Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma

Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma

Mbona wametuletea mishangazi bn anyway picha namba 5 wa pili kwenye mstari kama upo humu na zawadi yako
 
Hata wangefanya self service cha maana bei iwe rafiki na bei waliyoweka sio rafiki...., Hivyo kwangu mimi hii kitu ni lost opportunity
 
IMG_20240415_070714.jpg


Chuma kikiwa kwenye karatasi
 
Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma! Na fikira zikanijia kuwa kuna uwezekano mkubwa wana Jf nao wamenufaika lakini nimefanikiwa kumjua mwana Jf mmoja tuu hapo ! Vijana hizi fursa hamkuziona? Au hamkutangaziwa?
View attachment 2969892View attachment 2969893View attachment 2969894View attachment 2969895View attachment 2969896View attachment 2969897
sare za wanaume sio nzuri. au wameogopa wakifanya njano watakuwa kama wafungwa?
 
Ni mwendo wa Abood au BM tu

Na Dom ni mwendo wa Shabiby
Na hapo huduma za treni za mizigo zikianza, kwa vile SGR ni single track muda unaweza kuongezeka maana kutakuwa na utaratibu wa kusubiriana ili kupishana stesheni.

Wenzetu walioendelea wanakuwa na reli mbili, moja kwenda na moja kurudi Ili kuondoa muda ambao ungepotea Kwa kusubiriana Ili kupishana.
 
Hivi ya kisasa ni treni au reli. Ukiangalia hii treni yetu ukatupia macho na Shinkanseni ya mjapani unabaki mdomo wazi. Siasa ina nguvu ya ku influence mtazamo
 
Back
Top Bottom