Nimeona post za kumkumbuka Magufuli zimeongezeka sana mitandaoni. Je, sababu ndiyo hii ninayohisi mimi?

Hiyo cha mtoto mbona.

2025 uchaguzi na Magufuli na wapinga magufuli.

Atakae cheza karata za Magufuli anaingia ikulu asubuhi tu.
 
Vitu vimepanda bei Kwa sababu pesa ipo mtaani.

Wakati wa jiwe vitu vilikuwa bei chee Kwa sababu hela haikuwepo na vyuma vilikaza.

Wakati huu vitu bei juu ila hela ya kununua ipo.

Kariakoo sasahivi biashara ni kama zamani.
 
Basi mimi nitakuwa nina upungufu fulani.
 
Aendelee kulala salama kipenzi chetu

Tuna kazi kubwa ya kutimiza wajibu kwa kuyaenzi mema yake na kuendelea kuliombea taifa letu ili kazi iendelee

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan
Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…