Nimeona post za kumkumbuka Magufuli zimeongezeka sana mitandaoni. Je, sababu ndiyo hii ninayohisi mimi?

Nimeona post za kumkumbuka Magufuli zimeongezeka sana mitandaoni. Je, sababu ndiyo hii ninayohisi mimi?

Inavyoonekana katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la watu mbalimbali katika mitandao ya kijamii, wakipost picha za hayati Magufuli na kuambatanisha na jumbe za kumkumbuka na wakati mwingine emoji za majonzi au moyo kuchanika.

Hii ikanifanya nijiulize, mbona viongozi wengine hufa na akisha kufa mnaishia kuomboleza na kusahau!?

Ndipo likanifanyi nihisi kwamba zipo sababu mseto za watu kumkumbuka huyu kiongozi ambazo ni kuondolewa machinga, bei za bidhaa kupanda hovyo, kutomkubali mrithi wake, kutoridhishwa na uendelezaji wa miradi aliyoisimamia na kurudishwa madarakani watu aliowatumbua.
Watanzania hatukuwa na Rais bali kutokana na ajali ya kisiasa ya mwaka 2015 tulipata Shetani aliyejifanya anajuwa kila kitu.

Bado kuna Watanzania wapumbavu wengi tu ambao wanamsifia na ndiyo hao wanalazimisha hiyo legacy. Legacy haijadiliwi inakuja yenyewe.

Kwa kweli sioni cha kukaa na kumsifia Magufuli ambaye ameturudisha nyuma miaka 20 kiuchumi.

Lakini tumshukuru Mungu analipenda Taifa letu, alipomuona anapata kiburi na kutaka kubadili ukomo wa utawala akamtupilia Jehanam.
 
Inavyoonekana katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la watu mbalimbali katika mitandao ya kijamii, wakipost picha za hayati Magufuli na kuambatanisha na jumbe za kumkumbuka na wakati mwingine emoji za majonzi au moyo kuchanika.

Hii ikanifanya nijiulize, mbona viongozi wengine hufa na akisha kufa mnaishia kuomboleza na kusahau!?

Ndipo likanifanyi nihisi kwamba zipo sababu mseto za watu kumkumbuka huyu kiongozi ambazo ni kuondolewa machinga, bei za bidhaa kupanda hovyo, kutomkubali mrithi wake, kutoridhishwa na uendelezaji wa miradi aliyoisimamia na kurudishwa madarakani watu aliowatumbua.
Wanamkumbuka kwa maovu aliyo fanya.

Mpaka leo hatujui Ben, azori wako wapi..

Bila kusahau alivyo mtuma sabaya kufanya maovu nk nk.
 
Alikuwa Rais ajie penda majungu na mwenye nia ya kuiletea maendeleo ya dhati nchi yake.

Watanzania hatujui itachukuwa muda gani kupata mtu kiongozi wa kweli kama yule dingi.
Ndugu, kuwa Kama Magufuli lazima ujitoe fuzi kwanza make ukianza kupambana na masirahi ya wakubwa lazma upigwe kutoka Mashariki, magaribi, kaskazin na kusini, ndani na nje ya nchi, hatari Sana.
 
Ndugu, kuwa Kama Magufuli lazima ujitoe fuzi kwanza make ukianza kupambana na masirahi ya wakubwa lazma upigwe kutoka Mashariki, magaribi, kaskazin na kusini, ndani na nje ya nchi, hatari Sana.

Ndio mana wengine walishindwa jamaa alijitoa muhanga kweli kama alivyokuwa anasema mwenyewe.

Atabaki kuwa shujaa wetu namba 1. Kwa mudamrefu sana.
 
Mama yako ameruhusu mle na kuiba mali ya umma bila kuvimbiwa na kujamba hovyo

View attachment 2093126
Baba yako wa Chato hakuruhusu kuiba wengine ila ikawa ni halali yake kuiba na kikundi chake cha kabila lake. CAG Prof Assad alimkuta na upotevu wa Tsh 2.4 Trillion kwa miaka 2016-18. Akaishia kimtoa kazini.

Acheni UJINGA wa kuamini kuwa Magufuli alikuwa mtetezi wa wanyonge. Tanzania haijawahi kupata Rais mwizi kuIzidi Magufuli
 
Baba yako wa Chato hakuruhusu kuiba wengine ila ikawa ni halali yake kuiba na kikundi chake cha kabila lake. CAG Prof Assad alimkuta na upotevu wa Tsh 2.4 Trillion kwa miaka 2016-18. Akaishia kimtoa kazini.

Acheni UJINGA wa kuamini kuwa Magufuli alikuwa mtetezi wa wanyonge. Tanzania haijawahi kupata Rais mwizi kuIzidi Magufuli
Huyo CAG alitumika tu,
Tsh 2.4 ina quantitave impacts. Ukiiba wewe hizo pesa hata kama mko wengi lazima itaonekana:-
1. Namna mlivyoiba (CAG alishindwa)
2. Zilielekea wapi (mfano zilienda kuwafikia nani, walijenga nini n.k)

Sio hisia hizi.


Hata wangeenda kuzila bata, lazima indicators zitokee.

Ulimwengu wa sasa si wa kusikia sikia tu, Unakuonyesha!
 
Huyo CAG alitumika tu,
Tsh 2.4 ina quantitave impacts. Ukiiba wewe hizo pesa hata kama mko wengi lazima itaonekana:-
1. Namna mlivyoiba (CAG alishindwa)
2. Zilielekea wapi (mfano zilienda kuwafikia nani, walijenga nini n.k)

Sio hisia hizi.


Hata wangeenda kuzila bata, lazima indicators zitokee.

Ulimwengu wa sasa si wa kusikia sikia tu, Unakuonyesha!
Wacheni kujutete majambaz wakubwa nyinyi
 
Back
Top Bottom