Nimeona post za kumkumbuka Magufuli zimeongezeka sana mitandaoni. Je, sababu ndiyo hii ninayohisi mimi?

Na kweli mlibomoa Kwa kupandikiza fitna chuki na SIASA chafu na propaganda za KITOTO mara kuokota vichwa vya treni mara kununua mapapai barabarani na kuhonga vihela ktk misafara TULIKUA TUNATAWALIWA NA WASHAMBA
Mama sasa anaupiga mwingi mmechanganyikiwa
 
Labda wapuuzi na wajinga wenzako wanaoitwa wanyonge ndio wanaweza mkumbuka..

Mimi will never happen under this sun..huyo marehemu wako ni chanzo cha kuharibu hii Nchi.
 
Hakumbukwi kwa lolote zuri ila mdhara aliyotuachia ikiwepo kugawa nchi kwa ubaguzi na upendeleo, kuwekeza kwenye miradi ya hovyo km uwanja wa ndege Chato, daraja la Kigogo-Busisi, Hosp kubwa ya rufaa Chato, SGR Mwanza ni uwekezaji wa hovyo kutokea. Ktufanya maskini kwanza kwa kutoajiri miaka yote kwasababu ya roho mbaya tu. Analaaniwa kwa kudhalilisha watoto wa watanzania waliosoma na wanadhalilika mitaani.
 

 
Watu wa JF huwa mnaishi wapi mnapatikana wapi mbona mnaexperience tofaut na mitaa hamjui kama misosi kwa mama ntilie imepanda wali ni buku jero kwa elfu mbili hamjui kama dawa za meno zmepanda? Muda mwngine nashangaa siasa znapo watoa akili zenu great thinkers

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Hawezi kukumbukwa kushinda anavyokumbukwa Adolph Hittler, Idd Amin Dadah na Mobutu Seseseko
 
Siyo ajabu kwa Magufuli kukumbukwa kwa mabaya aliyoyafanya. Hata Hitler na Mobutu bado wanakumbukwa
Bahati mbaya kwako ni kuwa, hebu jaribu kufuatilia mada nyingi humu, kuna zile za kumkashifu kwanza hazivumi pili hazina replies na like za kutosha ndipo utajua anakumbukwa kwa lipi!.

👉🏾 Nasimama kupinga mnaopinga yasiyopingwa na yanayopingwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…