mademu
View attachment 2235728
Sio kwaajili ya kugongana lakini mkuu.. mimi babu yangu alikufa akiwa na miaka 94 alikuwa na wake watano watoto 20 nalikufa kifo cha uzee sio tezi dume wala nin
Lakini ni kweli mwanaume kama hufanyi mapenzi mara kwa mara kinga ya mwili inaongezeka sana na concentration pia inakuwa juu.. ndo maana washikaji ambao shule walikuwa wanachakata madem wengi walikuwa ndo wanashika mkia
Sent from my SAMSUNG-SM-J327A using JamiiForums mobile app
Ngumu Sana mkuu, [emoji4]Nadhani Kwa tuliooa tufanye challenge ya kulala na mke kitandani mwezi mzima tu bila kuchakata tuanzie hapo
Maendeleo na kuchakata huvina mahusianoNatumaini viwanja vingi vitanunuliwa mwaka huu na maendeleo mengi kufanyika na jamaa zangu wa NoFap
Bonge moja la Hashtag mzeebaba tunaenda nayo hiyoMkuu nakubaliana na ww. Hao wanaosema mbususu nani azile kwanza mwanaume anavyoumbwa aliambiwa aitengeneze dunia ila mwanamke (Hawa) akaletwa miaka kadhaa baadae kama ziada tu.
#NoFap
Hela nyingi huwa inapotelea hukoMaendeleo na kuchakata huvina mahusiano
Hiyo app unakua nayo kwenye simu tu unaistart inaanza kuhesabu siku toka ile siku uliyoanza challenge ya nofapHii app unaitumiaje man, na mimi niinstall
KabisaWanawake nasikia mnaweza kukaa hadi miaka mitano nyie bila kutanua miguu
Siku ukipiga huo mchuzi utakaoumwaga sio poaHiyo app unakua nayo kwenye simu tu unaistart inaanza kuhesabu siku toka ile siku uliyoanza challenge ya nofap
Kwahiyo hata ukisahau umekaa siku ngap bila ku relapse ukiingia kwenye app unakuta imeshakuhesabia bila kupoteza kumbukumbu Kama ni siku 20 utakuta imekuanfikia day 20
Hongera kwa msimamo[emoji91][emoji91]..Tupo weeeeeengi sanaaaa
It does br.. hata hao unaowaona wakina christian ronaldo wanapewaga limit ya kukutana na mwanamke mpaka mabondia pia.. hapo bado hatujawaweka monks
mi naona hii ni vita kati ya me na ke..Mabadiliko ni makubwa Sana.
Mwanzo week za Kwanza wa weza pata izo ndoto nyevu Mara 1,2 ila baada ya hapo haitokei tena.
Faida nilizo ona Hadi sasa.
-kwanza Unajiamini,Mwili una kuwa na nguvu,na afya tele.
-Akili inakuwa faster,tulivu na pia yenye mawazo chanya juu ya mstakabali wa maisha.
-Abdala kichwa wazi yupo strong,vibaya mno,anasimama imara Kama mnara,hii kwang ni zaidi ya mwanzo.
-Uchumi umekua maana nimejitenga mbali na hawa ndug zetu upande wa pili,nimejua kuji control kiasi kwamba ke Yani sumbui au kuniendesha kisa k,maana naweza survive without it.
-Imeniondolea ulimbukeni juu ya wanawake for 95% hivyo nakuwa na nafasi kubwa ya kufanya maamuzi sahihi kwa ajili ya maisha yangu ya kesho,nime save San Mkwanj wangu
✓bado naendelea ntazidi kuleta maendeleo yangu juu ya operation hi.
keep busy na issues nyingine utawezaSafi sana man, naombea sana nifike huko na nitafika tu.
mbususu sawa nyeto sasa [emoji35][emoji35][emoji23][emoji23][emoji23]